Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanafunzi KCMC atupa kichanga pipa la uchafu

MWANAFUNZI wa mwaka wa kwanza shule ya viungo KCMC mjini Moshi  mkoani Kilimanjaro, Rachel Malima (22), amewekwa chini ya uangalizi maalumu wa madaktari baada ya kujifungua na kumtelekeza mtoto kwenye...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mwanamke atupa kichanga chooni

WATOTO wawili wachanga wamekufa katika matukio mawili tofauti yaliyotokea mkoani hapa, likiwemo la mmoja kutupwa chooni na mama mzazi mara ya baada ya kuzaliwa.

 

9 years ago

StarTV

Polis yaokota kichanga Dampo la uchafu Ruvuma

Wanawake Mkoani Ruvuma wameiomba Serikali kuongeza adhabu kwa wanawake wanaofanya vitendo vya ukatili hasa kwa kuua watoto baada ya kujifungua.

Wakazi wa mfaranyaki Songea wameeleza kusikitishwa na kitendo hicho baada ya kushuhudia Jeshi la polisi likimwokota Mtoto mchanga aliyetupwa katika Dampo la uchafu la makaburi ya wahindi.

 Wanawake hao wamewaomba  Wanawake  wenzao kufanya uchunguzi ili kubaini wanawake ambao walikuwa na ujauzito ambao ujauzito wao haujulikani jinsi ulivyo potea...

 

11 years ago

CloudsFM

POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA

Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...

 

10 years ago

Habarileo

Mama atupa watoto watatu porini

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mama wa watoto watatu, mkazi wa wilayani hapa, mwanzoni mwa wiki hii aliwatekeleza porini watoto hao, akiwemo mwenye umri wa miezi mitatu.

 

9 years ago

Bongo Movies

Ray Atupa 'Kijembe' kwa Wanamabadiliko

Leo nimekutana na vitu vya ajabu sana kwa hawa wana mabadiliko, kuna mmoja nilimuuliza why unataka mabadilko , akanijibu hivi eti nimekatwa mshahara kwa hiyo naichukia CCM nataka mabadiliko tena kakatwa mshahara kwa uzembe wake tu anailaumu serikali wa pili nikamuuliza naye why unataka mabadiliko,  akanjibu ahaaa mimi sipati milo mitatu naichukia CCM wakati huo nimeenda kwake ilikuwa ni saa saba mchana bado yuko kitandani nilicheka sana na wengi wao ndio wako hivi wafuata mkumbo ndio maaana...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wolper Atupa Dongo Upande wa Pili

Haya ndiyo maneno ya aliypoyaandika staa wa Bongo Movies,‘Jacqueline Lowassa’ kwenye ukurasa wake wa instagram.

"Mama ongea na mwanao….Sasa mama kaongea na mimi nimemwambia nataka mabadiliko ..nimempa sababu zangu kwann nataka mabadiliko kwa manufaa yangu mimi na Taifa langu Mama kanielewa na ameungana na mimi kuchagua mabadiliko".

Bila shaka wanaofuatilia siasa za wanabongo movies hawa  watakuwa wamemuelewa.

Mzee wa Ubuyu

 

10 years ago

GPL

MAMA ATUPA MTOTO, KISA UGOMVI WA MAPENZI!

Gabriel Ng’osha Binadamu wamepoteza utu! Mwanamke mjamzito aliyefahamika kwa jina la mama Janeth, mkazi wa Kimara-Suka jijini Dar anadaiwa kujifungua kisha kukiweka kichanga kwenye begi na kukitupa shambani, kisa kikielezwa kuwa ni mgogoro wa kimapenzi na mwanaume aliyempa ujauzito. Mama anadaiwa kutupa kichanga hicho akijaribu kuangalia huku na kule kama kuna mtu anamuona alifahamika kwa jina la mama Janeth. Mmoja wa...

 

9 years ago

Mtanzania

Jaji atupa hoja za utetezi kesi ya Mwalle

wakiliNA JANETH MUSHI, ARUSHA

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, imetupilia mbali pingamizi lililotolewa na mawakili wa utetezi katika kesi inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu.

Jaji Gadi Mjemas   alitoa uamuzi huo jana aliposikiliza mashahidi wa pande zote mbili baada ya kutokea mvutano wa sheria ulioibua kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi kuhusiana na kupokelewa   maelezo ya mshitakiwa wa nne, Elias Ndejembi.

Jaji Mjemas alisema   baada ya kusikiliza pande zote mbili,...

 

11 years ago

Habarileo

Atupa mtoto wa siku moja kulinda ndoa yake

MTOTO wa kike mwenye umri wa siku moja amenusurika kufa baada ya kuokolewa na wasamaria kutoka katika shimo alimotupwa na mama yake mzazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani