Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Record label ya The Industry ya Nahreel yaanza rasmi, yasainisha wasanii wawili

20151216203624

Record label ya The Industry inayomilikiwa na producer Nahreel imeanza rasmi.

20151216203624
Rosa ni mmoja ya wasanii wawili waliosanishwa na The Industry

Nahreel ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshawasainisha wasanii wawili chini ya label hiyo.

Mmoja kati ya wasanii hao ni rapper wa kike aitwaye Rosa. Amesema hivi karibuni ataanza kuachia kazi za wasanii hao wapya.

20151216203629

Pamoja na kuanzisha record label hiyo, Nahreel pia alifungua shule ya muziki.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

ILE RECORD LABEL INAYOTENGEZA KAZI ZA WASANII ILIYO CHINI PRODUCER MSWAKI IMEKUFA

Ile record label iliyotengeneza kazi za wasanii kama Linex, Wayre, Maunda Zoro, Q Chillah, TID Mnyama hapa naizungumzia black curtains iliyokua chini ya wakurugenzi wawili Producer Mswaki na mwenzake imevunjika na badala yake Mswaki amejiunga na watu wengine na kuunda record label nyingine.Mswaki akatoa deal kwa wasanii watakao kuwa tayari kufanya kazi na label hiyo iliyopo Mikocheni karibu na hospitali ya Kairuki.

 

10 years ago

BBC

AUDIO: Malawi music record label launched

The founder of Spare Dog Records tells BBC Africa why he has established the new label to promote artists from Malawi.

 

5 years ago

The Citizen Daily

Zuchu is the new face on Diamond’s record label WCB

Zuchu is the new face on Diamond’s record label WCB  The Citizen DailyDiamond Platnumz introduces beautiful singer Zuchu as new member of WCB  Breaking NEWS in KENYA for Today Right Now & Kenyan News | TUKODiamond Platnumz former stylist now a drug addict living in the streets!  Ghafla!Meet Zuchu the new Wasafi records member with angelic vocals from her mama, Khadija Kopa!  Ghafla!View Full coverage on Google News

 

11 years ago

Michuzi

Baada ya "CPwaa" Brainstormusic record label yawasaini "Wadananda"

Kundi la Muziki wa kizazi kipya lijulikanalo kama "Wadananda" limebahatika kuingia mkataba na Record label mpya nchini Tanzania ya "Brainstormusic". kampuni hiyo inayomsimamia msanii maarufu wa kizazi kipya " CPwaa" imeamua kujitanua na kuanza rasmi kusimamia kazi na wasanii wa muziki,filamu,Michezo, Michoro,Vinyago,Upigaji picha pamoja na fashion.
Wadananda linalotengenezwa na vijana wawili "Kea Ahmedi kidato"(Customer Care) na "Natali Ali Katolila" (Pengo) wameingia mkataba huo na...

 

10 years ago

Bongo5

Nahreel afungua studio mpya ‘The Industry’, Diamond na wengine wameshaibariki

Mtayarishaji wa muziki, Nahreel amefungua studio mpya iitwayo ‘The Industry’ na tayari amefanya wimbo na wasanii mbalimbali wakiwemo Diamond, Nikki wa Pili pamoja na kundi lake, Navy Kenzo. Nahreel amesema studio hiyo ina wiki moja tu tangu ifunguliwe lakini tayari imeshafanya nyimbo na wasanii kadhaa. “Yeah kuna kitu kinaendelea Diamond alikuwa kwenye studio yetu mpya […]

 

11 years ago

Michuzi

WEZI WA KAZI ZA WASANII KUKIONA,KAMATA KAMATA YAANZA RASMI



 Kampuni ya Msama Promotions Ltd,kwa kushirikiana na Wizara ya habari vijana,utamaduni na michezo  imetangaza neema kwa wasanii kuanza zoezi la kuwakamata watu wanaouza nakala feki  za wasanii hapa nchini.
Mkurugenzi wa kampuni hiyo,Bwana  Alex Msama  amesema hayo jijini dar ,kuwa zoezi hilo limekwishaanza, na mpaka  sasa wamekamatwa vijana wane katika mkoa wa Dodoma na watatu jijini Mwanza.
‘’Kuna kazi mbalimbali ambazo zinaibiwa kila kukicha huku wamiliki wa kazi hizo wakiendelea  kushuka...

 

5 years ago

GlobeNewswire

Philippines Construction Industry to Record a CAGR of 14.4% During 2020-2024

Philippines Construction Industry to Record a CAGR of 14.4% During 2020-2024  GlobeNewswire

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel anaamini CMEA na COSOTA zitabadilisha maisha ya wasanii

Nahreel

Nahreel anaamini kuwa kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii nchini (CMEA) ikishirikiana na COSOTA zitaweza kubadilisha maisha ya wasanii.

Mtayarishaji huyo wa muziki amesema CMEA itawasaidia wasanii kujua nafasi walizo nazo na nini wafanye ili kufanikiwa zaidi.

“Ukiwa upo kwenye system, utakuwa unakula ile hela yako unayoifanyia kazi, haki yako ambayo tayari umeshaifanyia kazi. So ni kitu kizuri kitatusaidia sisi, tutaweza hata kupanga vitu in future. Kazi zetu sitakuwa safe,”...

 

10 years ago

Bongo5

Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili

Wiki iliyopita ilifanyika tathmini ya tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) za mwaka jana, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kwenye msimu mpya wa tuzo hizo kwa mwaka huu 2015. Kwa kawaida Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) hualika wadau mbalimbali kuhudhuria tathmini ya tuzo za mwaka uliopita kwa lengo la kuwapa nafasi ya kutoa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani