Nyumba inapangishwa Tabata, Kimanga
Maelezo ya nyumba husika:
Ina vyumba vitatu vya kulala (kimoja master bedroom na viwili vya kawaida), dinning room, laundry na stoo.
Ina simtanks 2 (lita 2000 na lita 1000).
Iko ndani ya uzio na geti.
Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0763514988.
![](http://1.bp.blogspot.com/-K5FvCOUkPWE/VI_KKiow8SI/AAAAAAAAaxc/bHejQqnAISY/s1600/public-bathrum.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Om4a7c_WJI/VI_KK0-0ryI/AAAAAAAAaxI/NfyfOJQ_LDk/s1600/sitting%2Broom%2Band%2Bdinning.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TcV6GVq5nlU/VI_KLfzTqmI/AAAAAAAAaxQ/2AEffVyyyQ0/s1600/to%2Bthe%2Bbedrooms.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aCYyOTd1JTg/VI_KJrNlRrI/AAAAAAAAaw8/MH5f8DyfWUc/s1600/master%2Bbed%2Broom%2B-bath%2Btub.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN5Z7D21RB7aY0p2IBvgiNwqnvrVq9NtevnMrpbm4XzgDG7SJShqVyOu1CHUrIsTxf*rmatgnipjH6llH455ApJ9/IMG20141005WA0008.jpg)
KIBAKA ACHOMWA MOTO MAENEO YA TABATA-KIMANGA, DAR
Mwili wa wa kijana anayedaiwa kuwa kibaka aliyenaswa kwenye nyumba ya mtu ukiwa umeteketea kwa moto. Wananchi waliokuwa eneo la tukio wakishuhudia kwa karibu tukio hilo. KIJANA mmoja (jina halikufahamika) anayedaiwa kuwa kibaka ameuawa kwa kuchomwa moto baada ya kukamatwa jana maeneo ya Tabata-Kimanga jijini Dar es Salaam akiwa nyumbani kwa mtu. Kijana huyo alichomwa moto na wananchi wenye hasira kali dhidi ya wahalifu wa aina...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8taeeXdEiwE/VPwkyOh2tqI/AAAAAAAAqng/b9GJMioKxpI/s72-c/unnamedd.jpg)
NYUMBA INAPANGISHWA! KIJITONYAMA
Nyumba ipo KIJITONYAMA, Barabara ya kwenda kwa kopa, ina vyumba 12, inafaa kwa huduma za Ofisi, Biashara pia inaeneo kubwa la kuegesha magari na ipo jirani na Barabara ya lami kama inavyoonekana katika picha. Kwa mawasiliano zaidi tumia 0754 285529 au 0787285529 au Barua pepe florenyambo@gmail.com
Muonekano wa ndani wa nyumba hiyo.
Muonekano wa nje wa nyumba hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-8taeeXdEiwE/VPwkyOh2tqI/AAAAAAAAqng/b9GJMioKxpI/s1600/unnamedd.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lbmsYrHQ3nI/VPwkySm5z-I/AAAAAAAAqnk/gTtdrpDP0-A/s1600/unnameddd.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TGMLK1NbVlM/VELvLteWKEI/AAAAAAAGry4/PKQ12XEvkUI/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
nyumba inauzwa tabata mawenzi, Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-TGMLK1NbVlM/VELvLteWKEI/AAAAAAAGry4/PKQ12XEvkUI/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
11 years ago
GPLMAANDALIZI YA MISS TABATA NDANI YA DA' WEST TABATA USIKU HUU
Mabango ya Global Publishers ambao ni mojawapo ya wadhamini wa Miss Tabata 2014 yakiwa ndani ya Da' West, Tabata. Baadhi ya wananchi walioanza kuingia ukumbini kwa ajili ya kumshuhudia Miss Tabata 2014 usiku huu.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/db4JtL*UowHdGHrnGWEVW7jTpVH7inn6TQ4OlJQK*MfuXO9nXA5J8PLllMd9m6IAOtLgxQFpgtecV48kT*zXgdO6uInSvbbp/OldGuestHouse.jpg?width=750)
GUEST HOUSE INAPANGISHWA
Ipo Pugu Kinyamwezi karibu kabisa na barabara kuu iendayo Chanika, ni guest nzuri, Imezungushiwa uzio, ipo kwenye eneo tulivu kwa biashara, ina eneo kubwa kwa ajili ya parking ya magari. Maji yapo. Kwa yeyote anayetaka kupanga awasiliane kupitia namba 0756 019 290 kwa ajili ya utaratibu na maelezo zaidi.
10 years ago
Tanzania Daima13 Sep
Maisha Club waruka kimanga kunyanyasa
UONGOZI wa kumbi za starehe za Maisha Club nchini, umekanusha tuhuma zilizotolewa na kile kilichoitwa ni waraka wa baadhi ya wafanyakazi wake kwamba wamekuwa wakiwanyanyasa wafanyakazi na kusema ni mbinu...
11 years ago
MichuziMAKAMANDA WA MATAWI WA UMOJA WA VIJANA WA CCM KATA YA KIMANGA WALIVYOSIMIKWA
Dotto Mwaibale
VIJANA nchini wametakiwa kuwa makini kwa kutumiwa na wanasiasa ili kuvuruga amani na usalama wa nchi uliodumu kwa muda mrefu.
Mwito huo ulitolewa na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa (UVCCM), Khamis Juma Sadifa wakati wa hafla ya kuwasimika makamanda tisa wa umoja huo wa matawi katika Kata ya Kimanga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
"Ninyi vijana ndio walengwa wakubwa kutumiwa na wanasiasa kuvuruga amani na usalama wa nchi hivyo kuweni makini...
VIJANA nchini wametakiwa kuwa makini kwa kutumiwa na wanasiasa ili kuvuruga amani na usalama wa nchi uliodumu kwa muda mrefu.
Mwito huo ulitolewa na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa (UVCCM), Khamis Juma Sadifa wakati wa hafla ya kuwasimika makamanda tisa wa umoja huo wa matawi katika Kata ya Kimanga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
"Ninyi vijana ndio walengwa wakubwa kutumiwa na wanasiasa kuvuruga amani na usalama wa nchi hivyo kuweni makini...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Mwakibinga aruka kimanga kutoa siri za TFF kwa Ndumbaro
Ofisa Mtendaji wa Bodi ya Ligi (TPLB), Silas Mwakibinga ameondolewa kwenye wadhifa wake huo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania