Bunge, Magereza kuburutwa kortini
Taasisi ya Bunge na Jeshi la Magereza mkoani Dodoma, zinatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa madai ya kushindwa kuwalipa Sh850 milioni makandarasi wa ujenzi wa jengo la utawala. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-768x529.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, SULEIMAN MZEE AWAFUNDA WAKUU WA MAGEREZA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA AGENDA YA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA MAGEREZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-768x529.jpg)
Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akitoa maelekezo maalum leo Mei 04, 2020 katika kikao kazi cha Maafisa wa Jeshi la Magereza walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa mbalimbali katika Jeshi hilo wakiwemo wakuu wa magereza, Boharia Mkuu wa Jeshi ambapo Jenerali Mzee amewataka kuhakikisha kuwa wanasimamia ipasavyo Agenda ya mabadiliko ndani ya Jeshi la Magereza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2AA-1024x506.jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Dec
ATCL kuburutwa mahakamani
Waliokuwa wafanyakazi wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Kapteni Msami Mmari na Kapteni Suel Mjungu wamefungua madai ya kuomba kukazia hukumu katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kitengo cha Kazi, wakiomba kukamata na kuliuza jengo la ATC House ili wafidie malimbikizo yao ya mishahara.
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Serikali yapinga kortini Bunge la Katiba kusimamishwa
Serikali imewasilisha mahakamani pingamizi la kisheria dhidi ya maombi ya kusimamishwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma, kutokana na kesi ya kikatiba namba 28 ya mwaka 2014 iliyofunguliwa na mwanahabari, Said Kubenea.
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Arfi naye kwenda kortini kupinga Bunge la Katiba
Mjumbe wa Bunge Maalumu, Said Arfi amesema anakusudia kwenda mahakamani kupata ufafanuzi wa uhalali wa Bunge hilo kuachana na Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba na badala yake kufanya kile alichokiita kuandika rasimu nyingine.
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Serikali Kijiji cha Makorora kuburutwa mahakamani
Wananchi wa Kata ya Makorora, Tarafa ya Magoma Wilayani Korogwe mkoani Tanga wanatarajia kuufikisha mahakamani uongozi wa Serikali ya kijiji baada ya kushindwa kuitisha mkutano wa wananchi na kuwasomea mapato na matumizi kwa zaidi ya miaka miwili.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JQa3--bG2Ps/VQ1sP1PYsxI/AAAAAAADdAo/nGnHm_tw6Vk/s72-c/image.jpeg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AVISHA YEO MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR ES SALAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JQa3--bG2Ps/VQ1sP1PYsxI/AAAAAAADdAo/nGnHm_tw6Vk/s1600/image.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bTICbcczo5Y/VQ1sP47alSI/AAAAAAADdAk/IjUIFSCy7Uk/s1600/image_1.jpeg)
10 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AZINDUA HUDUMA ZA "DUTY FREE SHOP" MAGEREZA UYUI TABORA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6iaqySpaREY/Uvk5bXySDjI/AAAAAAAFMR4/MnyYxCwRGRo/s72-c/unnamed+(59).jpg)
KAMISHNA WA MAGEREZA NCHINI ZAMBIA ATEMBELEA MAGEREZA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6iaqySpaREY/Uvk5bXySDjI/AAAAAAAFMR4/MnyYxCwRGRo/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fCmtFMWoObM/Uvk5ZOCSkmI/AAAAAAAFMRU/Bua67v2DXB4/s1600/unnamed+(60).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania