Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Auawa akijaribu kuiba pikipiki

WATU wawili wamefariki dunia katika Mtaa wa Kigogo Mbuyuni, Dar es Salaam, akiwamo kijana anayesadikiwa kuwa katika kikundi cha ‘Panya road’ alipojaribu kupora pikipiki. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAHABUSU AUAWA AKIJARIBU KUTOROKA MAHAKAMANI KISUTU‏, DAR

Muonekano wa mahabusu aliyekuwa anatuhumiwa kubeba madawa ya kulevya, Abdul Koroma raia wa Sierra Leone baada ya kupigwa risasi. Koroma akiwa  kwenye machela tayari kwa kupelekwa kuifadhiwa…

 

11 years ago

GPL

KIBAKA AOKOLEWA NA POLISI BAADA YA KUIBA PIKIPIKI

Kijana aliyenusurika kufa akiwa na Kamishna Suleiman Kova mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani). …Akiwa amesimama kwa ‘unyenyekevu’.…

 

11 years ago

Mwananchi

Auawa akidaiwa kuiba mahindi mabichi

Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Sambila Mihayo anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 20 hadi 22 ameuawa kinyama na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiiba mahindi mabichi shambani katika Kitongoji cha Ilolanguli Kijiji cha Mbabani Wilaya ya Geita mkoani hapa.

 

11 years ago

Habarileo

Kijana auawa kwa tuhuma ya kuiba kuku 4

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Evaresti MangalaKIJANA mwenye umri wa miaka 20 mkazi wa Kijiji cha Isagala, wilayani Kishapu, mkoani Shinyanga, ameuawa na watu waliojichukulia sheria mkononi wakimtuhumu kuiba kuku wanne.

 

10 years ago

Habarileo

Mwendesha pikipiki auawa kwa kutatuliwa tumbo

Kamanda wa Polisi Tabora, Suzan KagandaMWENDESHA pikipiki ameuawa na watu wasiofahamika kwa tumbo lake kutatuliwa na visu hadi utumbo ukatoka nje na mwili wake kutelekezwa eneo la makaburi ya Ipuli mjini Tabora .

 

10 years ago

BBCSwahili

Akamatwa akijaribu kuuza mtoto wa miezi 3

Mwanaume mmoja amekamatwa na polisi mjini Manchester kwa tuhuma za kutaka kuuza mtoto wa kike

 

11 years ago

GPL

HEEE! DOKTA AKUTWA AKIJARIBU KUMCHOROPOA MIMBA DENTI

Stori: Waandishi wetu KABAANG! Dokta mmoja aliyefahamika kwa jina la Herman amenaswa katika dispensari moja iliyopo Buguruni Kwamnyamani jijini Dar akijiandaa kumtoa mimba mwanafunzi. Dokta Herman akitahayali baada ya tukio hilo. Awali, kikosi kazi cha kufichua maovu cha Global Publishers (OFM), kilipewa malalamiko juu ya dispensari hiyo kuwa ni kinara wa mchezo huo mchafu wa kuwatoa mimba mabinti wadogo hususan wanafunzi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete ana wakati mgumu akijaribu kupuuza maazimio ya Bunge

Maazimio ya Bunge yalimtaka Rais kuwawajibisha wote waliotajwa kuhusika na kashfa ya escrow, uamuzi ambao upo mikononi mwa Rais Kikwete

 

11 years ago

Michuzi

NMB YAWAKOMBOA VIJANA KIUCHUMI KWA KUWAPA MIKOPO NAFUU YA PIKIPIKI Ni mikopo kwa ajili ya pikipiki za miguu miwili na mitatu

 Benki ya NMB kwa kushirikiana na kampuni tatu yaani Fair Deal Auto Private Ltd inayosambaza pikipiki za miguu miwili na mitatu aina ya Bajaji, kampuni ya Car & General Limited Ltd inayosambaza pikipiki za miguu mitatu aina ya TV’S King pamoja na kampuni ya Quality Motors inayosambaza pikipiki za miguu miwili aina ya Honda wameingia ubia ili kuwawezesha wananchi kupata mikopo nafuu ya kumiliki pikipiki za miguu miwili na mitatu.   Hii yote ni katika kuendeleza azma ya NMB inayolenga kubuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani