Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tazara kusukwa upya

Rais Jakaya KikweteSERIKALI ya Tanzania na Zambia zimekubali kulisuka upya Shirika la Reli la nchi hizo (Tazara), kwa kufanya marekebisho ya kimfumo na kiutendaji ili kutatua matatizo ya kimuundo na kimenejimenti yanayochangia kuzorota kwa ufanisi wa shirikia hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Barabara Dar kusukwa upya kwa trilioni 4/-

Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli.WIZARA ya Ujenzi imepanga kutekeleza miradi ya kupunguza msongamano katika Jiji la Dar es Salaam, itakayogharimu zaidi ya Sh trilioni 4.394 itakapokamilika.

 

5 years ago

Michuzi

TANZANIA YATOA BIILIONI 10 KUIFUFUA UPYA TAZARA


Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akimsikiliza Meneja wa Karakana ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) Mbeya, Mhandisi Ezekiel Mong’ateko, wakati akimweleza hatua ya ukarabati iliyofikiwa katika karakana ya tazara mkoani Mbeya.
Muonekano wa moja ya Vichwa vya treni ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) vilivyokamilika baada ya kufungwa mashine ya kufua umeme (Tranction Motor), katika karakana ya Mamlaka hiyo Mkoni Mbeya.
Waziri wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tazara yafumuliwa

SHIRIKA la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), limefanyiwa mabadiliko makubwa ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kubadilishana abiria mpakani na kupunguza madaraka makao makuu kuyapeleka mikoani kwa lengo la...

 

9 years ago

Habarileo

Tazara walalamikiwa

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) wameulalamikia uongozi wa mamlaka hiyo upande wa Tanzania kwa kujilipa malimbikizo ya marupurupu ya miezi minne, huku ukijua kuwa watumishi wengine hawajalipwa malimbikizo ya mshahara wa Januari mwaka huu.

 

11 years ago

TheCitizen

Tazara to get 18 new coaches

>The Tanzania-Zambia Railway Authority (Tazara) has ordered 18 new passenger coaches and spare parts from China worth $9.52 million (Sh15.2 billion) to be delivered by October 2015.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tazara wagoma tena

WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), wameanza mgomo tena wa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu. Kutokana na mgomo huo ulioanza jana, huduma za safari...

 

10 years ago

Habarileo

TAZARA washukuru kulipwa

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wameshukuru kulipwa mishahara yao ya miezi minne, lakini wametoa siku saba kwa mamlaka hiyo kuwalipa mishahara yao iliyobaki.

 

9 years ago

TheCitizen

Tazara gets new engines, coaches

Tanzania-Zambia Railway Authority (Tazara) has received four new diesel-electric locomotives and 18 new passenger coaches valued at $22.4 million.

 

10 years ago

BBCSwahili

TZ: TAZARA yakumbwa na mgomo

Nchini Tanzania Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia TAZARA wameanza mgomo wa siku saba wakishinikiza Serikali kuwalipa malimbikizo ya mishahara ya miezi mitano hadi sasa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani