Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ATCL kuburutwa mahakamani

Waliokuwa wafanyakazi wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Kapteni Msami Mmari na Kapteni Suel Mjungu wamefungua madai ya kuomba kukazia hukumu katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kitengo cha Kazi, wakiomba kukamata na kuliuza jengo la ATC House ili wafidie malimbikizo yao ya mishahara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali Kijiji cha Makorora kuburutwa mahakamani

Wananchi wa Kata ya Makorora, Tarafa ya Magoma Wilayani Korogwe mkoani Tanga wanatarajia kuufikisha mahakamani uongozi wa Serikali ya kijiji baada ya kushindwa kuitisha mkutano wa wananchi na kuwasomea mapato na matumizi kwa zaidi ya miaka miwili.

 

9 years ago

Mwananchi

Bunge, Magereza kuburutwa kortini

Taasisi ya Bunge na Jeshi la Magereza mkoani Dodoma, zinatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa madai ya kushindwa kuwalipa Sh850 milioni makandarasi wa ujenzi wa jengo la utawala.     

 

10 years ago

TheCitizen

Ministry: We want to bail out ATCL

Already the ministry of Transport has ordered ATCL to prepare a business plan which, among the things, will identify the airline’s needs.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yabeba madeni ya ATCL

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Monica MwamunyangeSERIKALI imekubali kuchukua madeni yote ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) na kuyalipa, baada ya uhakiki ili kutoa fursa kwa shirika hilo kuanza biashara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

ATCL yapata ndege mpya

SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limepata ndege nyingine aina ya CRJ-200 ya nchini Canada yenye uwezo wa kubeba abiria 50, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wake wa...

 

10 years ago

Habarileo

Madeni ya ATCL yabakia bil. 40/-

MIZANIA ya Madeni ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) imepungua kutoka Sh bilioni 133 hadi Sh bilioni 40 hivi sasa, hatua inayotoa matumaini kwa shirika hilo kuingia kwenye ushindani karibuni.

 

11 years ago

Mwananchi

ATCL yajivunia ongezeko la abiria

Shirika la Ndege la Tanzania limedai kuweka rekodi ya ongezeko la abiria kwa asilimia 57 ndani ya wiki kadhaa baada ya kupokea ndege ya kukodi aina ya CRJ-200 yenye uwezo wa kubeba abiria 50 pamoja kuiongezea uwezo wa kuruka kwa wakati kwa asilimia 98.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndege ‘mpya’ ATCL majanga

SIKU chache baada ya Shirika la Ndege Air Tanzania (ATCL), kujinadi kwamba limenunua ndege mpya aina ya CRJ 200, imebainika kwamba ndege hiyo ni chakavu na ni mzigo kwa taifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

ATCL yarejesha safari za Burundi

SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limezindua rasmi huduma za usafiri wa anga kutoka Dar es Salaam kuelekea Burundi kupitia Kigoma. Hatua hiyo imekuja baada ya hali ya amani kutengamaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani