Tazara kusukwa upya
SERIKALI ya Tanzania na Zambia zimekubali kulisuka upya Shirika la Reli la nchi hizo (Tazara), kwa kufanya marekebisho ya kimfumo na kiutendaji ili kutatua matatizo ya kimuundo na kimenejimenti yanayochangia kuzorota kwa ufanisi wa shirikia hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 May
Barabara Dar kusukwa upya kwa trilioni 4/-
WIZARA ya Ujenzi imepanga kutekeleza miradi ya kupunguza msongamano katika Jiji la Dar es Salaam, itakayogharimu zaidi ya Sh trilioni 4.394 itakapokamilika.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eIclyYE856A/XpAWf28u5hI/AAAAAAALmtE/nIk_DsiFxIckA-66zPuZ7f_ldDn29W-3ACLcBGAsYHQ/s72-c/3-8-768x512.jpg)
TANZANIA YATOA BIILIONI 10 KUIFUFUA UPYA TAZARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-eIclyYE856A/XpAWf28u5hI/AAAAAAALmtE/nIk_DsiFxIckA-66zPuZ7f_ldDn29W-3ACLcBGAsYHQ/s640/3-8-768x512.jpg)
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akimsikiliza Meneja wa Karakana ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) Mbeya, Mhandisi Ezekiel Mong’ateko, wakati akimweleza hatua ya ukarabati iliyofikiwa katika karakana ya tazara mkoani Mbeya.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/4-4-1024x683.jpg)
Muonekano wa moja ya Vichwa vya treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) vilivyokamilika baada ya kufungwa mashine ya kufua umeme (Tranction Motor), katika karakana ya Mamlaka hiyo Mkoni Mbeya.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/5-3-1024x683.jpg)
Waziri wa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jul
Tazara yafumuliwa
SHIRIKA la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), limefanyiwa mabadiliko makubwa ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kubadilishana abiria mpakani na kupunguza madaraka makao makuu kuyapeleka mikoani kwa lengo la...
9 years ago
Habarileo19 Aug
Tazara walalamikiwa
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) wameulalamikia uongozi wa mamlaka hiyo upande wa Tanzania kwa kujilipa malimbikizo ya marupurupu ya miezi minne, huku ukijua kuwa watumishi wengine hawajalipwa malimbikizo ya mshahara wa Januari mwaka huu.
11 years ago
TheCitizen19 May
Tazara to get 18 new coaches
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Tazara wagoma tena
WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), wameanza mgomo tena wa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu. Kutokana na mgomo huo ulioanza jana, huduma za safari...
10 years ago
Habarileo23 Jan
TAZARA washukuru kulipwa
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wameshukuru kulipwa mishahara yao ya miezi minne, lakini wametoa siku saba kwa mamlaka hiyo kuwalipa mishahara yao iliyobaki.
9 years ago
TheCitizen11 Nov
Tazara gets new engines, coaches
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
TZ: TAZARA yakumbwa na mgomo