KIBAKA ACHOMWA MOTO MAENEO YA TABATA-KIMANGA, DAR
![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN5Z7D21RB7aY0p2IBvgiNwqnvrVq9NtevnMrpbm4XzgDG7SJShqVyOu1CHUrIsTxf*rmatgnipjH6llH455ApJ9/IMG20141005WA0008.jpg)
Mwili wa wa kijana anayedaiwa kuwa kibaka aliyenaswa kwenye nyumba ya mtu ukiwa umeteketea kwa moto. Wananchi waliokuwa eneo la tukio wakishuhudia kwa karibu tukio hilo. KIJANA mmoja (jina halikufahamika) anayedaiwa kuwa kibaka ameuawa kwa kuchomwa moto baada ya kukamatwa jana maeneo ya Tabata-Kimanga jijini Dar es Salaam akiwa nyumbani kwa mtu. Kijana huyo alichomwa moto na wananchi wenye hasira kali dhidi ya wahalifu wa aina...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7tzckYoqFijl*dtSpviWwVFto-tCr4xLZkx8P1xqFLa7AEGMzGYcpnfKxm8FLy-7lzXOAay6W9B1hQDIXcG61iq/KIBAKA.jpg?width=650)
KIBAKA ACHOMWA MOTO AKIIBA MALI ZA ABIRIA BAADA YA AJALI KAHAMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjU1Ro0-*tdtsSn*ScOwX3olqUkkT8qBSyZ8vucqXGE5odPVEyCt45PfJyFdkNKF*guDT-Mo6KQuyD7-dvczOErZ/IMG20140818WA0000.jpg?width=650)
KIBAKA ALIYETOROKA KITUO CHA POLISI TABATA, DAR AKAMATWA
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
Nyumba inapangishwa Tabata, Kimanga
![](http://1.bp.blogspot.com/-SCC-My91us8/VI_KJ4TZUkI/AAAAAAAAaxA/lr5M4gHlOwg/s1600/outside..jpg)
Maelezo ya nyumba husika:
Ina vyumba vitatu vya kulala (kimoja master bedroom na viwili vya kawaida), dinning room, laundry na stoo.
Ina simtanks 2 (lita 2000 na lita 1000).
Iko ndani ya uzio na geti.
Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0763514988.
![](http://1.bp.blogspot.com/-K5FvCOUkPWE/VI_KKiow8SI/AAAAAAAAaxc/bHejQqnAISY/s1600/public-bathrum.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Om4a7c_WJI/VI_KK0-0ryI/AAAAAAAAaxI/NfyfOJQ_LDk/s1600/sitting%2Broom%2Band%2Bdinning.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TcV6GVq5nlU/VI_KLfzTqmI/AAAAAAAAaxQ/2AEffVyyyQ0/s1600/to%2Bthe%2Bbedrooms.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aCYyOTd1JTg/VI_KJrNlRrI/AAAAAAAAaw8/MH5f8DyfWUc/s1600/master%2Bbed%2Broom%2B-bath%2Btub.jpg)
10 years ago
GPLKIBAKA WA BODABODA AFA KWA KUCHOMWA MOTO DAR KWA KUIBA MKOBA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ynBtnJgU8II/U_nckkzQuAI/AAAAAAAAk-U/MhtliMJDKjo/s72-c/unnamed1.jpg)
Wawili wachoma moto kwa tuhuma za uwizi huko Tabata jijini Dar
Alisema kuwa walipokamatwa walipigwa na kisha kuchomwa moto.
"Matukio haya yamekuwa yakitokea mara kwa mara hapa Tabata na wezi wanaoiba kwa kutumia pikipiki wamekuwa ni kero kubwa sasa na kila wakikamatwa na kupelekwa vituoni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbaeGZY71tHR*ljagPJFnyD5wZyf3vsZQLRJFrQ8cbANFoJT5kN6coCll91Kv7*DSvhW6P7Gq79TTvklc4wQiq843/agoma.jpg)
ACHOMWA MOTO, AGOMA KUFA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxxNnUlgEoqfpznBfK14AOMOJyIYF3pFsicEaAiPsYzqI6VUbV95JfMEmOwnASi1zggWZ3GCdREamlWwL*JdNshF/MWANACHUOALIYECHOMWAMOTO.2..jpg)
MWANAFUNZI CHUO KIKUU ACHOMWA MOTO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEUTGNqGkKz5Bfx9jRBPlvxBah6x3y37tAzd368A4p2seUQfgrAfwoXpEzE0orZaQm2gyihHICp8Z6Wqkzg-Y*HH/1Kibakaachomwamotoakidaiwakuibabasikeli.jpg?width=650)
ACHOMWA MOTO AKIDAIWA KUIBA BAISKELI MOROGORO