Msama ampongeza Mwakyembe kuifufua ATCL
![](http://4.bp.blogspot.com/-5qgA6_ZCCGs/U4OBYTSeBDI/AAAAAAACiNg/6k1pn_2zVAk/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Mkurugenzi wa Msama Promotins Alex Msama (kulia), akiwa na Mratibu wa Tamasha la Pasaka John Melele, wakifurahia kusafiri na Jet 103 ndege ya ATCL hivi karibuni.
SERIKALI kupitia Wizara ya Uchukuzi inayoongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe inastahili, pongezi kwa kupiga hatua kubwa kujenga na kuimarisha sekta ya usafirishaji wa anga nchini.
Mkurugenzi wa Msama Promotins Alex Msama, ametoa pongezi hizo siku chache baada ya Wizara hiyo kuendelea kuonesha mafanikio makubwa katika utoaji wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Msama ampongeza Mwakyembe
MKURUGENZI wa Msama Promotions, Alex Msama, amempongeza Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe kwa kujenga na kuimarisha sekta ya usafirishaji wa anga nchini. Alitoa pongezi hizo siku chache baada ya...
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Klopp ana ndoto ya kuifufua Liverpool
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Mtikila: Warioba umenirahisishia kazi ya kuifufua Tanganyika
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eIclyYE856A/XpAWf28u5hI/AAAAAAALmtE/nIk_DsiFxIckA-66zPuZ7f_ldDn29W-3ACLcBGAsYHQ/s72-c/3-8-768x512.jpg)
TANZANIA YATOA BIILIONI 10 KUIFUFUA UPYA TAZARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-eIclyYE856A/XpAWf28u5hI/AAAAAAALmtE/nIk_DsiFxIckA-66zPuZ7f_ldDn29W-3ACLcBGAsYHQ/s640/3-8-768x512.jpg)
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akimsikiliza Meneja wa Karakana ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) Mbeya, Mhandisi Ezekiel Mong’ateko, wakati akimweleza hatua ya ukarabati iliyofikiwa katika karakana ya tazara mkoani Mbeya.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/4-4-1024x683.jpg)
Muonekano wa moja ya Vichwa vya treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) vilivyokamilika baada ya kufungwa mashine ya kufua umeme (Tranction Motor), katika karakana ya Mamlaka hiyo Mkoni Mbeya.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/5-3-1024x683.jpg)
Waziri wa...
10 years ago
TheCitizen19 Nov
Ministry: We want to bail out ATCL
10 years ago
Mwananchi29 Dec
ATCL kuburutwa mahakamani
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
ATCL wanajaribu kumhadaa nani?
HIVI karibuni Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), liliwaeleza Watanzania kuwa limenunua ndege mpya kwa lengo la kuboresha huduma ya usafiri kwa safari za ndani ya nchi. Hiyo ilikuwa ni habari...
10 years ago
Habarileo24 Jan
Serikali yabeba madeni ya ATCL
SERIKALI imekubali kuchukua madeni yote ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) na kuyalipa, baada ya uhakiki ili kutoa fursa kwa shirika hilo kuanza biashara.
11 years ago
Mwananchi04 Apr
ATCL yajivunia ongezeko la abiria