Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wamuua mtu asiye na makao Marekani

Polisi wamempiga risasi na kumuua mtu asiye na makao mjini Los Angels Marekani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Polisi mwingine aua mtu mweusi, Marekani

Wakuu katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wamemhukumu Afisa mmoja wa polisi mweupe, kwa kosa la mauaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wamuua mtu mmoja mjini Paris.

Mlipuko umeharibu jengo moja la ghorofa 4 kazkazini mashariki mwa Paris nchini Ufaransa na kumuua mvulana mmoja

 

5 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa

Katika kipindi cha wiki tatu, watu kote Marekani wamekuwa wakiandamana kufuatia kifo cha George Flyod, mwanaume mweusi aliyekufa mikononi mwa polisi.

 

5 years ago

CCM Blog

VURUGU ZAZUKA MAREKANI BAADA YA MTU MWEUSI GEORGE FLOYD KUFARIKI MIKONONI MWA POLISI


Waanndamanaji walifika kwenye eneo ambalo polisi wanaohusika na mauaji wanadhaniwa kufanya kaziHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionWaanndamanaji walifika kwenye eneo ambalo polisi wanaohusika na mauaji wanadhaniwa kufanya kaziKumekuwa na vurugu na mapambano kati ya polisi na waandamanaji katika mji wa Minneapolis nchini Marekani baada ya kifo cha mwanaume mmoja mweusi akiwa mikononi mwa polisiPolisi walifyatua gesi ya kutoa machozi na waandamanaji walirusha mawe na kupulizia mapambo ya graffiti kwenye magari ya polisi.Kilichotokea kwenye maandamanoWalianza siku ya Jumanne...

 

10 years ago

Mtanzania

Wananchi wamuua aliyetoroka baada ya kumuua polisi

David-MisimeNA RAMADHAN HASSAN, DODOMA

MTUHUMIWA Tissi Mallya ambaye alitoroka baada ya kumuua polisi, G.7168 Koplo Joseph Swai, ameauwa usiku wa kuamkia jana na wananchi alipokuwa amejificha akiwa na panga lenye damu lililotumika kwenye mauaji hayo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) David Misime alisema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari.

Mauaji hayo yalitokea juzi asubuhi katika eneo la Chang’ombe Juu.

Kamanda Misime alisema baada ya Malya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi lazingira makao ya polisi Lesotho

Ripoti kutoka Taifa la kusini mwa Afrika Lesotho zinasema kuwa jeshi limezingira makao makuu ya polisi .

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MUHONGO atembelea makao makuu ya kampuni ya General Electric ya Marekani

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akipokea maelezo ya kitaalam alipotembelea Makao Makuu ya Kampuni ya General Electric (GE)  ya nchini Marekani  inayojishughulisha na utengenezaji na uuzaji wa vifaa vya kufua umeme. Moja ya bidhaa zao ni mitambo ya kufua umeme itakayotumika katika mradi wa  kufua umeme wa Kinyerezi  I wa kiasi cha megawati 150.

 

10 years ago

GPL

MBOWE ATINGA MAKAO MAKUU YA POLISI KUHOJIWA

Waandishi wa habari wakirekodi  tukio la kuwasili kwa Mh. Freeman Mbowe (hayuko pichani) Makao Makuu ya Polisi. Mh. Tundu Lissu akiwasili.…

 

9 years ago

Global Publishers

Jengo la Polisi Makao Makuu Dar, Lanusurika Kuwaka Moto

BREAKINGNEWS3Jengo la Ghorofa ya 4 la Jeshi la Polisi Makao Makuu jijini Dar es Salaam leo limenusurika kuwaka moto baada ya kutokea cheche za umeme ndani ya jengo hilo na kusababisha taharuki kabla ya Kikosi cha Zimamoto kufanikiwa kuudhiti.

Kwa Taarifa zaidi endelea kufuatilia taarifa zetu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani