Baada ya "CPwaa" Brainstormusic record label yawasaini "Wadananda"
![](http://1.bp.blogspot.com/-eLDI0rElRbE/U3o_U_FmLwI/AAAAAAAFjuQ/8plhsHcyzAo/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Kundi la Muziki wa kizazi kipya lijulikanalo kama "Wadananda" limebahatika kuingia mkataba na Record label mpya nchini Tanzania ya "Brainstormusic". kampuni hiyo inayomsimamia msanii maarufu wa kizazi kipya " CPwaa" imeamua kujitanua na kuanza rasmi kusimamia kazi na wasanii wa muziki,filamu,Michezo, Michoro,Vinyago,Upigaji picha pamoja na fashion.
Wadananda linalotengenezwa na vijana wawili "Kea Ahmedi kidato"(Customer Care) na "Natali Ali Katolila" (Pengo) wameingia mkataba huo na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
The Citizen Daily09 Apr
Zuchu is the new face on Diamond’s record label WCB
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79321000/jpg/_79321532_dannykalima.jpg)
AUDIO: Malawi music record label launched
9 years ago
Bongo517 Dec
Record label ya The Industry ya Nahreel yaanza rasmi, yasainisha wasanii wawili
![20151216203624](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151216203624-300x194.jpg)
Record label ya The Industry inayomilikiwa na producer Nahreel imeanza rasmi.
Rosa ni mmoja ya wasanii wawili waliosanishwa na The Industry
Nahreel ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshawasainisha wasanii wawili chini ya label hiyo.
Mmoja kati ya wasanii hao ni rapper wa kike aitwaye Rosa. Amesema hivi karibuni ataanza kuachia kazi za wasanii hao wapya.
Pamoja na kuanzisha record label hiyo, Nahreel pia alifungua shule ya muziki.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia...
11 years ago
CloudsFM09 Jun
ILE RECORD LABEL INAYOTENGEZA KAZI ZA WASANII ILIYO CHINI PRODUCER MSWAKI IMEKUFA
Ile record label iliyotengeneza kazi za wasanii kama Linex, Wayre, Maunda Zoro, Q Chillah, TID Mnyama hapa naizungumzia black curtains iliyokua chini ya wakurugenzi wawili Producer Mswaki na mwenzake imevunjika na badala yake Mswaki amejiunga na watu wengine na kuunda record label nyingine.
Mswaki akatoa deal kwa wasanii watakao kuwa tayari kufanya kazi na label hiyo iliyopo Mikocheni karibu na hospitali ya Kairuki.
11 years ago
Michuzi03 Feb
10 years ago
Bongo502 Oct
New Music: CPwaa — Kata Kiu
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Cpwaa aanzisha ‘lebo’ yake
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Ilunga Khalifa ‘Cpwaa’, ameanzisha ‘lebo’ yake inayojulikana kwa jina la ‘Brain Storm Music’ ambayo tayari ameanza kusajili wasanii mbalimbali. Kwa mujibu wa Cpwaa,...
9 years ago
Bongo522 Dec
C9 and Adassa co-produce new song for US label Epic Records
![c9 adassa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/c9-adassa-300x194.jpg)
Tanzanian producer C9 has signed a production and co-publishing agreement with US company Tunch Tunch Ltd, a subsidiary of Kult Records (www.kult.com).
The Agreement provides for the production of a new song with US star Adassa and an option for 10 more songs to be delivered to the US label in the forthcoming months.
The project with Adassa has been produced as part of a submission request from Epic Records (www.epicrecords.com) for their band Fifth Harmony (double Platinum Billboard band...
11 years ago
Bongo524 Jul
Busta Rhymes aondoka kwenye label ya YMCMB