Kikwete ana wakati mgumu akijaribu kupuuza maazimio ya Bunge
Maazimio ya Bunge yalimtaka Rais kuwawajibisha wote waliotajwa kuhusika na kashfa ya escrow, uamuzi ambao upo mikononi mwa Rais Kikwete
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Bunge la Kenya lafuta kikao, huku Wakenya wakionywa kuhusu wakati mgumu
Kikao cha bunge nchini Kenya kilichotarajiwa kufanyika siku ya Jumatano katika mji mkuu wa Nairobi kimefutiliwa mbali.
10 years ago
Mwananchi09 Aug
Mkwasa apata wakati mgumu
Klabu ya soka Yanga imewazuia nyota wake kujiunga na kikosi cha timu ya Taifa, Taifa Stars na badala yake wachezaji wote wa kikosi hicho waliondoka jana kwenda Tukuyu Mbeya kuweka kambi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ADSjpN4EAQY/VZ5xNd01ARI/AAAAAAAHoCU/vaHFMKi90Ko/s72-c/D92A0483.jpg)
FUATILIA HOTUBA YA RAIS KIKWETE WAKATI AKIFUNGA BUNGE MUDA HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-ADSjpN4EAQY/VZ5xNd01ARI/AAAAAAAHoCU/vaHFMKi90Ko/s640/D92A0483.jpg)
BOFYA HAPA KUONA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k4F1UTC-VlYOcvp1QNKJEwp3LXU9uASxyP53Lr6WKi0NOg0z2ZUU97gFe0oJupynTuEYlc-C*-oJDR2uLJWQ6M2/D92A0483.jpg)
FATILIA HOTUBA YA RAIS KIKWETE WAKATI AKIFUNGA BUNGE MUDA HUU
UNAWEZA KUFATILIA LIVE HOTUBA YA RAIS KIKWETE WAKATI AKIFUNGA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MJINI DODOMA MUDA HUU HAPA ===> BUNGENI LIVE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMnwm5bbvIz7NRuWY2gpwkGGZkKzAzMi4Kg20HvFbyL5pUeKVNIkLK0AU3p*81KkbIW4BD-qZEsLHrFqLL-k1Gn9/raisJK.jpg?width=650)
HOTUBA YA RAIS KIKWETE WAKATI WA KULIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akilihutubia na kuzindua Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma leo jioni. Mheshimiwa Samuel Sitta, Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba; Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi; Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycGYDwrEb2WgGA6g0sh8VCRUKvhRe1u2Y0Yl0qCUbBVscKmunpmHzMmVb86YJSIkZOghkrM7srXVq*zCnThATwCB/jb.jpg)
RIYAMA, ROSE WAMPA WAKATI MGUMU JB
Stori: Mayasa Mariwata
OHOOOO! Wasanii wa filamu Bongo, Riyama Ally na Rose Ndauka wamemkomalia msanii mwenzao, Jacob Steven ‘JB’ akate mauno mbele ya hadhara kitendo ambacho kilimshinda msanii huyo mwenye ‘weight’ ya kutosha. Wasanii wa filamu Bongo, Riyama Ally na Rose Ndauka wakimtaka msanii mwenzao, Jacob Steven ‘JB’ akate mauno mbele ya hadhara. Tukio hilo lilijiri mwishoni wa wiki...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf1N4FZXF9X4gzM1WU9EzJcnhj6IzPVvcMaiZ7-PUNIqbOE*gnfitsWtRVkvtDhGc*sPHQ*4uz*JHZCaoQitdfbZ/shamsa.jpg?width=650)
MILA ZAMPA WAKATI MGUMU SHAMSA
Na Brighton Masalu
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukutana na mila za kabila la mumewe mtarajiwa, Dickson mwenye asili ya Musoma Vijijini, mkoani Mara. Shamsa Ford. Akizungumza na mwandishi wetu ndani ya Viwanja vya Leaders Club Kinondoni jijini Dar, msanii huyo alisema alikutwa na magumu hayo mwishoni mwa mwezi uliopita alipokwenda kutambulishwa ukweni huko.… ...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Mo Music: Mashabiki wananipa wakati mgumu
BAADA ya kutamba na ngoma yake ya ‘Basi Nenda’, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Moshi Katemi ‘Mo Music’ amesema anapata wakati mgumu kutoa wimbo mpya kutokana na kiu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/Wdk-9Zfi1k4F1UTC-VlYOcvp1QNKJEwp3LXU9uASxyP53Lr6WKi0NOg0z2ZUU97gFe0oJupynTuEYlc-C*-oJDR2uLJWQ6M2/D92A0483.jpg)
SOMA HOTUBA YA RAIS KIKWETE WAKATI WA KUVUNJA BUNGE LA 10 MKOANI DODOMA LEO
HOTUBA YA MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUVUNJA BUNGE LA KUMI NA KUAGANA NA WABUNGE, UKUMBI WA BUNGE, DODOMA 9 JULAI, 2015 Mheshimiwa Spika; Tunayo kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma kwa kutujalia uzima na kutuwezesha kuishuhudia siku hii adhimu katika historia ya Bunge letu na nchi yetu. Hatimaye siku ya kulivunja Bunge la Kumi imewadia ili...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania