Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA YATOA BIILIONI 10 KUIFUFUA UPYA TAZARA


Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akimsikiliza Meneja wa Karakana ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) Mbeya, Mhandisi Ezekiel Mong’ateko, wakati akimweleza hatua ya ukarabati iliyofikiwa katika karakana ya tazara mkoani Mbeya.
Muonekano wa moja ya Vichwa vya treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) vilivyokamilika baada ya kufungwa mashine ya kufua umeme (Tranction Motor), katika karakana ya Mamlaka hiyo Mkoni Mbeya.
Waziri wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Tazara kusukwa upya

Rais Jakaya KikweteSERIKALI ya Tanzania na Zambia zimekubali kulisuka upya Shirika la Reli la nchi hizo (Tazara), kwa kufanya marekebisho ya kimfumo na kiutendaji ili kutatua matatizo ya kimuundo na kimenejimenti yanayochangia kuzorota kwa ufanisi wa shirikia hilo.

 

11 years ago

Michuzi

Msama ampongeza Mwakyembe kuifufua ATCL

Mkurugenzi wa Msama Promotins Alex Msama (kulia),  akiwa na Mratibu wa Tamasha la Pasaka John Melele, wakifurahia kusafiri na Jet 103 ndege ya ATCL hivi karibuni. 
SERIKALI kupitia Wizara ya Uchukuzi inayoongozwa na Dk. Harrison Mwakyembe inastahili, pongezi kwa kupiga hatua kubwa kujenga na kuimarisha sekta ya usafirishaji wa anga nchini.
Mkurugenzi wa Msama Promotins Alex Msama, ametoa pongezi hizo siku chache baada ya Wizara hiyo kuendelea kuonesha mafanikio makubwa katika utoaji wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Klopp ana ndoto ya kuifufua Liverpool

Kocha Jurgen Klopp anatarajiwa kutambulishwa leo kama mrithi wa kiti cha Brendan Rodgers huku akiwa na ndoto kichwani.

 

10 years ago

East African Business Week

Tanzania Talks to Zambia On Tazara


postzambia.com
Tanzania Talks to Zambia On Tazara
East African Business Week
Mwanza — The ailing Tanzania -Zambia Railways Corporation (Tazara) has now attracted the attention of the Heads of State of the two countries. The two Presidents, Jakaya Kikwete (Tanzania) and Edgar Lungu (Zambia) met last week with Tazara being the ...
Move to revamp TAZARA cheers RWUZpostzambia.com

all 2

 

11 years ago

Mwananchi

Mtikila: Warioba umenirahisishia kazi ya kuifufua Tanganyika

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mchungaji Christopher Mtikila amesema madai yake ya zaidi ya miaka 20 kuhusu Serikali ya Tanganyika yamerahisishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba na ana imani Tanganyika inarejea muda mfupi ujao

 

10 years ago

TheCitizen

Tanzania, Zambia to run Tazara separately

Tanzania and Zambia Railway Authority (Tazara) is set to implement an agreement by the partner governments for each country to take care of its side of the rail network.

 

10 years ago

Daily News

Tanzania, Zambia leaders to meet on TAZARA


Tanzania, Zambia leaders to meet on TAZARA
Daily News
PRESIDENTS of Tanzania and Zambia are scheduled to meet in Lusaka to chart the way forward to improve operations of the cash-strapped oil pipeline and the Taanzania Zambia Railway Authority (TAZARA). President Jakaya Kikwete and his counterpart ...

 

10 years ago

Mwananchi

Tazara ni ‘mchwa’ anayezitafuna serikali za Tanzania, Zambia

Mmoja wa wafanyakazi wa mamlaka hiyo, Amina Kisanga anahoji kwamba, kama mamlaka hiyo inadai kujiendesha kwa hasara, fedha zinazopatikana zinafanyiwa kazi gani.

 

10 years ago

Postzambia.Com

Tanzania, Zambia agree to settle TAZARA disputes


Zambia Daily Mail
Tanzania, Zambia agree to settle TAZARA disputes
postzambia.com
TANZANIA and Zambia have agreed to settle all disputes and ensure that the jointly owned TAZARA is revamped and functioning. During official talks between President Edgar Lungu and his Tanzanian counterpart, Jakarta Kikwete, at State House in Lusaka ...
Kikwete returns home after state visitLusaka Times
Kikwete Mourns Death of Kigoma Teacher, 6 PupilsAllAfrica.com
Kikwete, Lungu meeting seeks to fortify TazaraDaily...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani