Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UTANI:Mtunisy Amtupia Dongo Wolper

UTANI KIDOGO: Akiwa kwenye hilo pozi la kutulia, Mtunisy alitupia hii mtandaoni;

"Mji umepoa mpaka raha bora nyie WACHAGA mmbakie huko huko kwenu KISHUMUNDU muna fujo sana hapa mjini wamebakia wachache tu akina WOLPER ingawa nao hawatulii"-Mtunisy alimaliza.

Hii iliwafanya mashabiki wengi kuachia KOMENTI na LIKES  za kutosha, wakimtaka wolper ajitokeze kuthibitisha madai hayo…huku baadhi ya watu wakabira la wachanga wakijisifu kwa njinsi wanavyotumbua siku kuu huko Kilimanjaro.

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Wolper Atupa Dongo Upande wa Pili

Haya ndiyo maneno ya aliypoyaandika staa wa Bongo Movies,‘Jacqueline Lowassa’ kwenye ukurasa wake wa instagram.

"Mama ongea na mwanao….Sasa mama kaongea na mimi nimemwambia nataka mabadiliko ..nimempa sababu zangu kwann nataka mabadiliko kwa manufaa yangu mimi na Taifa langu Mama kanielewa na ameungana na mimi kuchagua mabadiliko".

Bila shaka wanaofuatilia siasa za wanabongo movies hawa  watakuwa wamemuelewa.

Mzee wa Ubuyu

 

11 years ago

GPL

JOHARI AMTUPIA CHUCHU VIJEMBE MSIBANI

Stori: Mwandishi Wetu STAA wa Bongowood, Blandina Chagula ‘Johari’ anadaiwa kumtupia vijembe kiaina msanii mwenzake, Chuchu Hans ambaye ‘anabanjuka kimalovee’ na mkurugenzi mwenza wa Kampuni ya RJ, Vincent Kigosi ‘Ray The Greatest’. Staa wa Bongowood, Blandina Chagula ‘Johari’. Tukio hilo lilichukua nafasi kwenye msiba wa mwigizaji Sheila Haule ‘Recho’...

 

10 years ago

Bongo Movies

Panya Road: Mtunisy Amtumia Barua Mwita Chacha!!!!

UTANI KIDOGO: Siunakumbuka Mwita Chacha alivyowaponda wanaume wa Dar, eti hawana lolote wanaenda GYM ili wakamate warembo tu, kwani wameshindwa kuwadhibiti Panya Road  na kukimbia barabarani huku wengine wakijifisha kwenye uvungu wa meza za Bar. Sasa Mtunisy akiwa ni moja kati wa vijana wanoshinda GYM ameibuka na barua hii.

"BARUA hii ije kwako wewe Bw Mwita Chacha sijui toka huko Tarime uliejirekodi na kutuita sisi wanaume wa Dar kuwa ni waoga sana na tunaogopa hata panya rodi tu. Kwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kwawalioangalia Movie ya Tugawane Maumivi, Mtunisy Anauliza Hapa!!!!

Mwigizaji na muongozaji wa filamu za kibongo, Nice Mohamed  “Mtunisy” amewauliza swali hili mashabiki wake walioagalia filamu yake ya “Tugawane  Maumivu” iliyotoka hivi karibuni.

"Hili swali nalileta kwenu nyie mashabiki wangu wote waliobahatika kuiangalia film yangu hii ya TUGAWANE MAUMIVU unahisi ndoa ya CHUCHU na RAMMY waliishi vipi kutokana na kile kilichotokea pale kanisani ukizingatia ndoa ya kikristo ukishaoa inasemekana ndio umeoa huwezi kuoa tena au mwanamke kuolewa tena!!!."...

 

10 years ago

Bongo5

Faiza amtupia lawama ex wake (Sugu), asema hamjali mwanae

Aliyekuwa mpenzi wake na mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu, Faiza Ally amemtupia mzazi mwenzake kuwa hamjali mwanae baada ya kuachana. Faiza alikuwa akiongea kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV ambapo alikiri kuwa kuachana na Sugu kunaendelea kumuumiza. “Imeniathiri sana hata hailezeki,” alisema. “Naona hata nikieleza siwezi kumaliza. Imeniathiri kiasi kikubwa […]

 

10 years ago

Bongo Movies

MTUNISY: Siku Hizi Mtu Akikuumiza Nawe Muumize Tu Mradi Mugawane Maumivu

Tugawane Maumivu ndio jina la filamu mpya iliyotoka hivi karibuni kutoka kwa muigizaji na muongozaji wa filamu, Nice Mohammed  maarufu kama Mtunisy. Akizungumzia maendeleo ya kazi hii sokoni, Mtunisy aliwashukuru mashabiki na wapenzi wote waliomuunga mkono kwa kununua kazi yake na kuwaomba waendelee kumuunga mkono.

 “Ahasanteni wapendwa kwa sapoti yenu kubwa mlioionyesha kwa kununua film yangu mpya hakika nimeamini huwezi kuchukiwa na wote hii imedhihilisha ktk kz yangu hii ya TUGAWANE...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond ashindwa kutokea kwenye show London, mashabiki wamngonja hadi saa 10 alfajiri, amtupia lawama promota

Kwa mara nyingine tena, mashabiki wa Diamond Platnumz wameshindwa kumuona akitumbuiza licha ya kumsubiria hadi saa 10 Alfajiri. Awamu hii imetokea jijini London, Uingereza katika show aliyoitangaza kwa kiasi kikubwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Tofauti na Stuttgurt, Ujerumani ambako mashabiki walifanya uharibifu mkubwa, mashabiki wa London waliamua kuwa wapole tu na kurejea […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!

"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini  na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.

Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...

 

11 years ago

Mwananchi

Logarusic: Sina utani na wachezaji magoigoi

Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amesema yeye siyo mkali bali wachezaji wengi wa Tanzania wanapenda kusukumwa sukumwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani