TMDA yakabidhi michoro ya jengo la ofisi yake ya Kanda ya Kati Dodoma kwa mkandarasi NHC
![](https://1.bp.blogspot.com/-X3_JIPPYvQo/XocNBWVDavI/AAAAAAALl6Q/XUkMbORpZQwGPSaLzZvsLryhGL1Kn2-KwCLcBGAsYHQ/s72-c/68c0e292-a2ea-4e63-a4a9-9536c9c744e7.jpg)
Pichani ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TMDA Bw. Adam Fimbo akimkabidhi Injinia Haikamen Mlekio wa NHC michoro ya ujenzi wa ofici ya Mamlaka utakaofanyika katika eneo Ilazo jijini Dodoma. Ujenzi wa ofisi hiyo ambao unatarajiwa kuchukua miezi 12 toka tarehe 18 Aprili 2020 utakamilika tarehe 17 Aprili 2021.
Kukamilika kwa ujenzi huu kutaiwezesha TMDA kutekeleza majukumu yake kiufanisi katika kuhudumia mikoa ya Kanda ya kati ambayo inajumuisha Dodoma, singida na Morogoro.
TMDA ambayo hapo awali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo22 Apr
UTIAJI SAINI MANUNUZI YA ENEO LA OFISI KWENYE JENGO LA MOROCCO SQUARE KATI YA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) NA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM
![hc1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/hc1.jpg)
![hc2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/hc2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/hc1.jpg)
UTIAJI SAINI MANUNUZI YA ENEO LA OFISI KWENYE JENGO LA MOROCCO SQUARE KATI YA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) NA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0CK7qYvGew0/Xu3lGZtK9eI/AAAAAAALuus/MRuYMlf2KbU5gv6V3_qEKZYMnNWVsExhACLcBGAsYHQ/s72-c/N1.jpg)
NMB YAKABIDHI VIFAA NA VITENDEA KAZI KWA OFISI YA WAZIRI MKUU JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0CK7qYvGew0/Xu3lGZtK9eI/AAAAAAALuus/MRuYMlf2KbU5gv6V3_qEKZYMnNWVsExhACLcBGAsYHQ/s640/N1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-OS6uqrL3NM4/VX4oZ5Mz_TI/AAAAAAAASyo/3P3KWXd7W58/s72-c/IMG-20150614-WA0018.jpg)
SEMINA YA WATIA NIA UBUNGE CHADEMA KANDA YA KATI YAFANYIKA DODOMA KWA MAFANIKIO
![](http://1.bp.blogspot.com/-OS6uqrL3NM4/VX4oZ5Mz_TI/AAAAAAAASyo/3P3KWXd7W58/s1600/IMG-20150614-WA0018.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VtSHIpsXw-M/VX4oZs5CYyI/AAAAAAAASyk/cYDqG_AyI-c/s1600/IMG-20150614-WA0021.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ws8WN6thS6o/VX4oZ-krO2I/AAAAAAAASyw/YrtJgtyONfQ/s1600/IMG-20150614-WA0024.jpg)
10 years ago
Michuzi22 Apr
NHC) NA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM ZATILIANA SAINI MKATABA WA MANUNUZI YA ENEO LA OFISI JENGO LA MOROCCO SQUARE
![hc1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/hc1.jpg)
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu (kushoto), akibadilishana hati za mkataba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa wakitiliana saini makubaliano rasmi ya mauzo ya sehemu ya eneo la ofisi katika mradi wa kipekee mpya wa Morocco Square, Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Ujenzi wa mradi huo wenye huduma mbalimbali za kisasa unaendelea. (Picha kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii)
![hc2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/hc2.jpg)
5 years ago
MichuziTFS KANDA YA MASHARIKI WAJENGA JENGO KUBWA LA OFISI NDANI YA MSITU WA VIKINDU KUKOMESHA UHARIBIFU WA MAZINGIRA,UVAMIZI
10 years ago
MichuziBENKI YA RASILIMALI NCHINI (TIB) YAKABIDHI MICHORO HALISI YA KITUO CHA MABASI KWA UONGOZI WA MANISPAA YA MOSHI.
9 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI JENGO LA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI DODOMA
Akizungumza wakati wa ufunguzi huo, Rais Kikwete ameipongeza Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa kujenga jengo zuri linaloakisi sifa na heshima ya utendaji wa Ofisi hiyo.
Kwa upande wake CAG, aliishukuru Serikali ya Awamu ya Nne kwa kuiwezesha ofisi yake na kuongeza uhuru wa ofisi hiyo kwa kuwawezesha kujenga majengo katika...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4xYR8hva5XE/UxCeMEp1NnI/AAAAAAAFQUg/vgvHKbu2ZE8/s72-c/unnamed+(71).jpg)
introducing Mwakilishi rasmi wa Michuzi Blog Kanda ya Kati Dodoma, mpiganaji Deusdedit Moshi
![](http://3.bp.blogspot.com/-4xYR8hva5XE/UxCeMEp1NnI/AAAAAAAFQUg/vgvHKbu2ZE8/s1600/unnamed+(71).jpg)