SERIKALI YALETA SULUHU KATI YA WAFANYAKAZI NA MKANDARASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3JHq4UBR3ME/XvBIC8CPctI/AAAAAAALu2w/mdflcwyIR2YvFAOKXivyrpoiT0OJZjHigCLcBGAsYHQ/s72-c/1-37-768x513.jpg)
Mtaalamu kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Mhandisi Hashim Kabanda, akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, wakati Naibu Waziri huyo alipokutana na wafanyakazi waliokuwa na madai kwa kampuni ya China Railway 15 Group iliyojenga Daraja la Mto Kilombero, mkoani Morogoro.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akizungumza na wafanyakazi waliokuwa wanafanyakazi katika Kampuni ya China Railway 15 Group na kudai malipo yao waliyokuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PGAt7Wi4nOM/XvB9hXD-U6I/AAAAAAALu5g/FI-Pf67fc1EQhztpi-BvrUB14g2AONSQACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B12.34.07%2BPM.jpeg)
SERIKALI YATATUA MGORORO ULIODUMU KWA MIAKA MINNE KATI YA WALIOKUWA WAFANYAKAZI WA UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO PAMOJA NA MKANDARASI
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imetatua mgogoro wa wafanyakazi waliokuwa wanafanya kazi ya ujenzi katika daraja la Mto Kilombero kwenye kampuni ya kikandarasi ya China Railway 15 Group uliodumu kwa zaidi ya miaka minne na kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mfanyakazi.
Mgogoro huo uliosimamiwa kikamilifu na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Arch. Elius Mwakalinga, pamoja na wataalamu kutoka sekta hiyo kwa muda wa siku tatu.
Mwakalinga, ameagiza uongozi wa kampuni hiyo...
9 years ago
StarTV27 Nov
Wafanyakazi wa TRL waiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya malimbikizo
Wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania TRL wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa malipo ya malimbikizo ya mshahara wao wa miezi mitano wanaoudai uongozi wa kampuni hiyo.
Wafanyakazi wa kampuni hiyo wametishia kwenda Ikulu kumuona Rais John Magufuli iwapo hawatolipwa malimbikizo ya jumla ya Shilingi Bilioni 2.4 ya kuanzia Julai hadi Novemba 2014.
Wafanyakazi hao wa Kampuni ya Reli nchini waliimba wimbo wa mshikamano baada ya uongozi wa kampuni kuondoka katika mkutano baina yao...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aWw3rEjKijQ/U_xUEK0mUuI/AAAAAAABGW8/qH7XCKes_CA/s72-c/Pg.2.jpg)
BENKI YA CRDB YALETA UFANISI KATI YA WAFANYABIASHARA, WAWEKEZAJI WA CHINA NA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-aWw3rEjKijQ/U_xUEK0mUuI/AAAAAAABGW8/qH7XCKes_CA/s1600/Pg.2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X3_JIPPYvQo/XocNBWVDavI/AAAAAAALl6Q/XUkMbORpZQwGPSaLzZvsLryhGL1Kn2-KwCLcBGAsYHQ/s72-c/68c0e292-a2ea-4e63-a4a9-9536c9c744e7.jpg)
TMDA yakabidhi michoro ya jengo la ofisi yake ya Kanda ya Kati Dodoma kwa mkandarasi NHC
![](https://1.bp.blogspot.com/-X3_JIPPYvQo/XocNBWVDavI/AAAAAAALl6Q/XUkMbORpZQwGPSaLzZvsLryhGL1Kn2-KwCLcBGAsYHQ/s640/68c0e292-a2ea-4e63-a4a9-9536c9c744e7.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-edbN4W4yiU8/XocNYQZOg-I/AAAAAAALl6c/kI_oCZ0Ri3kh7hKNlMcJtLggJoLVYtzjgCLcBGAsYHQ/s640/dfff0ac3-eab3-45b0-ac72-281a6c606cdc.jpg)
Kukamilika kwa ujenzi huu kutaiwezesha TMDA kutekeleza majukumu yake kiufanisi katika kuhudumia mikoa ya Kanda ya kati ambayo inajumuisha Dodoma, singida na Morogoro.
TMDA ambayo hapo awali...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Serikali kumwajibisha mkandarasi aliyetoroka
WIZARA ya Maji imetakiwa kumchukulia hatua za kinidhamu mkandarasi wa mradi wa maji wilayani Meatu aliyetoroka kazini. Ushauri huo ulitolewa bungeni jana na Mbunge wa Biharamulo Magharibi, Dk. Antony Mbassa...
11 years ago
TheCitizen01 Mar
Mkandarasi ailiza Serikali Sh3 bil
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Mgombea mwenza, Samia Suluhu, awaaga na kuwashukuru wafanyakazi wenzake ofisi ya Makamu wa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovAdE6VzeBxgGPGwwyG8srOpdx1qJXwncCLILE108NJ5h4o3un055-IHN4qJQe4LawjSdZCOli3qEuOph1mQMF3U/21.jpg?width=750)
MIKOPO KWA WAJASIRIAMALI WA KATI NA WAFANYAKAZI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zYvUvcLXovAdE6VzeBxgGPGwwyG8srOpdx1qJXwncCLILE108NJ5h4o3un055-IHN4qJQe4LawjSdZCOli3qEuOph1mQMF3U/21.jpg?width=750)
MIKOPO KWA WAJASIRIAMALI WA KATI NA WAFANYAKAZI