Mfungwa aliyetoroka jela anaswa kabatini
Mfungwa aliyetoroka gerezani nchini Australia wiki kadha zilizopita amekamatawa akiwa amejificha kabatini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Mfungwa aliyetoroka New York akamatwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3gmj4pIoAXisFhRARYEbHz6CqZGO7EgDWJnIHcN1ezFBQ89KmzDLsf6crRq5ClXuZDVTEHnj*CDQtxpUPjsLj*/o.gif?width=650)
BI HARUSI ALIYETOROKA ANASWA!
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Serikali kumwajibisha mkandarasi aliyetoroka
WIZARA ya Maji imetakiwa kumchukulia hatua za kinidhamu mkandarasi wa mradi wa maji wilayani Meatu aliyetoroka kazini. Ushauri huo ulitolewa bungeni jana na Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Dk. Antony Mbassa...
10 years ago
Vijimambo20 Oct
Mtoto aliyetoroka Moshi, aibukia Dar es Salaam
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mtoto-Aliyepotea--October20-2014.jpg)
Mtoto Hassan Masasi (pichani), aliyetoroka nyumbani kwao Moshi, Kibosho-Umbwe, mkoani Kilimanjaro, ameonekana jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jana katika ofisi za gazeti hili zilizoko Mikocheni jijini Dar es Salaam, mtoto huyo mwenye umri wa miaka saba, alisema ni mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Kindi Juu, iliyopo Moshi, Kibosho- Umbwe.
Alimtaja mama yake mzazi kuwa ni Pendo...
10 years ago
Mtanzania06 Feb
Wananchi wamuua aliyetoroka baada ya kumuua polisi
NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
MTUHUMIWA Tissi Mallya ambaye alitoroka baada ya kumuua polisi, G.7168 Koplo Joseph Swai, ameauwa usiku wa kuamkia jana na wananchi alipokuwa amejificha akiwa na panga lenye damu lililotumika kwenye mauaji hayo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) David Misime alisema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari.
Mauaji hayo yalitokea juzi asubuhi katika eneo la Chang’ombe Juu.
Kamanda Misime alisema baada ya Malya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjU1Ro0-*tdtsSn*ScOwX3olqUkkT8qBSyZ8vucqXGE5odPVEyCt45PfJyFdkNKF*guDT-Mo6KQuyD7-dvczOErZ/IMG20140818WA0000.jpg?width=650)
KIBAKA ALIYETOROKA KITUO CHA POLISI TABATA, DAR AKAMATWA
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
JK amnusuru mfungwa EPA
MFANYABIASHARA, Ajay Somai, aliyetupwa jela kwa kosa la kukwapua sh bilioni 3.8 kutoka Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kwa njia ya udanganyifu, anadaiwa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Mfungwa wa EPA aibua mapya
JESHI la Magereza (TPS) nchini limekiri kuachiwa huru kwa msamaha wa Rais Jakaya Kikwete, mfanyabiashara , aliyetupwa jela kutumikia kifungo cha miaka miwili kwa kosa la kukwapua sh bilioni 3.8...