Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACHOMWA MOTO AKIDAIWA KUIBA BAISKELI MOROGORO

Gari la polisi likiondoka na mwili wa kijana huyo.
Wanafunzi wa Sekondari ya Alfa James wakishuhudia mahali alipochomewa mtuhumiwa.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mtoto achomwa moto kwa tuhuma ya kuiba 2,600/-

MWANAFUNZI wa darasa la pili, Shule ya Msingi ya Wailesi mjini Lindi (jina linahifadhiwa) ameunguzwa moto sehemu ya mikono yake baada ya kufungwa kamba na mama yake mzazi.

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani akidaiwa kuiba Sh mil 19.6/-

MKAZI wa Igoma, Mwanza, Leticia Moses (36) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 19.6.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbaroni akidaiwa kuiba mtoto

Polisi wanamshikilia mkazi wa Mjimwema Makambako kwa tuhuma za wizi wa mtoto wa kiume mwenye umri ya miezi mitatu katika Hospitali ya Kibena, Njombe.

 

11 years ago

Habarileo

Ofisa Masoko akidaiwa kuiba 69.8m/-

OFISA Masoko wa Kampuni ya NN General Supplies Simon Lyatuu (47) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 69.8.

 

11 years ago

Mwananchi

Nguvuni akidaiwa kuiba mtoto

Jeshi la Polisi mkoani Geita, linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kuiba na kumtorosha mtoto wa miaka sita kwa lengo la kutaka kumdhuru na kumpeleka kusikojulikana.

 

11 years ago

Mwananchi

Auawa akidaiwa kuiba mahindi mabichi

Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Sambila Mihayo anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 20 hadi 22 ameuawa kinyama na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiiba mahindi mabichi shambani katika Kitongoji cha Ilolanguli Kijiji cha Mbabani Wilaya ya Geita mkoani hapa.

 

11 years ago

GPL

ACHOMWA MOTO, AGOMA KUFA

Stori: Mwandishi Wetu, Mbeya
MTU mmoja anayetuhumiwa kwa wizi wa ng’ombe na ndama wake, mwishoni mwa wiki iliyopita alipata kipigo cha kufa mtu na baadaye kuchomwa moto, lakini katika hali isiyo ya kawaida, hakuweza kufariki ‘kugoma kufa’ hadi polisi walipotokea na kunusuru maisha yake. Mtuhumiwa wa wizi wa ng'ombe akiwa kwenye majani yaliyotumika kumchochea moto mara baada ya kupata mkong'oto wa nguvu...

 

11 years ago

GPL

MWANAFUNZI CHUO KIKUU ACHOMWA MOTO

Daniel Anael Lema, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Augustino, Tawi la Iringa (Ruaha University College - RUCO) enzi za uhai wake. Muonekano wa marehemu,…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani