Mvua yaua 5 Dar es Salaam, yajeruhi
HALI ni tete katika jiji la Dar es Salaam, kutokana na mvua ya masika iliyonyeshwa kwa siku tatu na kusababisha vifo vya watu watano, huku nyumba nyingi zikiwa zimezingirwa na maji.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Ajali yaua 6, yajeruhi 12 Dar
WATU sita wamefariki dunia papo hapo na zaidi ya 12 kujeruhiwa katika ajali mbaya iliyohusisha magari manne. Akizungumzia tukio hilo lililotokea jana eneo la Makongo, jijini Dar es Salaam, Kamanda...
10 years ago
Vijimambo15 Oct
Habari kamili ya Ajali ya tenki la mafuta Dar- yaua, yajeruhi 20
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-6GKETkL9_x0%2FVDzFldMvdSI%2FAAAAAAAGqZg%2F6YiEVuTpIqM%2Fs1600%2FIMG-20141014-WA0006.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
NIPASHE ilifika jana katika eneo na kushuhudia umati wa watu wakishangaa tukio, huku maduka sita, bar moja na nyumba ya kulala wageni vimeungua.
Mmoja wa mashuhuda hao, Shabani Mlawa alisema Majira ya saa 5:30 usiku, gari lilikuwa likitoka kujaza mafuta.
Alisema mara...
10 years ago
GPL08 May
10 years ago
Habarileo30 Dec
Mvua kubwa yaua Dar
MVUA iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imeleta balaa baada ya kuua watu wawili, katika maeneo tofauti ya jiji, likiwemo tukio la mtoto wa miaka minane kufa baada ya kuzidiwa na maji yaliyoingia ndani ya nyumba aliyokuwa amelala.
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Mvua yaua watano Dar, wamo wanafunzi
10 years ago
Habarileo20 Feb
Ajali yaua 2 yajeruhi 45
WATU wawili wamekufa papo hapo huku wengine 45 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza kugongana uso kwa uso na roli katika kijiji cha Vikonje wilayani Chamwino mkoani hapa.
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Mvua yaua wawili, yakata mawasiliano Dar, Bagamoyo
MVUA inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam imeanza kuleta athari baada ya watu wawili kufariki dunia jijini humo huku kaya zaidi ya 200 zikikosa mahali pa kuishi baada ya nyumba...
11 years ago
Habarileo22 Apr
Ajali ya basi yaua 10, yajeruhi 30
WATU 10 wamekufa papo hapo na wengine 30 kujeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya basi la Luhuye Express lililokuwa likitoka wilayani Tarime mkoani Mara kwenda jijini Mwanza jana.
11 years ago
Uhuru Newspaper27 Jun
Mabomu yaua 12, yajeruhi watu 137
WATU 12 wameuawa na wengine 137 kujeruhiwa katika matukio tisa ya ulipuaji mabomu yaliyotokea katika mikoa ya Arusha, Morogoro, Lindi, Dar es Salaam, Mwanza na Zanzibar.
Aidha, watu 25 wamekamatwa katika tukio la ulipuaji bomu lililofanyika hivi karibuni katika eneo la darajani kisiwani Zanzibar, ambapo mtu mmoja alifariki. Watano kati ya watu hao, wameshafikishwa mahakamani.
Hayo yalisemwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Perreira Ame Silima, alipokuwa akijibu swali...