KIBAKA ALIYETOROKA KITUO CHA POLISI TABATA, DAR AKAMATWA
![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjU1Ro0-*tdtsSn*ScOwX3olqUkkT8qBSyZ8vucqXGE5odPVEyCt45PfJyFdkNKF*guDT-Mo6KQuyD7-dvczOErZ/IMG20140818WA0000.jpg?width=650)
Mwizi aliyetoroka kituo cha akiwa chini ya ulinzi wa raia wenye hasira kali maeneo ya vingunguti msimbazi. Raia wakipanga kumchoma moto kibaka huyo. Na waandishin wetu Kibaka aliyetoroka kituo cha polisi Tabata hatimaye kukukamatwa majira ya saa tano asubuhi maeneo ya msimbazi vingunguti na kurudishwa…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN5Z7D21RB7aY0p2IBvgiNwqnvrVq9NtevnMrpbm4XzgDG7SJShqVyOu1CHUrIsTxf*rmatgnipjH6llH455ApJ9/IMG20141005WA0008.jpg)
KIBAKA ACHOMWA MOTO MAENEO YA TABATA-KIMANGA, DAR
Mwili wa wa kijana anayedaiwa kuwa kibaka aliyenaswa kwenye nyumba ya mtu ukiwa umeteketea kwa moto. Wananchi waliokuwa eneo la tukio wakishuhudia kwa karibu tukio hilo. KIJANA mmoja (jina halikufahamika) anayedaiwa kuwa kibaka ameuawa kwa kuchomwa moto baada ya kukamatwa jana maeneo ya Tabata-Kimanga jijini Dar es Salaam akiwa nyumbani kwa mtu. Kijana huyo alichomwa moto na wananchi wenye hasira kali dhidi ya wahalifu wa aina...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QD1vNIM7eeY/VVcTEZQyNVI/AAAAAAAHXkM/8HxsXC3v5uw/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
CHIKAWE AZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO YA DHARURA CHA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-QD1vNIM7eeY/VVcTEZQyNVI/AAAAAAAHXkM/8HxsXC3v5uw/s640/unnamed%2B(69).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-R9gvbev0ehY/Ux2hsZajWGI/AAAAAAAFSqk/xkBnl0abp9U/s72-c/unnamed+(28).jpg)
EPZA YASAIDIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA MAKUBURI KIBANGU, DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-R9gvbev0ehY/Ux2hsZajWGI/AAAAAAAFSqk/xkBnl0abp9U/s1600/unnamed+(28).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-QD1vNIM7eeY/VVcTEZQyNVI/AAAAAAAHXkM/8HxsXC3v5uw/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI AZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO YA DHARURA CHA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-QD1vNIM7eeY/VVcTEZQyNVI/AAAAAAAHXkM/8HxsXC3v5uw/s640/unnamed%2B(69).jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Mfungwa aliyetoroka New York akamatwa
Mfungwa aliyetoroka kutoka gereza la New York amekamatwa na karibu na mpaka wa Canada
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/IvDwjPBH43Q/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Yi-XfVF4dOE/XnJL-jaaaWI/AAAAAAALkU4/hBg6ivTFlgcPD8qGLrqHGX8_39t_NmkAgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KATIBU MKUU CHRISTOPHER KADIO, APOKEA TAARIFA YA UKAGUZI MRADI WA DAR CITY UNAOHUSISHA UJENZI WA NYUMBA ZA MAAFISA WA POLISI OYSTERBAY, KIJITONYAMA NA KITUO CHA POLISI OYSTERBAY
![](https://1.bp.blogspot.com/-Yi-XfVF4dOE/XnJL-jaaaWI/AAAAAAALkU4/hBg6ivTFlgcPD8qGLrqHGX8_39t_NmkAgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HChpUr1rla8/XnJL_mIKIwI/AAAAAAALkU8/zVi-NrGMzyQfX56Z8dW0C3kADpiabL5aQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
10 years ago
GPLIGP, MKUU WA MKOA WATEMBELEA KITUO CHA POLISI STAKISHARI, DAR
Mkuu wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu (katikati) akiongea na wanahabari baada ya kutembelea kituo hicho. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Said Mecky Sadick akiongea na wanahabari.…
10 years ago
Michuzi13 Jul
NEWS ALERT: WATU KADHAA WAUWAWA, SILAHA ZAPORWA BAADA YA MAJAMBAZI KUVAMIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA SITAKISHARI, UKONGA, JIJINI DAR ES SALAAM USIKU HUU
Habari zilizotufikia chumba cha habari zinasema kwamba watu kadhaa wameuwawa na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi, baada ya kuvamia kituo kidogo cha Polisi cha Sitakishari, Ukonga jijini Dar es salaam usiku huu.
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema kwamba askari polisi kadhaa kituoni hapo pamoja na raia mmoja wameuwawa. Silaha kadhaa pia inasemekana zimeporwa na askari wako eneo la tukio hivi sasa.
Tunaendelea kufuatilia taarifa hii na tutawajuza maendeleo yake kadri tutapopata fununu...
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema kwamba askari polisi kadhaa kituoni hapo pamoja na raia mmoja wameuwawa. Silaha kadhaa pia inasemekana zimeporwa na askari wako eneo la tukio hivi sasa.
Tunaendelea kufuatilia taarifa hii na tutawajuza maendeleo yake kadri tutapopata fununu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania