Mlipuko wamuua mtu mmoja mjini Paris.
Mlipuko umeharibu jengo moja la ghorofa 4 kazkazini mashariki mwa Paris nchini Ufaransa na kumuua mvulana mmoja
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Mar
Polisi wamuua mtu asiye na makao Marekani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vFrhOHBMvXE/Xtj2JPPH9dI/AAAAAAALsoY/9MX4lQk1ONIMjPoJ_uhDDF3vd_iLtZPtwCLcBGAsYHQ/s72-c/b52d1324-d326-4b35-bd3b-4a7d82bc1cc0.jpg)
UVUTAJI WA TUMBAKU UNA ATHARI KIUCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA ANAYETUMIA
Na WAMJW-Dodoma
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako hatarini kuyumba kiuchumi na kupata magonjwa yasiyoambukizwa kama tahadhari hazitachukuliwa mapema.
Waziri Ummy amesema hayo leo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa matumizi ya tumbaku kwa watu wazima wa mwaka 2018 nchini uliofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Takwimu jijini Dodoma.
Waziri Ummy amesema utafiti huo umeonesha...
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Mlipuko wazua taharuki Tanga, mmoja ashikiiliwa
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
SHAMBULIZI LA PARIS: Polisi wasema kuna mshambuliaji mmoja wa tukio hilo alitaka kuingia uwanjani!
Wanahabarina mashabiki wa soka wakiwa wamejikusanya ndani ya uwanja huo wa mpira ambao nje kulitokea mlipuko huo wa mabomu uliouwa watu zaidi ya 120 usiku wa Novemba 13.2015 katika jiji la Paris.
Na Rabi Hume na mashirika ya habari
Polisi waliokuwa wakikagua mashabiki wa mpira waliokuwa wakiingia uwanjani katika mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani wameuambia mtandao wa Wall Street Journal kuwa kuna mshambuliaji wa tukio hilo alitaka kuingia uwanjani.
Polisi wamesema kuwa...
10 years ago
BBCSwahili26 Jun
Mtu mmoja amechinjwa Ufaransa
10 years ago
BBCSwahili03 Jun
Wakali wa tenis wachuana mjini Paris
11 years ago
BBCSwahili14 Jun
Zanzibar;Bomu lamuua mtu mmoja
10 years ago
BBCSwahili21 May
Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Mtu mmoja awaua wanajeshi 4 wa Marekani