Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kizimbani kwa kuiba kiyoyozi Palm Beach

WAKAZI wa Magomeni, Juma Suleimani (49) na Stanslaus Daniel(30) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa kiyoyozi. Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomea mashitaka hayo mbele ya Hakimu Benjamini Mwakasonda.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

RED CUP Party Zanzibar ndani ya Palm Beach Bwejuu Feb 28

RCP

Na Andrew Chale wa modewjiblog

Ile party ya kijanja inayosubiriwa kwa hamu kubwa na watu mbalimbali wa  ndani na nje ya Zanzibar  Maarufu kama ‘RED CUP Party’  kufanyika Februari 28 ndani ya Hoteli ya Palm Beach iliyopo Bwejuu, Unguja.

Akielezea mwandaaji wa shoo hiyo ya kijanja, Djzoro ON Mix Man amesema tayari mipango yote imekamilika na tiketi zimeanza kuuzwa kwa sasa.

“Party ya kijanja ya RED CUP Party,  kwa sasa ni gumzo na tiketi zimeshaanza kuuzwa. Kwa kiingilio cha sh 10,000/= kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kizimbani kwa kuiba masufuria ya Sh355 milioni

Ofisa Mauzo na Masoko wa Kampuni ya Aluminium Holloware (TZ) Limited, Nurdin Mohamed amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka ya wizi wa katoni 7,500 za masufuria na kujipatia pesa kwa njia za udanganyifu.

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani wakidaiwa kuiba ‘Noah’

WATU wawili , Alfred Benedict (27) na Issa Kasim (22) , wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Ilala jijini Dar es Salaam kwa shitaka la wizi wa gari.

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani akidaiwa kuiba Sh mil 19.6/-

MKAZI wa Igoma, Mwanza, Leticia Moses (36) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 19.6.

 

11 years ago

Habarileo

Walimu kizimbani wakidaiwa kuiba vyeti

WALIMU watatu wa Shule ya Sekondari Badri iliyoko wilayani Nzega, Tabora wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora kwa mashitaka ya wizi wa vyeti viwili vya wanafunzi.

 

11 years ago

GPL

KAJALA: KIYOYOZI CHA CHINA KIMENIBADILISHA

Stori: Shakoor Jongo
MWIGIZAJI Kajala Masanja amekanusha vikali suala la kujipodoa badala yake amesema kiyoyozi cha nchini China kimeifanya ngozi yake ibadilike. Kajala Masanja. Akizungumza na paparazi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita, Kajala akiwa katika harakati za kuelekea China alisema amekuwa akiipenda nchi hiyo kwani akiwa huko ni ‘full’ kiyoyozi ambacho kimemfanya aonekane mweupe.… ...

 

11 years ago

GPL

HATARI: KIYOYOZI KINACHOHATARISHA TRANSFOMA ILIYO CHINI

Picha ya nyumba iliyo na kiyoyozi chenye bomba limwagalo maji. Bomba la kiyoyozi likionekana kwa karibu zaidi, pembani kukiwa na uchafu mwingi  unaolifanya eneo hilo  kuwa la watu kujisaidia haja ndogo.…

 

10 years ago

GPL

KIBAKA WA BODABODA AFA KWA KUCHOMWA MOTO DAR KWA KUIBA MKOBA

Mwendesha bodaboda akiendelea kuteketea kwa moto baada ya kuchomwa na wananchi wenye hasira katika eneo la Mlimani City jijini Dar es Salaam,  juzi jioni ambapo alidaiwa kumpora mkoba dada mmoja na kujaribu…

 

11 years ago

Michuzi

ZANZIBAR BEACH SOCCER KUCHEZWA KENDWA ROCK'S HOTEL BEACH

Na Andrew ChaleTAASISI ya  Mwangaza wa buradani Zanzibar  (Zanzibar Light Entertainment ) ya mjini Unguja,  Zanzibar, Imemtangaza rasmi  Hotel ya Kendwa Rocks  kuwa eneo litakapofanyika  michuano m aalum ya soka la ufukweni  lijulikanayo kama  (Zanzibar Beach Soccer Championship Bonanza) linalotarajiwa kufanyika Agosti  Mbili mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa yao hiyo  kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Mwandaaji wa michezo hiyo, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’  ilieleza kuwa,  kamati ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani