Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYUMBA INAPANGISHWA! KIJITONYAMA

Nyumba ipo KIJITONYAMA, Barabara ya kwenda kwa kopa, ina vyumba 12, inafaa kwa huduma za Ofisi, Biashara pia inaeneo kubwa la kuegesha magari na ipo jirani na Barabara ya lami kama inavyoonekana katika picha. Kwa mawasiliano zaidi tumia 0754 285529 au 0787285529 au Barua pepe florenyambo@gmail.comMuonekano wa ndani wa nyumba hiyo. Muonekano wa nje wa nyumba hiyo.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Nyumba inapangishwa Tabata, Kimanga

Maelezo ya nyumba husika:

Ina vyumba vitatu vya kulala (kimoja master bedroom na viwili vya kawaida), dinning room, laundry na stoo.

Ina simtanks 2 (lita 2000 na lita 1000).

Iko ndani ya uzio na geti.

Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0763514988.

mbele ya nyumba

 

10 years ago

GPL

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KIJITONYAMA, DAR

Nyumba moja iliyopo eneo la Kijitonyama Mpakani 'A' jirani na Kituo cha Polisi Kijitonyama 'Mabatini' jijini Dar imeteketea kwa moto Septemba 14, 2014. Chanzo cha moto huo kinadaiwa kuwa ni kulipuka kwa mtungi wa gesi.

 

5 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU CHRISTOPHER KADIO, APOKEA TAARIFA YA UKAGUZI MRADI WA DAR CITY UNAOHUSISHA UJENZI WA NYUMBA ZA MAAFISA WA POLISI OYSTERBAY, KIJITONYAMA NA KITUO CHA POLISI OYSTERBAY

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Watatu kulia) akisisitiza jambo kwa baadhi ya Watendaji wa Wizara hii pamoja na Wajumbe wa Ukaguzi Mradi wa Dar City  walipokuwa katika Kikao cha Kuwasilisha Taarifa  ya Ukaguzi wa Mradi huo, unaohusisha Ujenzi wa Nyumba za Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kijitonyama na Kituo cha Polisi Oysterbay. Kikao hicho kilifanyika, Jijini Dodoma leo. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Watatu kulia)...

 

10 years ago

GPL

GUEST HOUSE INAPANGISHWA

Ipo Pugu Kinyamwezi karibu kabisa na barabara kuu iendayo Chanika, ni guest nzuri, Imezungushiwa uzio, ipo kwenye eneo tulivu kwa biashara, ina eneo kubwa kwa ajili ya parking ya magari. Maji yapo. Kwa yeyote anayetaka kupanga awasiliane kupitia namba 0756 019 290 kwa ajili ya utaratibu na maelezo zaidi.

 

10 years ago

GPL

UJENZI BARABARA YA POLISI KIJITONYAMA WASUASUA

Mwonekano wa barabara ya kuelekea Polisi Mabatini, Kijitonyama. Magari yakipita katika barabara hiyo.…

 

10 years ago

TheCitizen

Stage set for Kijitonyama tennis championship

Up-and-coming tennis players converge at Kijitonyama Club today to battle it out in a tournament that will involve four regions.

 

11 years ago

GPL

VIBAKA WANUSURIKA KIFO KIJITONYAMA JIJINI DAR

Vijana wawili waliotaka kupora mkoba wa dada mmoja wakiwa hoi kwa kichapo kutoka kwa wananchi. Mmoja wa vibaka hao akiwa mtaroni baada ya kipondo.…

 

9 years ago

GPL

IDD AZZAN APOKELEWA KWA KISHINDO KIJITONYAMA

Mgombea ubunge iimbo la Kinondoni, Iddi Azzani akipokelewa na wakeleketwa wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wakati akiingia kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Kijitonyama, tayari kwa kumwaga sera zake kwa wananchi wa kata hiyo. Iddi Azzani akisalimiana na baadhi ya wanachama waliyojitokeza kumpokea muda mfupi baada ya kuwasili katika Viwanja vya Shule ya Kijitonyama alipokuwa akinadi sera zake kwa Wanakinondoni.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani