Wolper Atupa Dongo Upande wa Pili
Haya ndiyo maneno ya aliypoyaandika staa wa Bongo Movies,‘Jacqueline Lowassa’ kwenye ukurasa wake wa instagram.
"Mama ongea na mwanao….Sasa mama kaongea na mimi nimemwambia nataka mabadiliko ..nimempa sababu zangu kwann nataka mabadiliko kwa manufaa yangu mimi na Taifa langu Mama kanielewa na ameungana na mimi kuchagua mabadiliko".
Bila shaka wanaofuatilia siasa za wanabongo movies hawa watakuwa wamemuelewa.
Mzee wa Ubuyu
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz
Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...
10 years ago
Bongo Movies29 Dec
UTANI:Mtunisy Amtupia Dongo Wolper
UTANI KIDOGO: Akiwa kwenye hilo pozi la kutulia, Mtunisy alitupia hii mtandaoni;
"Mji umepoa mpaka raha bora nyie WACHAGA mmbakie huko huko kwenu KISHUMUNDU muna fujo sana hapa mjini wamebakia wachache tu akina WOLPER ingawa nao hawatulii"-Mtunisy alimaliza.
Hii iliwafanya mashabiki wengi kuachia KOMENTI na LIKES za kutosha, wakimtaka wolper ajitokeze kuthibitisha madai hayo…huku baadhi ya watu wakabira la wachanga wakijisifu kwa njinsi wanavyotumbua siku kuu huko Kilimanjaro.
9 years ago
Bongo505 Oct
Idadi ya watazamaji wa Tamthilia ya Empire yapungua kwenye episode ya pili, 50 Cent ampiga dongo Cookie
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-150d0TApj7w/VVoQsu5ILmI/AAAAAAAHYGs/bs6b7D-rM-w/s72-c/Gray-Mgonja-Daniel-Yona-Basil-Mramba.jpg)
Ushahidi wa upande wa Utetezi wa mshtakiwa wa pili, Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona kuendelea kusikilizwa na kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-150d0TApj7w/VVoQsu5ILmI/AAAAAAAHYGs/bs6b7D-rM-w/s640/Gray-Mgonja-Daniel-Yona-Basil-Mramba.jpg)
Jaji Utamwa na Jaji Samu Rumanyika walianza kusikiliza kesi hiyo wakiwa Mahakimu Wakazi Wakuu kabla ya kupanda na kuwa Majaji wa Mahakama Kuu Tanzania, ambao kwa sasa wako, Kanda ya Tabora.
Kesi hiyo iliahirishwa leo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-l4wBrMEIEmM/Uwb4DWRDwEI/AAAAAAAFOg8/k3tZyNl3UvA/s72-c/unnamed+(85).jpg)
UZUNDUZI WA MRADI MKUBWA WA NJIA MPYA YA MAWASILIANO UNAOUNGANISHA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA UPANDE MMOJA NA UNGUJA NA PEMBA KWA UPANDE MWINGINE
![](http://4.bp.blogspot.com/-l4wBrMEIEmM/Uwb4DWRDwEI/AAAAAAAFOg8/k3tZyNl3UvA/s1600/unnamed+(85).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g-OgqaEa89g/Uwb4DpEbuWI/AAAAAAAFOhA/GUU2DXbdpiA/s1600/unnamed+(86).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bp86vAV3KKM/Uwb4DyadJEI/AAAAAAAFOhI/cD7-0S0AG-4/s1600/unnamed+(87).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tu3f7Yl8Sl4/Uwb4EkQ95bI/AAAAAAAFOhQ/9NbPTflJ6g8/s1600/unnamed+(88).jpg)
11 years ago
Habarileo21 Mar
Mwanamke atupa kichanga chooni
WATOTO wawili wachanga wamekufa katika matukio mawili tofauti yaliyotokea mkoani hapa, likiwemo la mmoja kutupwa chooni na mama mzazi mara ya baada ya kuzaliwa.
10 years ago
Habarileo12 Dec
Mama atupa watoto watatu porini
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mama wa watoto watatu, mkazi wa wilayani hapa, mwanzoni mwa wiki hii aliwatekeleza porini watoto hao, akiwemo mwenye umri wa miezi mitatu.
9 years ago
Bongo Movies19 Sep
Ray Atupa 'Kijembe' kwa Wanamabadiliko
Leo nimekutana na vitu vya ajabu sana kwa hawa wana mabadiliko, kuna mmoja nilimuuliza why unataka mabadilko , akanijibu hivi eti nimekatwa mshahara kwa hiyo naichukia CCM nataka mabadiliko tena kakatwa mshahara kwa uzembe wake tu anailaumu serikali wa pili nikamuuliza naye why unataka mabadiliko, akanjibu ahaaa mimi sipati milo mitatu naichukia CCM wakati huo nimeenda kwake ilikuwa ni saa saba mchana bado yuko kitandani nilicheka sana na wengi wao ndio wako hivi wafuata mkumbo ndio maaana...
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Mwanafunzi KCMC atupa kichanga pipa la uchafu
MWANAFUNZI wa mwaka wa kwanza shule ya viungo KCMC mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, Rachel Malima (22), amewekwa chini ya uangalizi maalumu wa madaktari baada ya kujifungua na kumtelekeza mtoto kwenye...