Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Music: Busta Rhymes — Master Race

Wimbo mpya kutoka kwa Busta Rhymes unaitwa “Master Race” Producer Pharrell Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Busta Rhymes aondoka kwenye label ya YMCMB

Busta Rhymes sio member wa YMCMB tena. Baada ya kukaa miaka miwili na label hiyo, rapper huyo mkongwe ameondoka Cash Money. Akiongea kwenye kituo cha SiriusXM cha ‘Sway in the Morning’, Bussa Buss amedai kuwa kuondoka kwake ni kutokana na kutooelewana katika masuala ya kiubunifu. Busta amesonga mbele na career yake na mapema mwezi huu […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Gelly Wa Rhymes – Kontena

cover - Gerry

Msanii Gelly Wa Rhymes ameachia wimbo mpya unaitwa “Kontena”, Producer Teaz Villah

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Gelly wa Rhymes- Trap Queen

Gelly wa Rhymes ameamua kuonesha uwezo wake wa kuchana kwenye ngoma hii Trap Queen. Isikilize. Related Tags:

 

11 years ago

TheCitizen

A Master of the Bongo music industry

>Joachim Kimaryo a.k.a Master J,  two time winner of the Kili Music Awards 2004, 2007 and judge of a talent search show ‘Bongo Star Search,’  is a music producer who is well known for his  skills in music production. Over the past several years he has worked on projects  with  bands such as Twanga pepeta, Diamond and the  Kijitonyama Choir on their hit song, ‘Hakuna Mungu kama wewe.’

 

9 years ago

Bongo5

Music: Dark Master Ft Ibrah – Wapi Tunaenda

artist_5da12066b4ef7232610b416f576669f8

Msanii wa bongo fleva ambaye ni member wa Chamber Squad Dark Master ameachia wimbo mpya unaitwa “Wapi Tunaenda”, Amemshirikisha Ibrah, Studio Bantu Music, Produced by No future.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Joslin ft Stopa Rhymes — Tesa Naye

Msanii Joslin akishirikisha na Stopa Rhymes ameachia video mpya wa wimbo wake ‘Tesa Naye’ iliyoongozwa na Numark Production.

 

11 years ago

CloudsFM

MIAKA 15 YA MFALME WA RHYMES KUFANYIKA UJUMAA HII MJINI MOROGORO

Ijumaa ya wiki hii tarehe 27 June ndiyo tarehe rasmi ya sherehe ya maadhimisho ya miaka 15 ya mfalme wa rhymes Afande Sele, wasanii zaidi ya 20 watapiga shoo na pale katika ukumbi wa Terminar Msamvu, akiwemo Dito na Koba ambao walikuwa wakiunda kundi la Watu Pori chini Afande, kuna list ndefu ya wasanii wakongwe wa bongo flava na wasanii wapya, atakuwepo Dj Mzungu, anaitwa dj Kulala Simba.Pia waendesha bodaboda watafanya matembezi kuizunguka morogoro, pia kuna ligi ya mfalme itakua...

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Umeiskia ‘Am Happy’ ya Bob Manecky f/ Quick Rocka, G-Nako, Jux, Ben Pol, Young D na Gelly wa Rhymes?

Producer wa AM Records, Bob Manecky ameachia wimbo uitwao ‘Am Happy’ aliowashirikisha Quick Rocka, G-Nako, Jux, Ben Pol, Young D na Gelly wa Rhymes. Usikilize hapo chini, utaupenda. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani