MVUA KUBWA ‘YALILOWESHA’ JIJI LA DAR ES SALAAM
Mtaa wa Ohio katikati ya jiji ulivyokuwa umekumbwa na maji.…
Hali ilivyokuwa maeneo ya Mwananyamala A.
Maeneo ya Hongera, Sinza, nayo yalijaa maji.
Maeneo ya Afrika Sana yalionja adha ya mvua hiyo kama sehemu nyingine nyingi.
Hapa ni eneo la Mwenge-Bamaga ambalo nalo liliathirika vibaya.
MTANDAO wetu leo umefanikiwa kuzunguka baadhi ya maeneo katika viunga vya jiji la Dar es Salaam na kujionea baadhi ya maeneo baada ya mvua kubwa ‘kuanguka’ katika jiji hili na maeneo ya jirani na kusababisha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMVUA KUBWA ‘YALILOWESHA’ JIJI LA DAR ES SALAAM
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04asOwmW*SKgn3TimauSV90U8GbhosZxDIUVmDtkymzbIbrR3xZEBx5OLgW1QVTszl7vqi*pfL776P6StFi2Bwzdp/IMG20140408WA0012.jpg?width=650)
10 years ago
GPL08 May
10 years ago
Habarileo30 Dec
Mvua kubwa yaua Dar
MVUA iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imeleta balaa baada ya kuua watu wawili, katika maeneo tofauti ya jiji, likiwemo tukio la mtoto wa miaka minane kufa baada ya kuzidiwa na maji yaliyoingia ndani ya nyumba aliyokuwa amelala.
10 years ago
Vijimambo10 years ago
GPLMVUA YAGEUKA KERO KUBWA KWA WAKAZI WA DAR
11 years ago
Michuzi18 Feb
IDADI kubwa ya Wakazi wa jiji la Dar wawataka Kwetu Pazuri
10 years ago
Dewji Blog07 May
Exclusive mvua ya siku 3 Dar: Jiji lasimama, miundombinu kero tupu kila kona
Na Andrew Chale, Modewji blog
Kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwa siku ya tatu leo imeendelea kusababisha uharibifu wa miundombinu mingi ya jiji la Dar es Salaam kuharibika vibaya huku mingine ikifungwa kwa kushindwa kutumika hasa kwa magari yaingiayo katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Modewji blog imeshuhudia maeneo kadhaa katikati ya jiji na maeneo mengineo ya nje ya jiji yakiwa katika ubovu mkubwa hata magari kupita kwa taabu na mengine kuzama katika madimbwi.
Baadhi ya...