Kizimbani kwa kuiba kiyoyozi Palm Beach
WAKAZI wa Magomeni, Juma Suleimani (49) na Stanslaus Daniel(30) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa kiyoyozi. Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomea mashitaka hayo mbele ya Hakimu Benjamini Mwakasonda.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
RED CUP Party Zanzibar ndani ya Palm Beach Bwejuu Feb 28
Na Andrew Chale wa modewjiblog
Ile party ya kijanja inayosubiriwa kwa hamu kubwa na watu mbalimbali wa ndani na nje ya Zanzibar Maarufu kama ‘RED CUP Party’ kufanyika Februari 28 ndani ya Hoteli ya Palm Beach iliyopo Bwejuu, Unguja.
Akielezea mwandaaji wa shoo hiyo ya kijanja, Djzoro ON Mix Man amesema tayari mipango yote imekamilika na tiketi zimeanza kuuzwa kwa sasa.
“Party ya kijanja ya RED CUP Party, kwa sasa ni gumzo na tiketi zimeshaanza kuuzwa. Kwa kiingilio cha sh 10,000/= kwa...
11 years ago
Mwananchi17 May
Kizimbani kwa kuiba masufuria ya Sh355 milioni
11 years ago
Habarileo20 Feb
Kizimbani wakidaiwa kuiba ‘Noah’
WATU wawili , Alfred Benedict (27) na Issa Kasim (22) , wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Ilala jijini Dar es Salaam kwa shitaka la wizi wa gari.
11 years ago
Habarileo02 Jul
Kizimbani akidaiwa kuiba Sh mil 19.6/-
MKAZI wa Igoma, Mwanza, Leticia Moses (36) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 19.6.
11 years ago
Habarileo01 Sep
Walimu kizimbani wakidaiwa kuiba vyeti
WALIMU watatu wa Shule ya Sekondari Badri iliyoko wilayani Nzega, Tabora wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kwa mashitaka ya wizi wa vyeti viwili vya wanafunzi.
11 years ago
GPL
KAJALA: KIYOYOZI CHA CHINA KIMENIBADILISHA
11 years ago
GPLHATARI: KIYOYOZI KINACHOHATARISHA TRANSFOMA ILIYO CHINI
10 years ago
GPLKIBAKA WA BODABODA AFA KWA KUCHOMWA MOTO DAR KWA KUIBA MKOBA
11 years ago
Michuzi.jpg)
ZANZIBAR BEACH SOCCER KUCHEZWA KENDWA ROCK'S HOTEL BEACH
Kwa mujibu wa taarifa yao hiyo kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Mwandaaji wa michezo hiyo, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’ ilieleza kuwa, kamati ya...