Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Busta Rhymes aondoka kwenye label ya YMCMB

Busta Rhymes sio member wa YMCMB tena. Baada ya kukaa miaka miwili na label hiyo, rapper huyo mkongwe ameondoka Cash Money. Akiongea kwenye kituo cha SiriusXM cha ‘Sway in the Morning’, Bussa Buss amedai kuwa kuondoka kwake ni kutokana na kutooelewana katika masuala ya kiubunifu. Busta amesonga mbele na career yake na mapema mwezi huu […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Music: Busta Rhymes — Master Race

Wimbo mpya kutoka kwa Busta Rhymes unaitwa “Master Race” Producer Pharrell Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

Akon adai hajutii kuacha kumsainisha Drake kwenye label yake alipotambulishwa kwake mwaka 2005

Kama angemwelewa vyema, leo hii Drake angekuwa msanii wa Akon kupitia label yake ya Konvict Music, lakini hakushawishiwa na uwezo wake kipindi hicho. Ilikuwa ni mwaka 2005 pindi rapper wa Canada, Kardinal Offishall alimpompelekea Akon nyimbo za Drake kuona kama anaweza kumchukua. Hata hivyo Akon hakukikubali kipaji cha Drake kama alivyovutiwa na T-Pain na Lady […]

 

10 years ago

GPL

MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 AONDOKA RASMI KUELEKEA JIJINI MIAMI KWENYE FAINALI ZA DUNIA

Mrembo wa miss Universe Tanzania 2014,Carolyn Bernard ameondoka rasmi nchini kuelekea nchini Marekani kwenye fainali za  dunia za Miss Universe zitakazofanyika jijini Miami tarehe 25 mwezi huu wa januari.

 

10 years ago

Bongo5

Lil Wayne atishia kuondoka YMCMB, awalaumu kwa kuzuia kutoa album yake

Lil Wayne ameishutumu label yake ya Young Money (YMCMB) kwa kuzuia kutoa album yake ya ‘Tha Carter V’ na kutishia kuondoka kwenye label hiyo. Weezy ameandika tweet kama mvua za kulalamika, “Kwa mashabiki wangu wote, nataka wote mjue kwamba album yangu haitatoka na haijatoka kwasababu Baby (Bird Man) na Cash Money Rec wamekataa kuitoa”. Aliandika […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Gelly Wa Rhymes – Kontena

cover - Gerry

Msanii Gelly Wa Rhymes ameachia wimbo mpya unaitwa “Kontena”, Producer Teaz Villah

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Gelly wa Rhymes- Trap Queen

Gelly wa Rhymes ameamua kuonesha uwezo wake wa kuchana kwenye ngoma hii Trap Queen. Isikilize. Related Tags:

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Joslin ft Stopa Rhymes — Tesa Naye

Msanii Joslin akishirikisha na Stopa Rhymes ameachia video mpya wa wimbo wake ‘Tesa Naye’ iliyoongozwa na Numark Production.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani