Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi wamuua aliyetoroka baada ya kumuua polisi

David-MisimeNA RAMADHAN HASSAN, DODOMA

MTUHUMIWA Tissi Mallya ambaye alitoroka baada ya kumuua polisi, G.7168 Koplo Joseph Swai, ameauwa usiku wa kuamkia jana na wananchi alipokuwa amejificha akiwa na panga lenye damu lililotumika kwenye mauaji hayo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) David Misime alisema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari.

Mauaji hayo yalitokea juzi asubuhi katika eneo la Chang’ombe Juu.

Kamanda Misime alisema baada ya Malya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MTU MMOJA AUAWA NA WANANCHI BAADA YA KUMUUA MKEWE WILAYANI MPWAPWA MKOANI DODOMA

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.      Watu wawili wameuawa Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema tukio la kwanza limetokea mnamo tarehe 20/09/2014 majira ya saa 23:30hrs katika Kijiji cha Mzogole Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma ambapo mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la MWAJUMA D/O CHOMOLA mwenye umri wa miaka 48, Mgogo mkazi wa Mzogole aliuawa kwa kupigwa...

 

10 years ago

GPL

KIBAKA ALIYETOROKA KITUO CHA POLISI TABATA, DAR AKAMATWA

Mwizi aliyetoroka kituo cha akiwa chini ya ulinzi wa raia wenye hasira kali maeneo ya vingunguti msimbazi. Raia wakipanga kumchoma moto kibaka huyo. Na waandishin wetu Kibaka aliyetoroka kituo cha polisi Tabata hatimaye kukukamatwa majira ya saa tano asubuhi maeneo ya msimbazi vingunguti na kurudishwa…

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wamuua mtu asiye na makao Marekani

Polisi wamempiga risasi na kumuua mtu asiye na makao mjini Los Angels Marekani

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI KWA KINA KUHUSIANA NA VURUGU YA WANANCHI BAADA YA POLISI KUUA MTU MMOJA


Wananchi wakiangalia moto uliowashwa na watu wasiojulikana wakati wa vurugu baina ya polisi na wananchi katika mji mdogo wa Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa jana. Picha ya Mtandao HUKO ILULA MKOANI IRINGA
Kilolo. Polisi wa wa kituo cha Ilula kilicho Kilolo mkoani Iringa wanatuhumiwa kuua mtu mmoja, jambo lililoamsha vurugu kubwa zilizosababisha magari mawili kuchomwa moto.Habari kutoka eneo la tukio zinasema kuwa wananchi waliokuwa na hasira walichoma moto magari yaliyokuwa yameegeshwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wadaiwa kumuua mama, mtoto Tabora

Licha ya Serikali kupiga vita kujichukulia sheria mikononi, unyanyasaji na mauaji ya wanawake, baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Uchama wilayani Nzega mkoani Tabora wamemuua mwanamke mmoja na mtoto wake wa kike kwa sababu zisizofahamika.

 

9 years ago

Mwananchi

Mume ajinyonga baada ya kumuua mkewe kwa panga

Mkazi wa Kijiji cha Malolo Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, Chipunguli Mkisi (30) anadaiwa kumuua mkewe Neva Mwaweza (24) kwa kumcharanga mapanga kichwani kutokana na wivu wa mapenzi, kisha kujiua kujinyonga kwa kamba.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi yakanusha kumuua Mkuya

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tabora, Suzan KagandaPOLISI mkoani Tabora imekanusha kuhusika na mauaji ya Mbeyu Mkuya (35), kama inavyodaiwa na ndugu wa marehemu huyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani