Mtoto aliyetoroka Moshi, aibukia Dar es Salaam
Mtoto Hassan Masasi, aliyetoroka nyumbani kwao Moshi, Kibosho-Umbwe, mkoani Kilimanjaro.
Mtoto Hassan Masasi (pichani), aliyetoroka nyumbani kwao Moshi, Kibosho-Umbwe, mkoani Kilimanjaro, ameonekana jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jana katika ofisi za gazeti hili zilizoko Mikocheni jijini Dar es Salaam, mtoto huyo mwenye umri wa miaka saba, alisema ni mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Kindi Juu, iliyopo Moshi, Kibosho- Umbwe.
Alimtaja mama yake mzazi kuwa ni Pendo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bcAy7o_O9_I/U87BhaKPqmI/AAAAAAAF4zc/S1OBpgFijHk/s72-c/e7d84f8a303d24b1035843c2a1b80eb6.jpg)
Ratiba ya mazishi ya marehemu mzee john fedha macha dar es salaam na moshi
![](http://1.bp.blogspot.com/-bcAy7o_O9_I/U87BhaKPqmI/AAAAAAAF4zc/S1OBpgFijHk/s1600/e7d84f8a303d24b1035843c2a1b80eb6.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-poMrWKl8w4g/VIqfh-jg2JI/AAAAAAAAN90/qHHvwH59Mew/s72-c/Mbatia%2CZawadi.jpg)
MTOTO WA KAPTEN JOHN KOMBA AIBUKIA NCCR-MAGEUZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-poMrWKl8w4g/VIqfh-jg2JI/AAAAAAAAN90/qHHvwH59Mew/s640/Mbatia%2CZawadi.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjU1Ro0-*tdtsSn*ScOwX3olqUkkT8qBSyZ8vucqXGE5odPVEyCt45PfJyFdkNKF*guDT-Mo6KQuyD7-dvczOErZ/IMG20140818WA0000.jpg?width=650)
KIBAKA ALIYETOROKA KITUO CHA POLISI TABATA, DAR AKAMATWA
10 years ago
Dewji Blog26 Oct
Maadhimisho ya siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na mgongo wazi duniani yafanyika jijini Dar es salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Dkt. Othmani Kiloloma akiwaeleza waandishi wa habari(hawapo pichani) majukumu wanayotekeleza katika kuhakikisha wanakabiliana na tatizo la Mgongo wazi na Vichwa vikubwa ikiwamo kutoa elimu bora kwa madaktari wanaosomea somo hilo, kwenda mikoani kutoa tiba kwa watoto wenye matatizo hayo,wakati wa maadhimisho ya siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na na Mgongo wazi duniani jana Jijini Dar es salaam....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-a_mNVHMYd60/VDq-E4q5GwI/AAAAAAAAEJ0/mXMtMWKzUpc/s72-c/DSC_0408.jpg)
Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya mtoto wa kike yaliyo ratibiwa na WiLDAF yafana jijini Dar es salaam
Octoba 11 ya kila mwaka ni siku iliyopitishwa na Baraza kuu la Umoja wa Mataifa kuwa Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike duniani kote. Maadhimisho haya yalifanyika katika Hoteli ya Double Tree, Dar es Salaam.
![](http://1.bp.blogspot.com/-a_mNVHMYd60/VDq-E4q5GwI/AAAAAAAAEJ0/mXMtMWKzUpc/s1600/DSC_0408.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CB9c1GUQw-o/VDq95LqUyvI/AAAAAAAAEJk/qxbBtvnfIiA/s1600/DSC_0402.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R3Rz1LUcs3g/VDq92TKnICI/AAAAAAAAEJc/jYBkEu6vvpk/s1600/DSC_0394.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O3uRP5vH3Nw/VEvTPd-wOsI/AAAAAAAGtX8/DwJwOsJGljo/s72-c/unnamed%2B(84).jpg)
Maadhimisho ya siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na mgongo wazi duniani yafanyika leo jijini Dar es salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-O3uRP5vH3Nw/VEvTPd-wOsI/AAAAAAAGtX8/DwJwOsJGljo/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-14CSpDCHKPE/VEvTQL1ZBwI/AAAAAAAGtYU/cuSwBhMRYxg/s1600/unnamed%2B(85).jpg)