Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATARI: KIYOYOZI KINACHOHATARISHA TRANSFOMA ILIYO CHINI

Picha ya nyumba iliyo na kiyoyozi chenye bomba limwagalo maji. Bomba la kiyoyozi likionekana kwa karibu zaidi, pembani kukiwa na uchafu mwingi  unaolifanya eneo hilo  kuwa la watu kujisaidia haja ndogo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hoteli iliyo chini ya bahari Pemba

Katika kukabiliana na mapato finyu,serikali ya Zanzibar imekuwa ikitilia umuhimu sekta ya utalii ambapo huko Pemba pamejengwa hoteli chini ya bahari

 

11 years ago

CloudsFM

ILE RECORD LABEL INAYOTENGEZA KAZI ZA WASANII ILIYO CHINI PRODUCER MSWAKI IMEKUFA

Ile record label iliyotengeneza kazi za wasanii kama Linex, Wayre, Maunda Zoro, Q Chillah, TID Mnyama hapa naizungumzia black curtains iliyokua chini ya wakurugenzi wawili Producer Mswaki na mwenzake imevunjika na badala yake Mswaki amejiunga na watu wengine na kuunda record label nyingine.Mswaki akatoa deal kwa wasanii watakao kuwa tayari kufanya kazi na label hiyo iliyopo Mikocheni karibu na hospitali ya Kairuki.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Laszlo Boloni: Cristiano Ronaldo ni hatari juu na chini

Nyota Cristiano Ronaldo alianza kucheza kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza katika Ligi Kuu akiwa klabu ya Sporting Lisbon ya Ureno baada ya kupewa nafasi na kocha Laszlo Boloni aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

HAKI ILIYO CHELEWESHWA NI HAKI ILIYO NYIMWA"

NDG. ZUBERI M. SAMATABA, KAIMU KATIBU MKUU- OWM-TAMISEMI AKIFUNGUA MKUTANO HUO WA SIKU TATU.
 MR. ONOUR OZLY- MWAKILISHI WA BENKI YA DUNIA, ALIPOKUWA AKITOA MALEZO MAFUPI KUHUSU LENGO LA  JANE JACOB- MWAKILISHI WA DANIDA ALIPOKUWA AKITOA SALAM ZA DANIDA KATIKA KIKAO CHICHO.
 WASHIRIKI WA MKUTANO HUO WAKIFURAHIA JAMBO WAKATI WA MKUTANO HUO.MHANDISI EZEKIELI MAGOTI KUNYALANYALA, AKIWASILISHA MADA KATIKA KIKAO HICHO.

Atley Kuni- Afisa habari Mwanza.
Halmashauri za majiji na manispaa zimehimizwa...

 

5 years ago

Michuzi

WAZAZI WANAPASWA KUFUATILIA MIENENDO YA WATOTO WAO WALIO CHINI YA MIAKA MITANO KUEPUSHA HATARI INAYOWEZA KUWAKABILI.

PATRICIA KIMELEMETA
Daktari wa watoto katika Hospitali ya Taifa ya Mloganzila, Lucy Mpayo amesema kuwa, ulinzi wa watoto walio chini ya miaka mitano unaanzia kwa mzazi/ mlezi na jamii kwa ujumla.
Dk. Lucy amesema kuwa, watoto hao wanapaswa kuangaliwa kwa ukaribu kwa sababu uwezo wao wa kujilinda bado ni mdogo na kwamba hawawezi kupambana na hatari yoyote inayojitokeza dhidi yao.
Amesema kuwa, kutokana na hali hiyo, wazazi,walezi na jamii kwa ujumla wanapaswa kuwalinda watoto hao hali ambayo...

 

11 years ago

GPL

KAJALA: KIYOYOZI CHA CHINA KIMENIBADILISHA

Stori: Shakoor Jongo
MWIGIZAJI Kajala Masanja amekanusha vikali suala la kujipodoa badala yake amesema kiyoyozi cha nchini China kimeifanya ngozi yake ibadilike. Kajala Masanja. Akizungumza na paparazi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita, Kajala akiwa katika harakati za kuelekea China alisema amekuwa akiipenda nchi hiyo kwani akiwa huko ni ‘full’ kiyoyozi ambacho kimemfanya aonekane mweupe.… ...

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa kuiba kiyoyozi Palm Beach

WAKAZI wa Magomeni, Juma Suleimani (49) na Stanslaus Daniel(30) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa kiyoyozi. Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomea mashitaka hayo mbele ya Hakimu Benjamini Mwakasonda.

 

10 years ago

Mwananchi

Transfoma kubwa yaharibika Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Felichesmi Mramba amesema kukatika kwa umeme katika baadhi ya maeneo jijini hapa kunatokana na kuharibika kwa transfoma kubwa iliyopo Kituo cha Kipawa.

 

10 years ago

Mwananchi

Siri ya wizi mafuta ya transfoma yabainika

 Ile dhana ya kuwa mafuta ya kupoza transfoma yanaibwa na wauza chipsi, imebainika siyo ya kweli baada ya uchunguzi kuonyesha kuwa yanatumiwa viwandani kuendesha mitambo, kuchanganywa katika vipodozi na mengine yakisafirishwa nchi za nje.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani