KANISA LA GWAJIMA LAGEUZWA DAMPO
![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*qIrwMatIxuSoUAzU-5EC2G3p3rpaqpJyHIn699NfKFVEJ48-2Rw9oLOYJIgQMc5rkm33j1*LIXUKAwgV2LEEd1/P1070084.jpg?width=650)
Kanisa la Nabii Josephat Gwajima la Kibaha, Pwani Stori: Matsoni Msama, Kibaha KANISA la Nabii Josephat Gwajima la Kibaha, Pwani limegeuzwa dampo baada ya takataka kutupwa nyuma ya kanisa hilo. Sehemu ya nyuma ya kanisa hilo ikiwa na lundo la taka. Gazeti hili lilikwenda kanisani hapo na kukuta rundo la takataka nyuma ya kanisa hilo na eneo lote limetawaliwa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0jwS8IDgkuXNoxb6P8mIulYN7KjippBEIvDLDZYwur0CHhV6imWTjP6G4qZyzDPWMVVOSGjkeEP8HtAXeqfoDWErqpgcxmY-/freemason.jpg?width=650)
FREEMASON WATUA KANISA LA GWAJIMA
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Kanisa langu halitakufa — Gwajima
Na Asifiwe George,Dar es Salaam
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amesema kuna watu wanaotaka kuua kanisa lake lakini kamwe halitakufa na litang’aa hadi katika kizazi cha mwisho.
Akizungumza katika ibada yake iliyofanyika katika Viwanja vya Tanganyika Packers, Dar es Salaam jana, Askofu Gwajima alisema watu hao wamekuwa wakisema kuwa hawalipendi Kanisa la Ufufuo na Uzima na kutaka life.
Alisema kanisa lake lina mamlaka na linaungana na sauti ya damu ya mwana...
10 years ago
GPLKANISA LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA KAWE LATAKIWA KUVUNJWA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-i3ccetVZ0Ec/VO_RDNqe6dI/AAAAAAADa5g/ApUfyh9T4T4/s72-c/GWAJIMA-afungikishwa%2Bvirago%2Bkawe.jpg)
KANISA LISILO RASMI LA MCHUNGAJI JOSEPHAT GWAJIMA LAVUNJWA KAWE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kbZiIpIYoqA/VF92HhFULkI/AAAAAAAGwNI/Zhpzte5Tqvk/s72-c/unnamed.jpg)
Lowassa azindua helkopta ya kanisa la ufufuo na uzima, Askofu Gwajima ataka apewe eneo la Tanganyika Parkers
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Kontena la CCM lageuzwa kituo cha polisi
JESHI la Polisi Wilaya ya kipolisi Chalinze mkoani Pwani, linafanya kazi zake kwenye kontena mali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutokana na ufinyu wa majengo ya ofisi. Hayo yalisemwa mjini...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s72-c/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s1600/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala yazindua harambee kukarabati kanisa hilo
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe, akizindua Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo jijini Dar es Salaam.
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe, akionyesha Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuzindua rasmi
Mwanajumuiya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Stephen Minja, akionyesha Kadi Maalumu ya harambee ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ph4Aa25jMlk/VTTiw8bmmAI/AAAAAAAC3UQ/8EHqustY3aw/s72-c/1.jpg)
KANISA KATOLIKI POROKIA YA MWANANYAMALA YAZINDUA HARAMBEE KUKARABATI KANISA HILO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ph4Aa25jMlk/VTTiw8bmmAI/AAAAAAAC3UQ/8EHqustY3aw/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sZD_07Sg5v0/VTTiuCUA03I/AAAAAAAC3UI/t4dJUbMvvnw/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GyxUwmKhA-Y/VTTi6vqqaXI/AAAAAAAC3U0/Q99oBdlO65s/s1600/9.jpg)