RAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI JENGO LA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI DODOMA
Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo, tarehe 15 Oktoba, 2015, amelifungua rasmi jengo la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi mkoani Dodoma.
Akizungumza wakati wa ufunguzi huo, Rais Kikwete ameipongeza Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa kujenga jengo zuri linaloakisi sifa na heshima ya utendaji wa Ofisi hiyo.
Kwa upande wake CAG, aliishukuru Serikali ya Awamu ya Nne kwa kuiwezesha ofisi yake na kuongeza uhuru wa ofisi hiyo kwa kuwawezesha kujenga majengo katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0tZzK5KFFmM/XuJH6111yUI/AAAAAAACM_Y/YYhli3mjWEADwEDqbeamHer1QlEZFQ6mQCLcBGAsYHQ/s72-c/17.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI BARABARA ZA LAMI KATIKA MJI WA SERIKALI, AFUNGUA JENGO LA MAKAO MAKUU YA TARURA NA OFISI ZA ZIMAMOTO MAKOLE JIJINI DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-0tZzK5KFFmM/XuJH6111yUI/AAAAAAACM_Y/YYhli3mjWEADwEDqbeamHer1QlEZFQ6mQCLcBGAsYHQ/s400/17.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-xc3EVu2CGYA/XuJIGBt2I7I/AAAAAAACM_c/1x-hs6N1qo4gRBesWgrbpfIWOXIGY9ByQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q5Ku3cvHD0o/XuJIRwvhcBI/AAAAAAACM_g/kDyLp-KiGiU0Gzwd705Qca6UdKcdHcahwCLcBGAsYHQ/s400/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/13.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI NYUMBA ZA MAKAZI MEDELI, DODOMA
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-_YK-gRNdGOo/VMswJGXvd7I/AAAAAAAHAUU/Min6zaOZGgc/s1600/NAOT%2B1.jpg)
MKUTANO WA BARAZA LA PILI LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI WAFUNGULIWA RASMI
10 years ago
MichuziRais Kikwete afungua Kituo Cha Taifa Cha Kumbukumbu Dodoma
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TmjKRs34Pbo/VDjYsTmeyfI/AAAAAAAGpII/EFdxEnNoe5o/s72-c/D92A9128.jpg)
Rais Kikwete afungua jengo la PPF Mwanza
![](http://1.bp.blogspot.com/-TmjKRs34Pbo/VDjYsTmeyfI/AAAAAAAGpII/EFdxEnNoe5o/s1600/D92A9128.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MftIy_2RAoo/VDjYm-fJPGI/AAAAAAAGpH4/B29hYK90wvU/s1600/D92A8892.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afungua jengo la NSSF la kitega uchumi Moshi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zFvE-YG4FP0/XuJJBE66hsI/AAAAAAALtdA/DfvmoebL-CMejg00DuXLaX3M_X8BJxFrgCLcBGAsYHQ/s72-c/5e44cba9-e2eb-4745-aae5-9c3218092f3e-1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA OFISI ZA ZIMAMOTO MAKOLE JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zFvE-YG4FP0/XuJJBE66hsI/AAAAAAALtdA/DfvmoebL-CMejg00DuXLaX3M_X8BJxFrgCLcBGAsYHQ/s640/5e44cba9-e2eb-4745-aae5-9c3218092f3e-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/a1b1b346-a7ed-437f-8668-c05d9f74c4e4.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0e188d95-af10-4965-8ec6-ab7eb2618e1b.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DbmI-nR_Yt4/U1aNc_c3LQI/AAAAAAAFcU8/1BAz4Ib9wxg/s72-c/D92A6774.jpg)
Rais Kikwete afungua ofisi ya TRA KARATU
![](http://2.bp.blogspot.com/-DbmI-nR_Yt4/U1aNc_c3LQI/AAAAAAAFcU8/1BAz4Ib9wxg/s1600/D92A6774.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U7YyUfSOQGI/U1aNnSiKfQI/AAAAAAAFcVE/bMARJjJq0q0/s1600/D92A6757.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Rais Kikwete azindua rasmi Jengo la kisasa la biashara Kilimanjaro
Mhe. Rais Dr. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua pazia kuzindua rasmi Jengo la kisasa la Kitega Uchumi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Moshi, mkoani Kilimanjaro jana. Kushoto ni Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudencia kabaka. (Na Mpigapicha Wetu).
![Mhe. Rais Dr. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Jengo la kisasa la Kitega Uchumi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii mjini Moshi Kilimanjaro jana. Wengine ni Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudensia Kabaka (kushoto kwa Rais), Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Dk. Ramadhan Dau (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Kilimajaro, Bw. Leonidas Gama.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/Utwpe-2.jpg)
Mhe. Rais Dr. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Jengo la kisasa la Kitega Uchumi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii mjini Moshi Kilimanjaro jana. Wengine ni Waziri wa Kazi na Ajira, Bi. Gaudensia Kabaka...