BENKI YA RASILIMALI NCHINI (TIB) YAKABIDHI MICHORO HALISI YA KITUO CHA MABASI KWA UONGOZI WA MANISPAA YA MOSHI.
Mkurugenzi wa Mipango na Mikakati wa Benki ya Rasilimali nchini (TIB) Jaffer Machano akizungumza wakati wa kikao kifupi kati ya uongozi wa TIB na ule wa Manispaa ya Moshi juu ya Ujenzi wa kituo kipya cha kisasa cha Mabasi cha Ngangamfumuni .
Kikao kinaendelea.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi ,Jafary Michael akizungumza wakati wa kikao hicho.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi ,Shaban Ntarambe akitoa neno la shukrani wakati ujumbe wa Benki ya Rasilimanli nchini TIB ulipotembelea ofisini kwake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f9HudRkojAM/VlvOkS3fijI/AAAAAAAAXKc/YnWE5FZD95c/s72-c/IMG_9794%2B%25281024x683%2529.jpg)
AZANIA BANK TAWI LA MOSHI YAKABIDHI VIFAA YA KUFANYIA USAFI KWA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-f9HudRkojAM/VlvOkS3fijI/AAAAAAAAXKc/YnWE5FZD95c/s640/IMG_9794%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MJyozD6dt30/VlvN7sPQ6tI/AAAAAAAAXKM/c1CJBF3TWZM/s640/IMG_9788%2B%25281024x683%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Benki ya Exim yapanda miti na kutoa msaada wa chakula kituo cha wazee Moshi
Meneja wa Benki ya Exim wa Tawi Moshi mkoani Kilimanjaro, Bw. John Ngowi akipanda mti wakati wa zoezi la upandaji miti lililofanyika baada ya benki hiyo kutembelea kituo cha Wazee cha Njoro katika manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Mbali na kupanda miti, benki pia ilitoa msaada wa chakula katika kituo hicho. Wakishuhudia ni wafanyakazi wa Benki ya Exim jijini Moshi. (Picha na mpiga picha wetu).
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
Benki ya Exim Tanzania imepanda miti mia moja kuzunguka eneo la...
5 years ago
MichuziRADIO FARAJA YAKABIDHI MSAADA KWA KAYA ZENYE KIPATO CHA CHINI KATIKA MANISPAA YA SHINYANGA
Na Simeo Makoba - Shinyanga.
Afisa Ustawi wa Jamii wa Manispaa ya Shinyanga Emmanuel Ng’habi amekabidhi msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula na fedha taslimu kwa wazee wasiojiweza ambayo imechangwa na wadau mbalimbali wa Radio Faraja Fm Stereo iliyopo Mjini Shinyanga.
Ng'habi aliyekuwa ameongozana na Mwenyekiti wa Wenyeviti wa serikali za mitaa Manispaa ya Shinyanga Nassor Warioba na Wafanyakazi wa Radio Faraja Fm Stereo amekabidhi msaada huo Jumamosi Mei 16,2020.
Baadhi ya misaada...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-B0JHwJ_VYNs/VCQcXwKWu1I/AAAAAAAGluw/MLve-rqhY0E/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
WIZARA YA AFYA YAKABIDHI MABASI 6 KWA VYUO VYA AFYA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-B0JHwJ_VYNs/VCQcXwKWu1I/AAAAAAAGluw/MLve-rqhY0E/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EEtTWKJ0p9s/VCQcYF3MDzI/AAAAAAAGlu4/J8IMq3n5mCM/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Jul
Zantel yakabidhi kisima kwa kituo cha Watoto Wetu Tanzania
Mkuu wa Kituo cha Watoto Wetu Tanzania, Evans Tegete akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhiwa kisima kwa ajili ya kituo chake kutoka kwa kampuni ya Zantel. Kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akifuatiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Paul Makonda akizungumza wakati wa kukabidhi kisima kwa kituo cha Watoto Wetu Tanzania. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Zantel, Pratap Ghose.
Mkuu wa Wilaya ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X3_JIPPYvQo/XocNBWVDavI/AAAAAAALl6Q/XUkMbORpZQwGPSaLzZvsLryhGL1Kn2-KwCLcBGAsYHQ/s72-c/68c0e292-a2ea-4e63-a4a9-9536c9c744e7.jpg)
TMDA yakabidhi michoro ya jengo la ofisi yake ya Kanda ya Kati Dodoma kwa mkandarasi NHC
![](https://1.bp.blogspot.com/-X3_JIPPYvQo/XocNBWVDavI/AAAAAAALl6Q/XUkMbORpZQwGPSaLzZvsLryhGL1Kn2-KwCLcBGAsYHQ/s640/68c0e292-a2ea-4e63-a4a9-9536c9c744e7.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-edbN4W4yiU8/XocNYQZOg-I/AAAAAAALl6c/kI_oCZ0Ri3kh7hKNlMcJtLggJoLVYtzjgCLcBGAsYHQ/s640/dfff0ac3-eab3-45b0-ac72-281a6c606cdc.jpg)
Kukamilika kwa ujenzi huu kutaiwezesha TMDA kutekeleza majukumu yake kiufanisi katika kuhudumia mikoa ya Kanda ya kati ambayo inajumuisha Dodoma, singida na Morogoro.
TMDA ambayo hapo awali...
11 years ago
GPLMACHINGA AKUTWA AMEFARIKI KWENYE KITUO CHA MABASI YAENDAYO KWA KASI
10 years ago
MichuziBENKI YA DCB YAKABIDHI MSAADA WA KOMPYUTA KWA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI ARNAUTOGLU