Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya "CPwaa" Brainstormusic record label yawasaini "Wadananda"

Kundi la Muziki wa kizazi kipya lijulikanalo kama "Wadananda" limebahatika kuingia mkataba na Record label mpya nchini Tanzania ya "Brainstormusic". kampuni hiyo inayomsimamia msanii maarufu wa kizazi kipya " CPwaa" imeamua kujitanua na kuanza rasmi kusimamia kazi na wasanii wa muziki,filamu,Michezo, Michoro,Vinyago,Upigaji picha pamoja na fashion.
Wadananda linalotengenezwa na vijana wawili "Kea Ahmedi kidato"(Customer Care) na "Natali Ali Katolila" (Pengo) wameingia mkataba huo na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Citizen Daily

Zuchu is the new face on Diamond’s record label WCB

Zuchu is the new face on Diamond’s record label WCB  The Citizen DailyDiamond Platnumz introduces beautiful singer Zuchu as new member of WCB  Breaking NEWS in KENYA for Today Right Now & Kenyan News | TUKODiamond Platnumz former stylist now a drug addict living in the streets!  Ghafla!Meet Zuchu the new Wasafi records member with angelic vocals from her mama, Khadija Kopa!  Ghafla!View Full coverage on Google News

 

10 years ago

BBC

AUDIO: Malawi music record label launched

The founder of Spare Dog Records tells BBC Africa why he has established the new label to promote artists from Malawi.

 

9 years ago

Bongo5

Record label ya The Industry ya Nahreel yaanza rasmi, yasainisha wasanii wawili

20151216203624

Record label ya The Industry inayomilikiwa na producer Nahreel imeanza rasmi.

20151216203624
Rosa ni mmoja ya wasanii wawili waliosanishwa na The Industry

Nahreel ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshawasainisha wasanii wawili chini ya label hiyo.

Mmoja kati ya wasanii hao ni rapper wa kike aitwaye Rosa. Amesema hivi karibuni ataanza kuachia kazi za wasanii hao wapya.

20151216203629

Pamoja na kuanzisha record label hiyo, Nahreel pia alifungua shule ya muziki.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia...

 

11 years ago

CloudsFM

ILE RECORD LABEL INAYOTENGEZA KAZI ZA WASANII ILIYO CHINI PRODUCER MSWAKI IMEKUFA

Ile record label iliyotengeneza kazi za wasanii kama Linex, Wayre, Maunda Zoro, Q Chillah, TID Mnyama hapa naizungumzia black curtains iliyokua chini ya wakurugenzi wawili Producer Mswaki na mwenzake imevunjika na badala yake Mswaki amejiunga na watu wengine na kuunda record label nyingine.Mswaki akatoa deal kwa wasanii watakao kuwa tayari kufanya kazi na label hiyo iliyopo Mikocheni karibu na hospitali ya Kairuki.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: CPwaa — Kata Kiu

CPwaa anakuletea single yake mpya “Kata Kiu” imetaarishwa na Producer mkongwe P Funk Majani ndani ya Bongo Records

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cpwaa aanzisha ‘lebo’ yake

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Ilunga Khalifa ‘Cpwaa’, ameanzisha ‘lebo’ yake inayojulikana kwa jina la ‘Brain Storm Music’ ambayo tayari ameanza kusajili wasanii mbalimbali. Kwa mujibu wa Cpwaa,...

 

9 years ago

Bongo5

C9 and Adassa co-produce new song for US label Epic Records

c9 adassa

Tanzanian producer C9 has signed a production and co-publishing agreement with US company Tunch Tunch Ltd, a subsidiary of Kult Records (www.kult.com).

c9 adassa

The Agreement provides for the production of a new song with US star Adassa and an option for 10 more songs to be delivered to the US label in the forthcoming months.

The project with Adassa has been produced as part of a submission request from Epic Records (www.epicrecords.com) for their band Fifth Harmony (double Platinum Billboard band...

 

11 years ago

Bongo5

Busta Rhymes aondoka kwenye label ya YMCMB

Busta Rhymes sio member wa YMCMB tena. Baada ya kukaa miaka miwili na label hiyo, rapper huyo mkongwe ameondoka Cash Money. Akiongea kwenye kituo cha SiriusXM cha ‘Sway in the Morning’, Bussa Buss amedai kuwa kuondoka kwake ni kutokana na kutooelewana katika masuala ya kiubunifu. Busta amesonga mbele na career yake na mapema mwezi huu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani