Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ILE RECORD LABEL INAYOTENGEZA KAZI ZA WASANII ILIYO CHINI PRODUCER MSWAKI IMEKUFA

Ile record label iliyotengeneza kazi za wasanii kama Linex, Wayre, Maunda Zoro, Q Chillah, TID Mnyama hapa naizungumzia black curtains iliyokua chini ya wakurugenzi wawili Producer Mswaki na mwenzake imevunjika na badala yake Mswaki amejiunga na watu wengine na kuunda record label nyingine.Mswaki akatoa deal kwa wasanii watakao kuwa tayari kufanya kazi na label hiyo iliyopo Mikocheni karibu na hospitali ya Kairuki.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Record label ya The Industry ya Nahreel yaanza rasmi, yasainisha wasanii wawili

20151216203624

Record label ya The Industry inayomilikiwa na producer Nahreel imeanza rasmi.

20151216203624
Rosa ni mmoja ya wasanii wawili waliosanishwa na The Industry

Nahreel ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshawasainisha wasanii wawili chini ya label hiyo.

Mmoja kati ya wasanii hao ni rapper wa kike aitwaye Rosa. Amesema hivi karibuni ataanza kuachia kazi za wasanii hao wapya.

20151216203629

Pamoja na kuanzisha record label hiyo, Nahreel pia alifungua shule ya muziki.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia...

 

11 years ago

CloudsFM

NGOMA YA PROTOKO YA VICTORIA KIMANI YAMFUNGULIA NJIA PRODUCER TUDDY THOMAS KUFANYA KAZI NA WASANII WAKUBWA

Producer wa zamani wa studio ya Ngoma Records, Tuddy Thomas ambaye siku hizi anapatikana ndani ya studio ya nyumba ya vipaji Tanzania (THT) amefunguka kuwa wimbo aliomtengenezea msanii kutoka record label ya Chocolate City nazungumzia Prokoto ya Victoria Kimani , kupitia ngoma hiyo Tuddy amesema kitabu chake cha bookings kimejaa majina ya wasanii wakubwa kutoka nje ya Tanzania wanaotaka kufanya kazi na yeye.

 

5 years ago

The Citizen Daily

Zuchu is the new face on Diamond’s record label WCB

Zuchu is the new face on Diamond’s record label WCB  The Citizen DailyDiamond Platnumz introduces beautiful singer Zuchu as new member of WCB  Breaking NEWS in KENYA for Today Right Now & Kenyan News | TUKODiamond Platnumz former stylist now a drug addict living in the streets!  Ghafla!Meet Zuchu the new Wasafi records member with angelic vocals from her mama, Khadija Kopa!  Ghafla!View Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBC

AUDIO: Malawi music record label launched

The founder of Spare Dog Records tells BBC Africa why he has established the new label to promote artists from Malawi.

 

11 years ago

Michuzi

Baada ya "CPwaa" Brainstormusic record label yawasaini "Wadananda"

Kundi la Muziki wa kizazi kipya lijulikanalo kama "Wadananda" limebahatika kuingia mkataba na Record label mpya nchini Tanzania ya "Brainstormusic". kampuni hiyo inayomsimamia msanii maarufu wa kizazi kipya " CPwaa" imeamua kujitanua na kuanza rasmi kusimamia kazi na wasanii wa muziki,filamu,Michezo, Michoro,Vinyago,Upigaji picha pamoja na fashion.
Wadananda linalotengenezwa na vijana wawili "Kea Ahmedi kidato"(Customer Care) na "Natali Ali Katolila" (Pengo) wameingia mkataba huo na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hoteli iliyo chini ya bahari Pemba

Katika kukabiliana na mapato finyu,serikali ya Zanzibar imekuwa ikitilia umuhimu sekta ya utalii ambapo huko Pemba pamejengwa hoteli chini ya bahari

 

11 years ago

GPL

HATARI: KIYOYOZI KINACHOHATARISHA TRANSFOMA ILIYO CHINI

Picha ya nyumba iliyo na kiyoyozi chenye bomba limwagalo maji. Bomba la kiyoyozi likionekana kwa karibu zaidi, pembani kukiwa na uchafu mwingi  unaolifanya eneo hilo  kuwa la watu kujisaidia haja ndogo.…

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge Maalum la Katiba na kazi pevu iliyo mbele yake Agosti

>Siku 67 za Bunge Maalumu la Katiba zimekwisha na wajumbe hao kurejea makwao huku kukiwa hakuna hata ibara moja kati ya zaidi ya 200 iliyopitishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani