Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polis yaokota kichanga Dampo la uchafu Ruvuma

Wanawake Mkoani Ruvuma wameiomba Serikali kuongeza adhabu kwa wanawake wanaofanya vitendo vya ukatili hasa kwa kuua watoto baada ya kujifungua.

Wakazi wa mfaranyaki Songea wameeleza kusikitishwa na kitendo hicho baada ya kushuhudia Jeshi la polisi likimwokota Mtoto mchanga aliyetupwa katika Dampo la uchafu la makaburi ya wahindi.

 Wanawake hao wamewaomba  Wanawake  wenzao kufanya uchunguzi ili kubaini wanawake ambao walikuwa na ujauzito ambao ujauzito wao haujulikani jinsi ulivyo potea...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mwanafunzi KCMC atupa kichanga pipa la uchafu

MWANAFUNZI wa mwaka wa kwanza shule ya viungo KCMC mjini Moshi  mkoani Kilimanjaro, Rachel Malima (22), amewekwa chini ya uangalizi maalumu wa madaktari baada ya kujifungua na kumtelekeza mtoto kwenye...

 

9 years ago

BBCSwahili

Polis 4 washtakiwa kwa kuua mshukiwa

Maafisa wanne wa polisi wameshtakiwa baada ya kunaswa na kamera za siri CCTV wakimpiga risasi na kumuua mshukiwa mmoja wa uhalifu

 

9 years ago

StarTV

UKAWA ya lalamikia jeshi la Polis kutumia nguvu nyingi.

Jeshi la polisi mkoani Mwanza mapema leo limelazimika kutumia mabomu ya kuwatawanya waandamanaji waliotaka kwenda uwanja wa ndege kwa ajili ya kumpokea Waziri mkuu mstaafu na mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia Umoja wa katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowasa.

Waziri mkuu mstaafu Lowasa amewasili jijini Mwanza mchana jana kwa ajili ya kujitambulisha rasmi kama mgombea urais kwa tiketi ya umoja huo.

Ulinzi uliimarishwa lakini saa chache baadae baadhi ya wakazi na...

 

9 years ago

StarTV

Polis Mara lamshikilia Mwanaume mmoja kwakumbaka binti yake

Jeshi la polisi wilayani bunda linamshikilia mwanaume mmoja kwa tuhuma za kumbaka binti yake wa kuzaa ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi

Afisa tarafa ya chamriho, bw. Boniphace maiga, amemtaja mwanaume huyo kuwa ni athuman jeck mkazi wa kijiji cha mariwanda, kata ya hunyari wilayani hapa.

Amesema kuwa mwanaume huyo alimfanyia unyama huo binti yake wakati mke wake akiwa amekwenda kwenye biashara, zake ambapo anadaiwa kumfungia ndani ya nyumba yao na kuanza kumbaka.

Baada ya kitendo hicho...

 

9 years ago

StarTV

Polis Mara yakamata wa nne kwa kuvamia hifadhi ya ziwa babati

Polisi mkoani Manyara imewakamata watu wanne wakazi wa kijiji cha Himiti wilayani Babati kwa kuvamia hifadhi ya ziwa babati na kufanya shughuli za kilimo.

Aidha jeshi hilo linawasaka watu wengine saba kwa tuhuma hizo za uvamizi wa hifadhi ya ziwa hilo.

Ziwa Babati ndilo linalotegemewa na wakazi wa wilaya ya Babati kama chanzo kikuu cha samaki.

Vijiji vinavyolizunguka ziwa hili vimeweka sheria ya kutofanya shughuli zozote ndani ya mita 200.

Baadhi ya watu wakiwemo viongozi wa vijiji wamevamia...

 

11 years ago

GPL

KANISA LA GWAJIMA LAGEUZWA DAMPO

Kanisa la Nabii Josephat Gwajima la Kibaha, Pwani Stori: Matsoni Msama, Kibaha KANISA la Nabii Josephat Gwajima la Kibaha, Pwani limegeuzwa dampo baada ya takataka kutupwa nyuma ya kanisa hilo. Sehemu ya nyuma ya kanisa hilo ikiwa na lundo la taka.  Gazeti hili lilikwenda kanisani hapo na kukuta rundo la takataka nyuma ya kanisa hilo na eneo lote limetawaliwa… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pugu waeleza kero ya dampo

WAKAZI wa eneo la Pugu Kinyamwezi, Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam wameeleza kero na madhara wanayoyapata kutokana na dampo lililopo eneo hilo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Tanzania Daima...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Tanzania haina dampo la taka ngumu’

TANZANIA haina dampo la kutekeleza taka ngumu zenye sumu, bunge lilielezwa jana. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Ummi Mwalimu, alipokuwa akijibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani