ILE RECORD LABEL INAYOTENGEZA KAZI ZA WASANII ILIYO CHINI PRODUCER MSWAKI IMEKUFA
Ile record label iliyotengeneza kazi za wasanii kama Linex, Wayre, Maunda Zoro, Q Chillah, TID Mnyama hapa naizungumzia black curtains iliyokua chini ya wakurugenzi wawili Producer Mswaki na mwenzake imevunjika na badala yake Mswaki amejiunga na watu wengine na kuunda record label nyingine.
Mswaki akatoa deal kwa wasanii watakao kuwa tayari kufanya kazi na label hiyo iliyopo Mikocheni karibu na hospitali ya Kairuki.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Dec
Record label ya The Industry ya Nahreel yaanza rasmi, yasainisha wasanii wawili
![20151216203624](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151216203624-300x194.jpg)
Record label ya The Industry inayomilikiwa na producer Nahreel imeanza rasmi.
Rosa ni mmoja ya wasanii wawili waliosanishwa na The Industry
Nahreel ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshawasainisha wasanii wawili chini ya label hiyo.
Mmoja kati ya wasanii hao ni rapper wa kike aitwaye Rosa. Amesema hivi karibuni ataanza kuachia kazi za wasanii hao wapya.
Pamoja na kuanzisha record label hiyo, Nahreel pia alifungua shule ya muziki.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia...
11 years ago
CloudsFM10 Jun
NGOMA YA PROTOKO YA VICTORIA KIMANI YAMFUNGULIA NJIA PRODUCER TUDDY THOMAS KUFANYA KAZI NA WASANII WAKUBWA
Producer wa zamani wa studio ya Ngoma Records, Tuddy Thomas ambaye siku hizi anapatikana ndani ya studio ya nyumba ya vipaji Tanzania (THT) amefunguka kuwa wimbo aliomtengenezea msanii kutoka record label ya Chocolate City nazungumzia Prokoto ya Victoria Kimani , kupitia ngoma hiyo Tuddy amesema kitabu chake cha bookings kimejaa majina ya wasanii wakubwa kutoka nje ya Tanzania wanaotaka kufanya kazi na yeye.
5 years ago
The Citizen Daily09 Apr
Zuchu is the new face on Diamond’s record label WCB
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79321000/jpg/_79321532_dannykalima.jpg)
AUDIO: Malawi music record label launched
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eLDI0rElRbE/U3o_U_FmLwI/AAAAAAAFjuQ/8plhsHcyzAo/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Baada ya "CPwaa" Brainstormusic record label yawasaini "Wadananda"
![](http://1.bp.blogspot.com/-eLDI0rElRbE/U3o_U_FmLwI/AAAAAAAFjuQ/8plhsHcyzAo/s1600/unnamed+(24).jpg)
Wadananda linalotengenezwa na vijana wawili "Kea Ahmedi kidato"(Customer Care) na "Natali Ali Katolila" (Pengo) wameingia mkataba huo na...
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Hoteli iliyo chini ya bahari Pemba
11 years ago
GPLHATARI: KIYOYOZI KINACHOHATARISHA TRANSFOMA ILIYO CHINI
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Bunge Maalum la Katiba na kazi pevu iliyo mbele yake Agosti
10 years ago
GPL06 Jan