Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wolper Atupa Dongo Upande wa Pili

Haya ndiyo maneno ya aliypoyaandika staa wa Bongo Movies,‘Jacqueline Lowassa’ kwenye ukurasa wake wa instagram.

"Mama ongea na mwanao….Sasa mama kaongea na mimi nimemwambia nataka mabadiliko ..nimempa sababu zangu kwann nataka mabadiliko kwa manufaa yangu mimi na Taifa langu Mama kanielewa na ameungana na mimi kuchagua mabadiliko".

Bila shaka wanaofuatilia siasa za wanabongo movies hawa  watakuwa wamemuelewa.

Mzee wa Ubuyu

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu

Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.

Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz

Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...

 

10 years ago

Bongo Movies

UTANI:Mtunisy Amtupia Dongo Wolper

UTANI KIDOGO: Akiwa kwenye hilo pozi la kutulia, Mtunisy alitupia hii mtandaoni;

"Mji umepoa mpaka raha bora nyie WACHAGA mmbakie huko huko kwenu KISHUMUNDU muna fujo sana hapa mjini wamebakia wachache tu akina WOLPER ingawa nao hawatulii"-Mtunisy alimaliza.

Hii iliwafanya mashabiki wengi kuachia KOMENTI na LIKES  za kutosha, wakimtaka wolper ajitokeze kuthibitisha madai hayo…huku baadhi ya watu wakabira la wachanga wakijisifu kwa njinsi wanavyotumbua siku kuu huko Kilimanjaro.

 

9 years ago

Bongo5

Idadi ya watazamaji wa Tamthilia ya Empire yapungua kwenye episode ya pili, 50 Cent ampiga dongo Cookie

Tamthilia ya Empire ilianza msimu wake wa pili kwa kishindo kwa kuvunja rekodi ya Fox kwa kupata watazama zaidi ya milioni 16 katika episode ya kwanza iliyoruka Sept.23. Hata hivyo watazamaji wa episode ya pili iliyoruka Jumatano iliyopita wamepungua kutoka milioni 16 waliotazama episode 1 hadi kufikia milioni 13.7 walitazama episode 2, japo bado ni […]

 

10 years ago

Michuzi

Ushahidi wa upande wa Utetezi wa mshtakiwa wa pili, Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona kuendelea kusikilizwa na kesho

Ushahidi wa upande wa Utetezi wa mshtakiwa wa pili, Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona kuendelea kusikilizwa na kesho na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, baada ya leo mwenyekiti wa jopo la mahakimu wanaosikiliza kesi hiyo, Jaji John Utamwa kuwa udhudu wa kikazi.
Jaji Utamwa na Jaji Samu Rumanyika  walianza kusikiliza kesi hiyo wakiwa Mahakimu Wakazi Wakuu kabla ya kupanda na kuwa Majaji wa Mahakama Kuu Tanzania, ambao kwa sasa wako, Kanda ya Tabora.
Kesi hiyo iliahirishwa leo...

 

11 years ago

Michuzi

UZUNDUZI WA MRADI MKUBWA WA NJIA MPYA YA MAWASILIANO UNAOUNGANISHA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA UPANDE MMOJA NA UNGUJA NA PEMBA KWA UPANDE MWINGINE

 Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Technolojia, Profesa Makame Mbarawa akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Mradi wa njia mpya ya mawasiliano inayounganisha Dar es Salaam kwa upande mmoja na Unguja na Pemba kwa upande mwingine kwenye sherehe zilizofanyika Pemba hivi karibuni.  Wawakilishi wa balozi mbalimbali na viongozi wa serikali wakiwa kwenye uzinduzi rasmi wa Mradi huo  Wageni mbalimbali  wakiwa kwenye uzinduzi huo mjini Pemba.  Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Technolojia,...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanamke atupa kichanga chooni

WATOTO wawili wachanga wamekufa katika matukio mawili tofauti yaliyotokea mkoani hapa, likiwemo la mmoja kutupwa chooni na mama mzazi mara ya baada ya kuzaliwa.

 

10 years ago

Habarileo

Mama atupa watoto watatu porini

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mama wa watoto watatu, mkazi wa wilayani hapa, mwanzoni mwa wiki hii aliwatekeleza porini watoto hao, akiwemo mwenye umri wa miezi mitatu.

 

9 years ago

Bongo Movies

Ray Atupa 'Kijembe' kwa Wanamabadiliko

Leo nimekutana na vitu vya ajabu sana kwa hawa wana mabadiliko, kuna mmoja nilimuuliza why unataka mabadilko , akanijibu hivi eti nimekatwa mshahara kwa hiyo naichukia CCM nataka mabadiliko tena kakatwa mshahara kwa uzembe wake tu anailaumu serikali wa pili nikamuuliza naye why unataka mabadiliko,  akanjibu ahaaa mimi sipati milo mitatu naichukia CCM wakati huo nimeenda kwake ilikuwa ni saa saba mchana bado yuko kitandani nilicheka sana na wengi wao ndio wako hivi wafuata mkumbo ndio maaana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwanafunzi KCMC atupa kichanga pipa la uchafu

MWANAFUNZI wa mwaka wa kwanza shule ya viungo KCMC mjini Moshi  mkoani Kilimanjaro, Rachel Malima (22), amewekwa chini ya uangalizi maalumu wa madaktari baada ya kujifungua na kumtelekeza mtoto kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani