Record label ya The Industry ya Nahreel yaanza rasmi, yasainisha wasanii wawili
Record label ya The Industry inayomilikiwa na producer Nahreel imeanza rasmi.
Rosa ni mmoja ya wasanii wawili waliosanishwa na The Industry
Nahreel ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshawasainisha wasanii wawili chini ya label hiyo.
Mmoja kati ya wasanii hao ni rapper wa kike aitwaye Rosa. Amesema hivi karibuni ataanza kuachia kazi za wasanii hao wapya.
Pamoja na kuanzisha record label hiyo, Nahreel pia alifungua shule ya muziki.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM09 Jun
ILE RECORD LABEL INAYOTENGEZA KAZI ZA WASANII ILIYO CHINI PRODUCER MSWAKI IMEKUFA
Ile record label iliyotengeneza kazi za wasanii kama Linex, Wayre, Maunda Zoro, Q Chillah, TID Mnyama hapa naizungumzia black curtains iliyokua chini ya wakurugenzi wawili Producer Mswaki na mwenzake imevunjika na badala yake Mswaki amejiunga na watu wengine na kuunda record label nyingine.
Mswaki akatoa deal kwa wasanii watakao kuwa tayari kufanya kazi na label hiyo iliyopo Mikocheni karibu na hospitali ya Kairuki.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/79321000/jpg/_79321532_dannykalima.jpg)
AUDIO: Malawi music record label launched
5 years ago
The Citizen Daily09 Apr
Zuchu is the new face on Diamond’s record label WCB
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eLDI0rElRbE/U3o_U_FmLwI/AAAAAAAFjuQ/8plhsHcyzAo/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Baada ya "CPwaa" Brainstormusic record label yawasaini "Wadananda"
![](http://1.bp.blogspot.com/-eLDI0rElRbE/U3o_U_FmLwI/AAAAAAAFjuQ/8plhsHcyzAo/s1600/unnamed+(24).jpg)
Wadananda linalotengenezwa na vijana wawili "Kea Ahmedi kidato"(Customer Care) na "Natali Ali Katolila" (Pengo) wameingia mkataba huo na...
10 years ago
Bongo527 Aug
Nahreel afungua studio mpya ‘The Industry’, Diamond na wengine wameshaibariki
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s72-c/IMG_5616.jpg)
WEZI WA KAZI ZA WASANII KUKIONA,KAMATA KAMATA YAANZA RASMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s1600/IMG_5616.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni hiyo,Bwana Alex Msama amesema hayo jijini dar ,kuwa zoezi hilo limekwishaanza, na mpaka sasa wamekamatwa vijana wane katika mkoa wa Dodoma na watatu jijini Mwanza.
‘’Kuna kazi mbalimbali ambazo zinaibiwa kila kukicha huku wamiliki wa kazi hizo wakiendelea kushuka...
5 years ago
GlobeNewswire20 Mar
Philippines Construction Industry to Record a CAGR of 14.4% During 2020-2024
9 years ago
Bongo526 Nov
Nahreel anaamini CMEA na COSOTA zitabadilisha maisha ya wasanii
![Nahreel](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Nahreel-300x194.jpg)
Nahreel anaamini kuwa kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii nchini (CMEA) ikishirikiana na COSOTA zitaweza kubadilisha maisha ya wasanii.
Mtayarishaji huyo wa muziki amesema CMEA itawasaidia wasanii kujua nafasi walizo nazo na nini wafanye ili kufanikiwa zaidi.
“Ukiwa upo kwenye system, utakuwa unakula ile hela yako unayoifanyia kazi, haki yako ambayo tayari umeshaifanyia kazi. So ni kitu kizuri kitatusaidia sisi, tutaweza hata kupanga vitu in future. Kazi zetu sitakuwa safe,”...
10 years ago
Bongo510 Mar
Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili