Mwanafunzi KCMC atupa kichanga pipa la uchafu
MWANAFUNZI wa mwaka wa kwanza shule ya viungo KCMC mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, Rachel Malima (22), amewekwa chini ya uangalizi maalumu wa madaktari baada ya kujifungua na kumtelekeza mtoto kwenye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Mar
Mwanamke atupa kichanga chooni
WATOTO wawili wachanga wamekufa katika matukio mawili tofauti yaliyotokea mkoani hapa, likiwemo la mmoja kutupwa chooni na mama mzazi mara ya baada ya kuzaliwa.
9 years ago
StarTV24 Dec
Polis yaokota kichanga Dampo la uchafu Ruvuma
Wanawake Mkoani Ruvuma wameiomba Serikali kuongeza adhabu kwa wanawake wanaofanya vitendo vya ukatili hasa kwa kuua watoto baada ya kujifungua.
Wakazi wa mfaranyaki Songea wameeleza kusikitishwa na kitendo hicho baada ya kushuhudia Jeshi la polisi likimwokota Mtoto mchanga aliyetupwa katika Dampo la uchafu la makaburi ya wahindi.
Wanawake hao wamewaomba Wanawake wenzao kufanya uchunguzi ili kubaini wanawake ambao walikuwa na ujauzito ambao ujauzito wao haujulikani jinsi ulivyo potea...
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
Habarileo12 Dec
Mama atupa watoto watatu porini
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mama wa watoto watatu, mkazi wa wilayani hapa, mwanzoni mwa wiki hii aliwatekeleza porini watoto hao, akiwemo mwenye umri wa miezi mitatu.
9 years ago
Bongo Movies19 Sep
Ray Atupa 'Kijembe' kwa Wanamabadiliko
Leo nimekutana na vitu vya ajabu sana kwa hawa wana mabadiliko, kuna mmoja nilimuuliza why unataka mabadilko , akanijibu hivi eti nimekatwa mshahara kwa hiyo naichukia CCM nataka mabadiliko tena kakatwa mshahara kwa uzembe wake tu anailaumu serikali wa pili nikamuuliza naye why unataka mabadiliko, akanjibu ahaaa mimi sipati milo mitatu naichukia CCM wakati huo nimeenda kwake ilikuwa ni saa saba mchana bado yuko kitandani nilicheka sana na wengi wao ndio wako hivi wafuata mkumbo ndio maaana...
9 years ago
Bongo Movies22 Sep
Wolper Atupa Dongo Upande wa Pili
Haya ndiyo maneno ya aliypoyaandika staa wa Bongo Movies,‘Jacqueline Lowassa’ kwenye ukurasa wake wa instagram.
"Mama ongea na mwanao….Sasa mama kaongea na mimi nimemwambia nataka mabadiliko ..nimempa sababu zangu kwann nataka mabadiliko kwa manufaa yangu mimi na Taifa langu Mama kanielewa na ameungana na mimi kuchagua mabadiliko".
Bila shaka wanaofuatilia siasa za wanabongo movies hawa watakuwa wamemuelewa.
Mzee wa Ubuyu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XP1HwsPGdbf6etDLxcKtmIbX0yhcvqWKeWbfDvcvLNfChumC*t0iUVLJA3yxKBHctmbJo-PqLl4k1-bw3TFxrfZtnacCD4Cl/104.jpg?width=650)
MAMA ATUPA MTOTO, KISA UGOMVI WA MAPENZI!
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Jaji atupa hoja za utetezi kesi ya Mwalle
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, imetupilia mbali pingamizi lililotolewa na mawakili wa utetezi katika kesi inayomkabili Wakili Median Mwalle na wenzake watatu.
Jaji Gadi Mjemas alitoa uamuzi huo jana aliposikiliza mashahidi wa pande zote mbili baada ya kutokea mvutano wa sheria ulioibua kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi kuhusiana na kupokelewa maelezo ya mshitakiwa wa nne, Elias Ndejembi.
Jaji Mjemas alisema baada ya kusikiliza pande zote mbili,...
11 years ago
Habarileo02 Aug
Atupa mtoto wa siku moja kulinda ndoa yake
MTOTO wa kike mwenye umri wa siku moja amenusurika kufa baada ya kuokolewa na wasamaria kutoka katika shimo alimotupwa na mama yake mzazi.