Mvua kubwa yaua Dar
MVUA iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imeleta balaa baada ya kuua watu wawili, katika maeneo tofauti ya jiji, likiwemo tukio la mtoto wa miaka minane kufa baada ya kuzidiwa na maji yaliyoingia ndani ya nyumba aliyokuwa amelala.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Mar
Mvua yaua 5 Dar es Salaam, yajeruhi
HALI ni tete katika jiji la Dar es Salaam, kutokana na mvua ya masika iliyonyeshwa kwa siku tatu na kusababisha vifo vya watu watano, huku nyumba nyingi zikiwa zimezingirwa na maji.
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Mvua yaua watano Dar, wamo wanafunzi
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Mvua yaua wawili, yakata mawasiliano Dar, Bagamoyo
MVUA inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam imeanza kuleta athari baada ya watu wawili kufariki dunia jijini humo huku kaya zaidi ya 200 zikikosa mahali pa kuishi baada ya nyumba...
10 years ago
Vijimambo29 Dec
MVUA KUBWA ‘YALILOWESHA’ JIJI LA DAR ES SALAAM
MTANDAO wetu leo umefanikiwa kuzunguka baadhi ya maeneo katika viunga vya jiji la Dar es Salaam na kujionea baadhi ya maeneo baada ya mvua kubwa ‘kuanguka’ katika jiji hili na maeneo ya jirani na kusababisha...
10 years ago
GPLMVUA YAGEUKA KERO KUBWA KWA WAKAZI WA DAR
10 years ago
GPLMVUA KUBWA ‘YALILOWESHA’ JIJI LA DAR ES SALAAM
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Mvua yaua, yaezua nyumba 62
10 years ago
Habarileo05 Mar
Mvua yaua watu 38 Kahama
MAAFA makubwa yameikumba Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga baada ya watu 38 kufa papo hapo na wengine 82 kujeruhiwa, kutokana na mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali, iliyonyesha katika Kijiji cha Mwakata Kata ya Isaka.