Transfoma kubwa yaharibika Dar
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Felichesmi Mramba amesema kukatika kwa umeme katika baadhi ya maeneo jijini hapa kunatokana na kuharibika kwa transfoma kubwa iliyopo Kituo cha Kipawa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo17 Nov
MRI yaharibika tena Muhimbili
UONGOZI wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) umesimamisha kwa muda huduma za uchunguzi kupitia mashine ya MRI kuanzia mwishoni mwa wiki, kwa ajili ya matengenezo zaidi ya mashine hiyo.
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Mashine ya MRI Muhimbili yaharibika tena
Veronica Romwald na Allen Msapi (GHI), Dar es Salaam
MASHINE ya uchunguzi wa magonjwa mbalimbali ijulikanayo kama Magnetic Reasonance Imaging (MRI) iliyopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, imeharibika tena baada ya kufanya kazi kwa siku mbili, tangu ilipofanyiwa matengenezo na Kampuni ya Philips.
Mashine hiyo ilifanyiwa matengenezo kutokana na shinikizo la Rais Dk. John Magufuli aliyefanya ziara ya kushtukiza hospitalini hapo na kuamuru zifanyiwe marekebisho haraka.
Katika ziara yake hiyo,...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Siri ya wizi mafuta ya transfoma yabainika
11 years ago
GPLHATARI: KIYOYOZI KINACHOHATARISHA TRANSFOMA ILIYO CHINI
10 years ago
GPLTRANSFOMA LALIPUKA NA KUTEKETEA KWA MOTO ENEO LA MGOLOLO, IRINGA
5 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI DK.KALEMANI ASEMA TRANSFOMA ZA KVA 11 ZIPO ZA KUTOSHA NCHINI...ATOA NENO
WAZIRI wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amefanya ziara ya kikazi katika Kiwanda cha Tropical Industries kinachotengeneza nyaya na Transfoma kilichopo Mwenge jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa ziara zake kuona uwezo wa viwanda vya ndani katika uzalishaji wa vifaa muhimu vya umeme.
Akizungumza akiwa kiwandani hapo Dk.Kalemani amesema kuwa mahitaji ya ndani ya transfoma kwa mwaka ni 21,000 na kiwanda cha Tropical kina uwezo wa kuzalisha...
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Bomoabomoa kubwa yaja Dar
10 years ago
Habarileo30 Dec
Mvua kubwa yaua Dar
MVUA iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imeleta balaa baada ya kuua watu wawili, katika maeneo tofauti ya jiji, likiwemo tukio la mtoto wa miaka minane kufa baada ya kuzidiwa na maji yaliyoingia ndani ya nyumba aliyokuwa amelala.
11 years ago
MichuziTamasha kubwa la watoto kufanyika Dar May 31 na June 1
Hili ni tamasha kubwa zaidi litakalowakutanisha watoto wengi wa jiji la Dar es Salaam na maeneo ya jirani kufurahia kwa pamoja michezo wanayoipenda zaidi na pia...