Polisi wamuua mtu asiye na makao Marekani
Polisi wamempiga risasi na kumuua mtu asiye na makao mjini Los Angels Marekani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Polisi mwingine aua mtu mweusi, Marekani
10 years ago
BBCSwahili31 Aug
Mlipuko wamuua mtu mmoja mjini Paris.
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa
5 years ago
CCM Blog28 May
VURUGU ZAZUKA MAREKANI BAADA YA MTU MWEUSI GEORGE FLOYD KUFARIKI MIKONONI MWA POLISI
![Waanndamanaji walifika kwenye eneo ambalo polisi wanaohusika na mauaji wanadhaniwa kufanya kazi](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/F700/production/_112523236_42c0b123-452d-4535-9760-e1b80fb3f1fe.jpg)
10 years ago
Mtanzania06 Feb
Wananchi wamuua aliyetoroka baada ya kumuua polisi
NA RAMADHAN HASSAN, DODOMA
MTUHUMIWA Tissi Mallya ambaye alitoroka baada ya kumuua polisi, G.7168 Koplo Joseph Swai, ameauwa usiku wa kuamkia jana na wananchi alipokuwa amejificha akiwa na panga lenye damu lililotumika kwenye mauaji hayo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) David Misime alisema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari.
Mauaji hayo yalitokea juzi asubuhi katika eneo la Chang’ombe Juu.
Kamanda Misime alisema baada ya Malya...
10 years ago
BBCSwahili30 Aug
Jeshi lazingira makao ya polisi Lesotho
11 years ago
MichuziWAZIRI MUHONGO atembelea makao makuu ya kampuni ya General Electric ya Marekani
10 years ago
GPLMBOWE ATINGA MAKAO MAKUU YA POLISI KUHOJIWA
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Jengo la Polisi Makao Makuu Dar, Lanusurika Kuwaka Moto
Jengo la Ghorofa ya 4 la Jeshi la Polisi Makao Makuu jijini Dar es Salaam leo limenusurika kuwaka moto baada ya kutokea cheche za umeme ndani ya jengo hilo na kusababisha taharuki kabla ya Kikosi cha Zimamoto kufanikiwa kuudhiti.
Kwa Taarifa zaidi endelea kufuatilia taarifa zetu.