Serikali Kijiji cha Makorora kuburutwa mahakamani
Wananchi wa Kata ya Makorora, Tarafa ya Magoma Wilayani Korogwe mkoani Tanga wanatarajia kuufikisha mahakamani uongozi wa Serikali ya kijiji baada ya kushindwa kuitisha mkutano wa wananchi na kuwasomea mapato na matumizi kwa zaidi ya miaka miwili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Dec
ATCL kuburutwa mahakamani
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-j7r4pQaklBw/U6RR91XvhJI/AAAAAAAFsAU/RDW0GLHM1dU/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar yawasaidia Wavuvi wa Kijiji cha Kivunge
Ikasisitiza tena na kuonya kwamba hilo litakuwa ni tukio la mwisho kubebwa na Serikali la kulipa fidia kwa migogoro yoyote itakayosababishwa na wana jamii katika maeneo mbali mbali kutokana na...
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
Serikali ya Kijiji cha Kisaki Singida yakataa mradi wa Maji uliokuwa chini ya kiwango
Pichani ni tanki la maji lilijengwa kwa ajili ya kuhifadhia maji yatakayosambazwa katika Kijiji cha Kisaki.
Na Jumbe Ismailly, Singida
SERIKALI ya Kijiji cha Kisaki,katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida imekataa kupokea mradi wa maji wa Kijiji hicho kwa madai kuwa mradi huo haujakidhi viwango vya ubora.
Maamuzi ya kuukataa mradi huo yalifikiwa kwenye kikao cha pamoja kati ya wajumbe wa serikali ya Kijiji,kamati ya mradi wa maji ya Kijiji hicho na wataalamu wa maji kutoka Manispaa...
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
Ridhiwani Kikwete azindua Kisima cha Maji, Lambo katika kijiji cha jamii ya Wafugaji cha Mbala,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete akionozana na akina mama wa jamii ya kimasai waliobeba maji waliyoyateka baada ya mbunge huyo kuzindua kisima cha maji katika Kijiji cha Mbala, Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani jana. Kisima hicho pamoja na lambo la kunyweshea mifugo vimejengwa na Kanisa la Wasabato kwa gharama ya sh. mil. 76. Kushoto ni Kiongozi wa mradi huo, Joseph Chagama na nyuma yake ni Askofu wa Kanisa la Wasabato Jimbo la Mashariki,Mark Malekana. (PICHA NA RICHARD...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zZm5M3lMGy0/VKkz8Cf2z3I/AAAAAAAAVKQ/7M1-gFxUR4M/s72-c/2.jpg)
WANANCHI WA KIJIJI CHA MPONDE WARUDISHIWA UMILIKI WA KIWANDA CHA CHAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zZm5M3lMGy0/VKkz8Cf2z3I/AAAAAAAAVKQ/7M1-gFxUR4M/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oUWk_jN_sw4/VKkz-AXIfSI/AAAAAAAAVKc/KSsPgN5pcz8/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t8EzhjnGIuc/VKk0IvM7tUI/AAAAAAAAVKk/-yUVueYsfyU/s1600/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q_UGFAqiK0U/VKlyOBMUTzI/AAAAAAAAVK0/_ce_iuj8qGQ/s1600/1.jpg)
10 years ago
MichuziTBL YAKABIDHI MSAADA WA KISIMA CHA MAJI KIJIJI CHA MAGOZA, MKURANGA
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Rais Kikwete azindua kijiji cha mfano cha vijana Sikonge mkoani Tabora
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi wakati wa uzinduzi wa kijiji cha mfano cha vijana Pathfinders Green City katika kata ya Igigwa wilayani Sikonge jana.Rais Kikwete yupo Mkoani Tabora kwa ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo ambapo pia atakuwa mgeni rasmi katika kilele cha mbio za Mwenge leo.watatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bi.Fatma Mwassa na wapili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Bi.Hanifa Selenga.
Rais...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GYtgXPU4gm8/VDwsz_iBB8I/AAAAAAAGp94/kuZADx8oXhQ/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Rais Kikwete azindua kijiji cha Mfano cha Vijana Sikonge mkoani Tabora leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYtgXPU4gm8/VDwsz_iBB8I/AAAAAAAGp94/kuZADx8oXhQ/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tY-wYVSeABI/VDws0ZrQG3I/AAAAAAAGp98/8Lxg-ZiGWT0/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Bunge, Magereza kuburutwa kortini