Auawa akidaiwa kuiba mahindi mabichi
Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Sambila Mihayo anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 20 hadi 22 ameuawa kinyama na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiiba mahindi mabichi shambani katika Kitongoji cha Ilolanguli Kijiji cha Mbabani Wilaya ya Geita mkoani hapa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9f6yxLA6f2NvoAd97wAGT2hh7gVrfrln3WG9JubhCeuB3CSxJhHZlxDA6daB2sgnaWo1PdEMT8w9nljHwtMeTtW/2.gif)
ANASWA AKIIBA MAHINDI, ALAZIMISHWA KULA MABICHI!
11 years ago
Habarileo02 Jul
Kizimbani akidaiwa kuiba Sh mil 19.6/-
MKAZI wa Igoma, Mwanza, Leticia Moses (36) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 19.6.
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Mbaroni akidaiwa kuiba mtoto
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Nguvuni akidaiwa kuiba mtoto
11 years ago
Habarileo06 Jun
Ofisa Masoko akidaiwa kuiba 69.8m/-
OFISA Masoko wa Kampuni ya NN General Supplies Simon Lyatuu (47) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya wizi wa Sh milioni 69.8.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEUTGNqGkKz5Bfx9jRBPlvxBah6x3y37tAzd368A4p2seUQfgrAfwoXpEzE0orZaQm2gyihHICp8Z6Wqkzg-Y*HH/1Kibakaachomwamotoakidaiwakuibabasikeli.jpg?width=650)
ACHOMWA MOTO AKIDAIWA KUIBA BAISKELI MOROGORO
10 years ago
Vijimambo13 Nov
Kibaka auawa akidaiwa kupora maiti wa ajali
![](https://2.bp.blogspot.com/--ME-i2UoflM/VGM-WNBWqcI/AAAAAAAA8qY/k2WRIHmUdks/s640/3.jpg)
Ajali hiyo iliyotokea jana asubuhi, iliambatana na tukio la wananchi kuua mtu mmoja (pichani) wakimtuhumu kuwa kibaka aliyejaribu kuwapora fedha marehemu na majeruhi na ilihusisha basi la Wibonela Express lenye namba za usajili T412 CGN lililokuwa likisafiri kutoka Kahama kwenda jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya mashuhuda wa ajali...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Auawa akijaribu kuiba pikipiki
WATU wawili wamefariki dunia katika Mtaa wa Kigogo Mbuyuni, Dar es Salaam, akiwamo kijana anayesadikiwa kuwa katika kikundi cha ‘Panya road’ alipojaribu kupora pikipiki. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...
11 years ago
Habarileo06 Jan
Kijana auawa kwa tuhuma ya kuiba kuku 4
KIJANA mwenye umri wa miaka 20 mkazi wa Kijiji cha Isagala, wilayani Kishapu, mkoani Shinyanga, ameuawa na watu waliojichukulia sheria mkononi wakimtuhumu kuiba kuku wanne.