ATCL yajivunia ongezeko la abiria
Shirika la Ndege la Tanzania limedai kuweka rekodi ya ongezeko la abiria kwa asilimia 57 ndani ya wiki kadhaa baada ya kupokea ndege ya kukodi aina ya CRJ-200 yenye uwezo wa kubeba abiria 50 pamoja kuiongezea uwezo wa kuruka kwa wakati kwa asilimia 98.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Ndege ATCL yarejesha imani kwa abiria
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limeweka rekodi ya ongezeko la abiria kwa asilimia 57 wiki chake baada ya kupokea ndege ya kukodi yenye uwezo wa kubeba abiria 50 aina...
11 years ago
MichuziNdege ya CRJ-200 yaboresha utendaji wa ATCL, yarejesha imani kwa abiria
Aidha, shirika hilo limeweza kutoa nauli maalum kwa...
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
10 years ago
MichuziABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
LAPF yajivunia mafanikio
MFUKO wa Pensheni wa LAPF umesema unajivunia mafaniko ya kuwa mfuko bora kuliko mingine katika kutoa huduma tangu ulipozaliwa mwaka 1944. Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
UTT yajivunia faida
MFUKO wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), umesema kuwa tangu kuanzishwa kwa mifuko ya uwekezaji, haijawahi kutoa faida chini ya asilimia 10. Katika mahojiano na Tanzania Daima Jumapili, Mkurugenzi wa...
10 years ago
Mwananchi29 Dec
ATCL kuburutwa mahakamani
10 years ago
TheCitizen19 Nov
Ministry: We want to bail out ATCL
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
TBL yajivunia kusaidia jamii
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), ni miongoni mwa zinazojikita katika kusaidia jamii kuondokana na matatizo mbalimbali, yakiwemo ya maji.
Kila mwaka kuna fedha maalumu hutengwa kwa ajili ya kukamilisha miradi ya maendeleo katika sekta za maji, afya, elimu, kilimo na kuwawezesha wajasiriamali chini ya mpango wa ‘Wezesha na Safari Lager.’
Mpango mwingine wa kampuni hii wa ‘Bila maji hakuna uhai’ umesaidia kuchimbwa visima vya majisafi na salama katika maeneo mengi yaliyokuwa na shida ya...