Mo Music: Mashabiki wananipa wakati mgumu
BAADA ya kutamba na ngoma yake ya ‘Basi Nenda’, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Moshi Katemi ‘Mo Music’ amesema anapata wakati mgumu kutoa wimbo mpya kutokana na kiu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Aug
Mkwasa apata wakati mgumu
Klabu ya soka Yanga imewazuia nyota wake kujiunga na kikosi cha timu ya Taifa, Taifa Stars na badala yake wachezaji wote wa kikosi hicho waliondoka jana kwenda Tukuyu Mbeya kuweka kambi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf1N4FZXF9X4gzM1WU9EzJcnhj6IzPVvcMaiZ7-PUNIqbOE*gnfitsWtRVkvtDhGc*sPHQ*4uz*JHZCaoQitdfbZ/shamsa.jpg?width=650)
MILA ZAMPA WAKATI MGUMU SHAMSA
Na Brighton Masalu
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukutana na mila za kabila la mumewe mtarajiwa, Dickson mwenye asili ya Musoma Vijijini, mkoani Mara. Shamsa Ford. Akizungumza na mwandishi wetu ndani ya Viwanja vya Leaders Club Kinondoni jijini Dar, msanii huyo alisema alikutwa na magumu hayo mwishoni mwa mwezi uliopita alipokwenda kutambulishwa ukweni huko.… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycGYDwrEb2WgGA6g0sh8VCRUKvhRe1u2Y0Yl0qCUbBVscKmunpmHzMmVb86YJSIkZOghkrM7srXVq*zCnThATwCB/jb.jpg)
RIYAMA, ROSE WAMPA WAKATI MGUMU JB
Stori: Mayasa Mariwata
OHOOOO! Wasanii wa filamu Bongo, Riyama Ally na Rose Ndauka wamemkomalia msanii mwenzao, Jacob Steven ‘JB’ akate mauno mbele ya hadhara kitendo ambacho kilimshinda msanii huyo mwenye ‘weight’ ya kutosha. Wasanii wa filamu Bongo, Riyama Ally na Rose Ndauka wakimtaka msanii mwenzao, Jacob Steven ‘JB’ akate mauno mbele ya hadhara. Tukio hilo lilijiri mwishoni wa wiki...
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Dk Kigwangala apata wakati mgumu kuitetea CCM
Mwakilishi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mdahalo wa MkikiMkiki unaohusu Uchaguzi Mkuu uliofanyika jijini Dar es Salaam, Dk Hamis Kigwangala jana alikuwa na wakati mgumu kutetea sera za chama hicho tawala katika sekta za elimu na afya.
11 years ago
Mwananchi13 Dec
JK: Ulikuwa wakati mgumu kuona mwili wa Mandela
 Rais Jakaya Kikwete amesema amepata wakati mgumu alipouona mwili wa Rais wa Kwanza Mzalendo wa Afrika Kusini, alipokwenda kutoa heshima za mwisho kwa kiongozi huyo.
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Utafika wakati lazima ufanye uamuzi mgumu
Watafiti wa maisha ya binadamu na tabia zake, wanaamini kuwa kila mmoja utafika wakati atakutana na jambo litakalomlazimu kufanya au kutoa uamuzi mgumu.
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Nilipata wakati mgumu familia kuelewa ninachofanya
Ukimuona huwezi kuamini anachosema lakini ukweli ni kwamba anna miaka 19 katika muziki wa dansi, anamudu kusimama jukwaani kucheza na kuimba kwa zaidi ya saa nane bila kuchoka huku akifanya hivyo siku tano kwa wiki kuanzia Jumatano hadi Jumapili.
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Pinda aipa CCM wakati mgumu Bunda
Waziri Mkuu Mizengo Pinda atakipa wakati mgumu Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Bunda, baada ya baadhi ya wakazi wa wilaya hiyo kutishia kuwa hawatakipigia kura kutokana na kiongozi huyo kutoa ahadi hewa ya upatikanaji wa maji safi na salama.
10 years ago
Mwananchi24 Aug
Jaji Feleshi: Nafasi ya DPP ilinipa wakati mgumu
Siku chache baada ya kuapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP), Jaji Eliezer Feleshi amesema alikuwa na wakati mgumu kipindi alipokuwa DPP, kutokana na uvunjifu wa amani uliokuwa ukitokea.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania