Walimu kizimbani wakidaiwa kuiba vyeti
WALIMU watatu wa Shule ya Sekondari Badri iliyoko wilayani Nzega, Tabora wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kwa mashitaka ya wizi wa vyeti viwili vya wanafunzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Feb
Kizimbani wakidaiwa kuiba ‘Noah’
WATU wawili , Alfred Benedict (27) na Issa Kasim (22) , wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Ilala jijini Dar es Salaam kwa shitaka la wizi wa gari.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sTg6vyO*vvG1bjqID2tI94KSuwmMjqrdwpwxtFadI7yfDsarg9YupZcZZzC2Y9wyqCNlcuNuTxPzOq7R9zeKmGgHurS*ROCd/BREAKINGNEWS.gif)
WANNE WAUAWA MWANZA WAKIDAIWA KUIBA NG'OMBE
11 years ago
Habarileo02 Jul
Kizimbani akidaiwa kuiba Sh mil 19.6/-
MKAZI wa Igoma, Mwanza, Leticia Moses (36) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 19.6.
11 years ago
Mwananchi17 May
Kizimbani kwa kuiba masufuria ya Sh355 milioni
11 years ago
Habarileo12 Dec
Kizimbani kwa kuiba kiyoyozi Palm Beach
WAKAZI wa Magomeni, Juma Suleimani (49) na Stanslaus Daniel(30) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa kiyoyozi. Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomea mashitaka hayo mbele ya Hakimu Benjamini Mwakasonda.
10 years ago
Habarileo21 Aug
Walimu, wazazi waghushi vyeti vya kuzaliwa
WAKALA wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umebaini udanganyifu uliofanywa na walimu wa shule za msingi na wazazi kughushi taarifa na kuongeza bei wakati wa kusajili na kuwapatia wanafunzi vyeti vya kuzaliwa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4ufkKvtc-1I/VVohLeKZ54I/AAAAAAAHYIM/y20D4E2BYRY/s72-c/download.jpg)
Maofisa wanane wa Benki Kuu Tanzania (BOT) kizimbani kwa mashitaka 14 ya kufoji vyeti vya kidato cha nne
![](http://1.bp.blogspot.com/-4ufkKvtc-1I/VVohLeKZ54I/AAAAAAAHYIM/y20D4E2BYRY/s640/download.jpg)
10 years ago
MichuziRAIA WAPYA WA TANZANIA WASHANGILIA KUPEWA VYETI VYA URAIA, MAMA MJAMZITO AJIFUNGUA AKIWA KATIKA KITUO CHA KUPOKELEA VYETI
11 years ago
Michuzi28 Apr
KUTANGAZA KWA KUPOTEA KWA VYETI VYA SECONDARY NA VYETI VYA KUZALIWA
Katika mazingira ya yasiyoelweka, natangaza KUPOTEA kwa vyeti vya kuzaliwa vyenye majina ya Marianne Mwiki na Even Mwiki.
ACSE from Lutheran Junior Seminary mwaka 2001 CSE from Mpwapwa Secondary School mwaka 1997
Mara ya mwisho vilitumwa Arusha Tanzania 2005,
Mwenye taarifa ya mtu yeyote kujiita Marianne Mwiki katika nafasi yeyote ya kazi, shule ama chuo sehemu yeyote, tafadhali tujulishe haraka iwezekanavyo, zawadi kubwa itatolewa kwa Mwenye taarifa yeyote itakayoweza kusaidia...