Nguvuni akidaiwa kuiba mtoto
Jeshi la Polisi mkoani Geita, linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kuiba na kumtorosha mtoto wa miaka sita kwa lengo la kutaka kumdhuru na kumpeleka kusikojulikana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Mbaroni akidaiwa kuiba mtoto
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Polisi 14 nguvuni kwa kuiba mali ya Sh900 mil
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-k2Z0pYjYk38/VVndLYFgyYI/AAAAAAAAw6A/dAgUzx88Td0/s72-c/WEZI%2B3.jpg)
MAJAMBAZI WATIWA NGUVUNI BAADA YA KUFANYA JARIBIO LA KUIBA BENKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-k2Z0pYjYk38/VVndLYFgyYI/AAAAAAAAw6A/dAgUzx88Td0/s640/WEZI%2B3.jpg)
11 years ago
Habarileo06 Jun
Ofisa Masoko akidaiwa kuiba 69.8m/-
OFISA Masoko wa Kampuni ya NN General Supplies Simon Lyatuu (47) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 69.8.
11 years ago
Habarileo02 Jul
Kizimbani akidaiwa kuiba Sh mil 19.6/-
MKAZI wa Igoma, Mwanza, Leticia Moses (36) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 19.6.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Auawa akidaiwa kuiba mahindi mabichi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEUTGNqGkKz5Bfx9jRBPlvxBah6x3y37tAzd368A4p2seUQfgrAfwoXpEzE0orZaQm2gyihHICp8Z6Wqkzg-Y*HH/1Kibakaachomwamotoakidaiwakuibabasikeli.jpg?width=650)
ACHOMWA MOTO AKIDAIWA KUIBA BAISKELI MOROGORO
10 years ago
Habarileo16 Aug
Kizimbani akidaiwa kunajisi mtoto
MKAZI wa Kinondoni Msisiri jijini Dar es Salaam, Ally Mzaki (27) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, kujibu mashitaka ya kumnajisi mtoto wa miaka mitano.
10 years ago
Vijimambo09 Jan
Askari polisi mbaroni akidaiwa kubaka mtoto
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/justin-09Dec2015.jpg)
Askari polisi wa kituo kikuu cha Shinyanga aliyefahamika kwa jina moja la Alex, amewekwa korokoroni akituhumiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha kwanza (jina tunalo, 13), mkazi wa kata ya Ngokolo mjini hapa na kumsababishia maumivu makali sehemu za siri.
Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga, Justus Kamugisha, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo huku akisema jeshi hilo linaendelea kufanya uchunguzi ili kubaini ukweli kamili, akigoma kutaja...