Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RED CUP Party Zanzibar ndani ya Palm Beach Bwejuu Feb 28

RCP

Na Andrew Chale wa modewjiblog

Ile party ya kijanja inayosubiriwa kwa hamu kubwa na watu mbalimbali wa  ndani na nje ya Zanzibar  Maarufu kama ‘RED CUP Party’  kufanyika Februari 28 ndani ya Hoteli ya Palm Beach iliyopo Bwejuu, Unguja.

Akielezea mwandaaji wa shoo hiyo ya kijanja, Djzoro ON Mix Man amesema tayari mipango yote imekamilika na tiketi zimeanza kuuzwa kwa sasa.

“Party ya kijanja ya RED CUP Party,  kwa sasa ni gumzo na tiketi zimeshaanza kuuzwa. Kwa kiingilio cha sh 10,000/= kwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan

IMG-20150501-WA0003

Na Modewji blog team

Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na  Zari  the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake  mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo  ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club,  akiwa na Mshindi wa Big Brother...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanza Ku-Jembeka na Sauti SOL Jumamosi hii Feb 21 ndani ya Jembe Beach

300 x 150m

Hatimaye ule mpango mzima wa kuzifungulia burudani ulioasisiwa na redio mpya ya jijini Mwanza JEMBE FM na kubatizwa jina ‘JEMBEKA’ unaanza rasmi jumamosi ya wiki hii tarehe 21/02/2015 ndani ya kiota cha burudani cha kitalii Jembe Beach Mwanza.

Burudani itakayo fungua mpango huo wa ‘JEMBEKA’ ni kutoka kwa kundi maarufu Afrika Mashariki lililovuka mipaka na sasa muziki wake kuchezwa hadi barani Ulaya kundi la Sauti Sol toka nchini Kenya ambao watapiga muziki LIVE.

Vijana wa Nyumbani JJ Band...

 

10 years ago

GPL

MWANZA KU-JEMBEKA NA SAUTI SOL JUMAMOSI HII FEB 21 NDANI YA JEMBE BEACH‏

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), akimkabidhi Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Seif Rashid machapisho mbalimbali baada ya kuzindua kongamano la siku mbili la kimataifa la watoto walio katika mazingira hatarishi Dar es Salaam jana. Wa pili kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia.… ...

 

11 years ago

Habarileo

Kizimbani kwa kuiba kiyoyozi Palm Beach

WAKAZI wa Magomeni, Juma Suleimani (49) na Stanslaus Daniel(30) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa kiyoyozi. Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomea mashitaka hayo mbele ya Hakimu Benjamini Mwakasonda.

 

11 years ago

Business Standard

Zanzibar President to visit India from Feb 1 to Feb 9


ANINEWS
Zanzibar President to visit India from Feb 1 to Feb 9
Business Standard
President of Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein will be on an official visit to India from February 1 to February 9 at the invitation of Vice President Hamid Ansari. Dr. Shein will be leading a delegation comprising of senior Ministers and officials. The visiting ...
President of Zanzibar to pay official visit to IndiaJagran Post

all 2

 

11 years ago

Michuzi

ZANZIBAR BEACH SOCCER KUCHEZWA KENDWA ROCK'S HOTEL BEACH

Na Andrew ChaleTAASISI ya  Mwangaza wa buradani Zanzibar  (Zanzibar Light Entertainment ) ya mjini Unguja,  Zanzibar, Imemtangaza rasmi  Hotel ya Kendwa Rocks  kuwa eneo litakapofanyika  michuano m aalum ya soka la ufukweni  lijulikanayo kama  (Zanzibar Beach Soccer Championship Bonanza) linalotarajiwa kufanyika Agosti  Mbili mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa yao hiyo  kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Mwandaaji wa michezo hiyo, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’  ilieleza kuwa,  kamati ya...

 

10 years ago

Bongo5

Kampeni ya One Billion Rising kufanyika Feb 14 Coco Beach

Tarehe 14, Februari, 2015, saa 8 mchana, Dar es Salaam itajiunga na wanaharakati duniani kote pale Coco Beach Masaki jijini Dar es Salaam kwa ajili ya One Billion Rising – harakati za wahamasishaji kimataifa kukomesha ukatili dhidi ya wanawake na wasichana. One Billion Rising ilianza kama wito wa kuchukua hatua kutokana na takwimu ya kushtua […]

 

10 years ago

Vijimambo

SUPER STAR "OMMY DIMPOZ " LIVE IN NEW YORK CITY SATURDAY FEB 21 (RED CARPET AFFAIR )

PERFORMING HITS LIKE -NAI NAI / BAADAE /ME &YOU /TUPOGO /NDAGUSHIMA/ KIGOMA/ RADIO/ MISS KOI KOI/ CHUKUA TIME /NUMBER ONE AND MORE                                     * KIINGILIO  $ 40 ADVANCE   |  MLANGONI $ 50 *
                                                                   ( INCLUSIVE OF )
                           *RED CARPET ENTRANCE  PHOTO SHOOT (FROM 5PM-6PM*
                                                              *3 -COURSE DINNER *
                                           ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani