Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UTT yajivunia faida

MFUKO wa Dhamana ya Uwekezaji Tanzania (UTT), umesema kuwa tangu kuanzishwa kwa mifuko ya uwekezaji, haijawahi kutoa faida chini ya asilimia 10. Katika mahojiano na Tanzania Daima Jumapili, Mkurugenzi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Uwekezaji UTT AMIS na faida zake

WATANZANIA wengi wamepata mwamko wa kuwekeza fedha zao katika biashara mbalimbali lengo likiwa ni kujiongezea kipato na pia kuiongezea thamani fedha yao katika mzunguko. Katika makala haya, Mwandishi Wetu amefanya...

 

10 years ago

Michuzi

MIFUKO YA UWEKEZAJI WA PAMOJA INAYOENDESHWA NA UTT AMIS YAPATA FAIDA KUBWA

Afisa Mwendeshaji Mkuu wa UTT AMIS Bw.Simon Migangala akiongea na waandishi wa habari jana Dar es salaam kuhusiana na ufanisi wa mifuko kwa kipindi cha miezi sita iliyopita.
UTT AMIS ndiyo waendeshaji na waanzilishi wa mifuko ya uwekezaji wa pamoja nchini.Mpaka sasa wanaendesha mifuko mitano ya uwekezaji ambayo ni Mfuko wa Umoja, Mfuko wa wekeza Maisha,Mfuko wa Watoto, Mfuko wa Kujikimu na Mfuko wa Ukwasi yenye zaidi ya shilingi bilioni 227.
Bwana Migangala aliwaambia waandishi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

BENKI YA POSTA YAJIVUNIA UTENDAJI BORA KWA MWAKA 2014 ULIYOIPA FAIDA NONO

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Sabasaba Kitewita Moshingi, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa kutangaza utendaji wa benki hiyo kwa mwaka 2014 ambapo TBP walipata faida ya shilingi 10.28 bilioni kabla ya kodi. Pamoja nae ni Mkurugenzi Fedha, Regina Samakafu (katikati) na Mkurugenzi wa Sheria, Mystica Mapunda NgongiAfisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Sabasaba Moshingi, akizungumza katika mkutano na waandishi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

UTT-PID yashiriki mkutano wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS jijini Dar es Salaam!

1 (1)

Maafisa masoko wa UTT-PID, Laurence Nzuki  (kushoto) na  Martin Mchanjila (katikati) wakitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliotembelea kwenye banda hilo la UTT-PID wakati wa mkutano huo wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS uliofanyika mwishoni mwa wiki, Novemba 21-22.2015, Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID)  inafanya miradi mbalimbali ikiwemo  huduma za uuzwaji wa viwanja katika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

LAPF yajivunia mafanikio

MFUKO wa Pensheni wa LAPF umesema unajivunia mafaniko ya kuwa mfuko bora kuliko mingine katika kutoa huduma tangu ulipozaliwa mwaka 1944. Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Mwananchi

ATCL yajivunia ongezeko la abiria

Shirika la Ndege la Tanzania limedai kuweka rekodi ya ongezeko la abiria kwa asilimia 57 ndani ya wiki kadhaa baada ya kupokea ndege ya kukodi aina ya CRJ-200 yenye uwezo wa kubeba abiria 50 pamoja kuiongezea uwezo wa kuruka kwa wakati kwa asilimia 98.

 

10 years ago

Raia Tanzania

TBL yajivunia kusaidia jamii

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), ni miongoni mwa zinazojikita katika kusaidia jamii kuondokana na matatizo mbalimbali, yakiwemo ya maji.

Kila mwaka kuna fedha maalumu hutengwa kwa ajili ya kukamilisha miradi ya maendeleo katika sekta za maji, afya, elimu, kilimo na kuwawezesha wajasiriamali chini ya mpango wa ‘Wezesha na Safari Lager.’

Mpango mwingine wa kampuni hii wa ‘Bila maji hakuna uhai’ umesaidia kuchimbwa visima vya majisafi na salama katika maeneo mengi yaliyokuwa na shida ya...

 

9 years ago

Mwananchi

UDSM yajivunia ushindi wa Dk Magufuli

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm), Profesa Rwekaza Mukandala amempongeza Dk John Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania na kusema ushindi huo ni fahari kwa chuo hicho kwa sababu yeye alisoma katika chuo hicho shahada ya kwanza (1988), umahiri (Masters) (1994) na uzamivu (Phd) (2009).

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema yajivunia kutoa ushindani

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema licha ya kushinda kata tatu kati ya 27 kwenye uchaguzi mdogo wa madiwani nchini, kimetoa upinzani wa kweli kwa kusimamisha wagombea kata ambazo hakikuwa na nguvu na kupata kura nyingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani