Lowassa azindua helkopta ya kanisa la ufufuo na uzima, Askofu Gwajima ataka apewe eneo la Tanganyika Parkers
![](http://4.bp.blogspot.com/-kbZiIpIYoqA/VF92HhFULkI/AAAAAAAGwNI/Zhpzte5Tqvk/s72-c/unnamed.jpg)
Joseph Zablon, Kawe Dar es Salaam. Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa ameahidi kumsaidiana kwa maombi na njia zingine, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ili aweze kulipata eneo la Tanganyika Pakers analolitumia kwa mahubiri ili ajenge kanisa kwa ajili ya waumini wake. Kauli ya Lowassa imefuatia ombi la askofu huyo wakati wa uzinduzi wa helkopta ya kanisa hilo ambayo ameahidi kuitumia kwa ajili ya kusaidia majanga yanapotokea na pia kusambaza neno la Mungu ambako alidai...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-o4PBgigNRCM/VF-Nn8zr3pI/AAAAAAAGwPA/P2q1OYzu0lA/s72-c/e15.jpg)
Mh. Lowassa azindua helkopta ya kanisa la ufufuo na uzima
![](http://4.bp.blogspot.com/-o4PBgigNRCM/VF-Nn8zr3pI/AAAAAAAGwPA/P2q1OYzu0lA/s1600/e15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-E86aXDahwfc/VF-NqePSuaI/AAAAAAAGwPo/3kbVHKuiiUg/s1600/e2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qfhB-IuoJUw/VF-NqwYIPgI/AAAAAAAGwPw/euZIC5-6RJI/s1600/e3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WXKQIZtETdQMqvaP932dTovHsOYh3vNr4ALVhzfp3CXP7WBSeBiI*6SRSbuMs45kLIjPMlRZAoe8eIcWzQo60oGCK5-u3KSO/e15.jpg?width=650)
MH. LOWASSA AZINDUA HELKOPTA YA KANISA LA UFUNUO NA UZIMA
11 years ago
GPLKANISA LA UFUFUO LATOA SHUKRANI YA KUPATA HELKOPTA
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Askofu Gwajima ataka kutoroshwa Kimafia
Na Waandishi Wetu,Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia wafuasi 15 wa Kanisa la Ufufuo na Uzima kwa tuhuma za kutaka kumtorosha Askofu Mkuu wa kanisa hilo, Josephat Gwajima.
Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ, Mikocheni Dar es Salaam, baada ya kupata mshituko wakati akihojiwa na makachero wa Jeshi la Polisi katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu...
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Askofu Gwajima: Tatizo la Dk Slaa si Lowassa
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Askofu Gwajima: Siwezi kuwatupa Dk Slaa, Lowassa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0mkCS9QlCAE/XmY6cXm3BUI/AAAAAAAAHGc/iBMw50-NSl4MIjEPhgXyEJjdOBb9OpKkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0130.jpg)
MWENYEKITI WA CCT ASKOFU CHEYO AZINDUA UJENZI WA KANISA LA MORAVIAN TANZANIA USHIRIKA WA MABIBO JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-0mkCS9QlCAE/XmY6cXm3BUI/AAAAAAAAHGc/iBMw50-NSl4MIjEPhgXyEJjdOBb9OpKkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0130.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5sZNc9Lw_R0/XmY7RY_r1tI/AAAAAAAAHGk/ssBAu-_qJeYObippivw63ua_UK4upagcQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0115.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5VolFBkV6uA/XmY7VIaFxkI/AAAAAAAAHGo/v-e3oFFW1VEuafTtOvkrqss_ap9cdpPDQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0116.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0mkCS9QlCAE/XmY6cXm3BUI/AAAAAAAAHGc/iBMw50-NSl4MIjEPhgXyEJjdOBb9OpKkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0130.jpg)
MWENYEKITI WA CCT ASKOFU CHEYO AZINDUA UJENZI WA KANISA JIPYA LA MORAVIAN TANZANIA USHIRIKA WA MABIBO JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-0mkCS9QlCAE/XmY6cXm3BUI/AAAAAAAAHGc/iBMw50-NSl4MIjEPhgXyEJjdOBb9OpKkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0130.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5sZNc9Lw_R0/XmY7RY_r1tI/AAAAAAAAHGk/ssBAu-_qJeYObippivw63ua_UK4upagcQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0115.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-5VolFBkV6uA/XmY7VIaFxkI/AAAAAAAAHGo/v-e3oFFW1VEuafTtOvkrqss_ap9cdpPDQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_0116.jpg)
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Mjumbe ataka JK apewe Tuzo ya Katiba