Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvua yaua 5 Dar es Salaam, yajeruhi

Nyumba za wakazi wa Bonde la Hananasif, Kinondoni zikiwa zimefunikwa na maji baada ya bonde hilo kufurika maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Fadhili Akida).HALI ni tete katika jiji la Dar es Salaam, kutokana na mvua ya masika iliyonyeshwa kwa siku tatu na kusababisha vifo vya watu watano, huku nyumba nyingi zikiwa zimezingirwa na maji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali yaua 6, yajeruhi 12 Dar

WATU sita wamefariki dunia papo hapo na zaidi ya 12 kujeruhiwa katika ajali mbaya iliyohusisha magari manne. Akizungumzia tukio hilo lililotokea jana eneo la Makongo, jijini Dar es Salaam, Kamanda...

 

10 years ago

Vijimambo

Habari kamili ya Ajali ya tenki la mafuta Dar- yaua, yajeruhi 20

Watu 20 wameungua vibaya na mmoja kufariki dunia baada ya kulipukiwa na petroli wakati kundi la vijana walipokuwa wakijaribu kupora mafuta hayo kwenye lori hilo lililopinduka eneo la Mbagala Rangi tatu jijini Dar es Salaam.

NIPASHE ilifika jana katika eneo na kushuhudia umati wa watu wakishangaa tukio, huku maduka sita, bar moja na nyumba ya kulala wageni vimeungua.

Mmoja wa mashuhuda hao, Shabani Mlawa alisema Majira ya saa 5:30 usiku, gari lilikuwa likitoka kujaza mafuta.

Alisema mara...

 

10 years ago

Habarileo

Mvua kubwa yaua Dar

Wakazi wa Dar es Salaam wakipita ndani ya dimbwi la maji ya mvua yaliyotuama katika Barabara ya Bibi Titi jirani na kituo cha daladala ya chumba cha Dada Pendo, cha Akiba kutokana na mvua kubwa iliyonyesha jana. (Picha na Mroki Mroki).MVUA iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imeleta balaa baada ya kuua watu wawili, katika maeneo tofauti ya jiji, likiwemo tukio la mtoto wa miaka minane kufa baada ya kuzidiwa na maji yaliyoingia ndani ya nyumba aliyokuwa amelala.

 

10 years ago

Mwananchi

Mvua yaua watano Dar, wamo wanafunzi

>Watu watano wamefariki dunia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, watatu kati yao wakiwamo wanafunzi wawili, wakipoteza maisha baada ya kibanda walichojihifadhi kujikinga na mvua kuangukiwa na nguzo ya umeme na kuwaunguza.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali yaua 2 yajeruhi 45

David Misime.WATU wawili wamekufa papo hapo huku wengine 45 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza kugongana uso kwa uso na roli katika kijiji cha Vikonje wilayani Chamwino mkoani hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mvua yaua wawili, yakata mawasiliano Dar, Bagamoyo

MVUA inayoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam imeanza kuleta athari baada ya watu wawili kufariki dunia jijini humo huku kaya zaidi ya 200 zikikosa mahali pa kuishi baada ya nyumba...

 

11 years ago

Habarileo

Ajali ya basi yaua 10, yajeruhi 30

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Simiyu, Charles MkumboWATU 10 wamekufa papo hapo na wengine 30 kujeruhiwa vibaya kutokana na ajali ya basi la Luhuye Express lililokuwa likitoka wilayani Tarime mkoani Mara kwenda jijini Mwanza jana.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mabomu yaua 12, yajeruhi watu 137




WATU 12 wameuawa na wengine 137 kujeruhiwa katika matukio tisa ya ulipuaji mabomu yaliyotokea katika mikoa ya Arusha, Morogoro, Lindi, Dar es Salaam, Mwanza na Zanzibar.
Aidha, watu 25 wamekamatwa katika tukio la ulipuaji bomu lililofanyika hivi karibuni katika eneo la darajani kisiwani Zanzibar, ambapo mtu mmoja alifariki. Watano kati ya watu hao, wameshafikishwa mahakamani.
Hayo yalisemwa bungeni jana na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Perreira Ame Silima, alipokuwa akijibu swali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani