KAMISHNA WA MAGEREZA NCHINI ZAMBIA ATEMBELEA MAGEREZA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6iaqySpaREY/Uvk5bXySDjI/AAAAAAAFMR4/MnyYxCwRGRo/s72-c/unnamed+(59).jpg)
Kamishna wa Magereza nchini Zambia Percy Chato (mwenye suti) akipokea salaam ya heshima kutoka kwa Paredi maalum (halipo pichani) lililoandaliwa maalum kwa jairi yake katika uwanja wa paredi wa Chuo Cha Maafisa wa Magereza Ukonga.Nyuma yake ni Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza nchini Dkt Juma Ali Malewa na mwenye nguo za kijani ni Kaimu Mkuu wa Chuo Kamishna Msaidizi wa Magereza Erasmus Kundi.
Kamishna wa Magereza nchini Zambia Percy Chato (mwenye suti) akikagua paredi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ORzBdWq1zQw/VCfZ45E78xI/AAAAAAADGQc/TC5qi1ouTnk/s72-c/image.jpeg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI TANZANIA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MAGEREZA DAY NCHINI ZAMBIA YAFANA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ORzBdWq1zQw/VCfZ45E78xI/AAAAAAADGQc/TC5qi1ouTnk/s1600/image.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bXWhQ67gE4k/VCfZ47LzkXI/AAAAAAADGQY/b7SkLdnAg-g/s1600/image_1.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TABHlkfKRGA/VSbPzLPqZhI/AAAAAAAHP84/6tmmXMB_Plo/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI TANZANIA BW.JOHN CASMIR MINJA AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMALIZA MAFUNZO YA UASKARI MAGEREZA NCHINI UGANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-TABHlkfKRGA/VSbPzLPqZhI/AAAAAAAHP84/6tmmXMB_Plo/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CNrdSSxCSno/Uu4bYDGmaWI/AAAAAAAFKQk/_Z9Fg4VKS_w/s72-c/unnamed+(10).jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI AHUDHURIA SHEREHE ZA KUKABIDHIWA MADARAKA YA UONGOZI KWA KAMISHNA JENERALI MPYA WA MAGEREZA NCHINI NAMIBIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CNrdSSxCSno/Uu4bYDGmaWI/AAAAAAAFKQk/_Z9Fg4VKS_w/s1600/unnamed+(10).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Irym2LSo0jY/VC15aJkNk3I/AAAAAAADGkk/QTnF4EXo3RY/s72-c/image.jpeg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI TANZANIA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA ULINZI WA AMANI KWA MAAFISA MAGEREZA TOKA NCHI ZA SADC, MKOANI KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Irym2LSo0jY/VC15aJkNk3I/AAAAAAADGkk/QTnF4EXo3RY/s1600/image.jpeg)
10 years ago
VijimamboKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI KUVISHA VYEO MAAFISA WAANDAMIZI WA MAGEREZA MKOA WA DAR ES SALAM
Kwa Mamlaka aliyopewa kisheria na Tume ya Polisi na Magereza ya Mwaka 1990, Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini atawavisha vyeo hivyo katika Viwanja vya Chuo cha Maafisa wa Magereza Ukonga, Jijini Dar es Salaam.
Tume ya Polisi na Magereza katika Kikao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1AA-768x529.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, SULEIMAN MZEE AWAFUNDA WAKUU WA MAGEREZA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA AGENDA YA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA MAGEREZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_fb0ohBDGvU/Xq_39J1iJVI/AAAAAAALpBo/lbkuGvYHPrIVQfhIzt-m35H_kaxA7A--ACLcBGAsYHQ/s640/PIX-1AA-768x529.jpg)
Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akitoa maelekezo maalum leo Mei 04, 2020 katika kikao kazi cha Maafisa wa Jeshi la Magereza walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa mbalimbali katika Jeshi hilo wakiwemo wakuu wa magereza, Boharia Mkuu wa Jeshi ambapo Jenerali Mzee amewataka kuhakikisha kuwa wanasimamia ipasavyo Agenda ya mabadiliko ndani ya Jeshi la Magereza.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2AA-1024x506.jpg)