Kizimbani akidaiwa kuiba Sh mil 19.6/-
MKAZI wa Igoma, Mwanza, Leticia Moses (36) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 19.6.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Jun
Ofisa Masoko akidaiwa kuiba 69.8m/-
OFISA Masoko wa Kampuni ya NN General Supplies Simon Lyatuu (47) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 69.8.
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Mbaroni akidaiwa kuiba mtoto
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Nguvuni akidaiwa kuiba mtoto
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Auawa akidaiwa kuiba mahindi mabichi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEUTGNqGkKz5Bfx9jRBPlvxBah6x3y37tAzd368A4p2seUQfgrAfwoXpEzE0orZaQm2gyihHICp8Z6Wqkzg-Y*HH/1Kibakaachomwamotoakidaiwakuibabasikeli.jpg?width=650)
ACHOMWA MOTO AKIDAIWA KUIBA BAISKELI MOROGORO
11 years ago
Habarileo07 Jun
Kizimbani akidaiwa kunajisi mbuzi
MTU mmoja amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Ukerewe, Mwanza kwa tuhuma za kukutwa akifanya mapenzi na mbuzi.
10 years ago
Habarileo16 Aug
Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto
MKAZI wa Kinondoni Msisiri jijini Dar es Salaam, Ally Mzaki (27) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, kujibu mashitaka ya kumnajisi mtoto wa miaka mitano.
11 years ago
Habarileo20 Feb
Kizimbani wakidaiwa kuiba ‘Noah’
WATU wawili , Alfred Benedict (27) na Issa Kasim (22) , wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Ilala jijini Dar es Salaam kwa shitaka la wizi wa gari.
10 years ago
Habarileo01 Sep
Walimu kizimbani wakidaiwa kuiba vyeti
WALIMU watatu wa Shule ya Sekondari Badri iliyoko wilayani Nzega, Tabora wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kwa mashitaka ya wizi wa vyeti viwili vya wanafunzi.