UTANI:Mtunisy Amtupia Dongo Wolper
UTANI KIDOGO: Akiwa kwenye hilo pozi la kutulia, Mtunisy alitupia hii mtandaoni;
"Mji umepoa mpaka raha bora nyie WACHAGA mmbakie huko huko kwenu KISHUMUNDU muna fujo sana hapa mjini wamebakia wachache tu akina WOLPER ingawa nao hawatulii"-Mtunisy alimaliza.
Hii iliwafanya mashabiki wengi kuachia KOMENTI na LIKES za kutosha, wakimtaka wolper ajitokeze kuthibitisha madai hayo…huku baadhi ya watu wakabira la wachanga wakijisifu kwa njinsi wanavyotumbua siku kuu huko Kilimanjaro.
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies22 Sep
Wolper Atupa Dongo Upande wa Pili
Haya ndiyo maneno ya aliypoyaandika staa wa Bongo Movies,‘Jacqueline Lowassa’ kwenye ukurasa wake wa instagram.
"Mama ongea na mwanao….Sasa mama kaongea na mimi nimemwambia nataka mabadiliko ..nimempa sababu zangu kwann nataka mabadiliko kwa manufaa yangu mimi na Taifa langu Mama kanielewa na ameungana na mimi kuchagua mabadiliko".
Bila shaka wanaofuatilia siasa za wanabongo movies hawa watakuwa wamemuelewa.
Mzee wa Ubuyu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YWMj-J29SNz-1-jGh3mihXudit9WzLIkYGhLP4U8IjbmCTXmSrgXdTKHSlyscmP7HEqx7FCWlVsYjmJuOOf8PUlVgDEF0avH/johari.jpg)
JOHARI AMTUPIA CHUCHU VIJEMBE MSIBANI
10 years ago
Bongo Movies30 Jan
Panya Road: Mtunisy Amtumia Barua Mwita Chacha!!!!
UTANI KIDOGO: Siunakumbuka Mwita Chacha alivyowaponda wanaume wa Dar, eti hawana lolote wanaenda GYM ili wakamate warembo tu, kwani wameshindwa kuwadhibiti Panya Road na kukimbia barabarani huku wengine wakijifisha kwenye uvungu wa meza za Bar. Sasa Mtunisy akiwa ni moja kati wa vijana wanoshinda GYM ameibuka na barua hii.
"BARUA hii ije kwako wewe Bw Mwita Chacha sijui toka huko Tarime uliejirekodi na kutuita sisi wanaume wa Dar kuwa ni waoga sana na tunaogopa hata panya rodi tu. Kwa...
10 years ago
Bongo Movies20 Dec
Kwawalioangalia Movie ya Tugawane Maumivi, Mtunisy Anauliza Hapa!!!!
Mwigizaji na muongozaji wa filamu za kibongo, Nice Mohamed “Mtunisy” amewauliza swali hili mashabiki wake walioagalia filamu yake ya “Tugawane Maumivu” iliyotoka hivi karibuni.
"Hili swali nalileta kwenu nyie mashabiki wangu wote waliobahatika kuiangalia film yangu hii ya TUGAWANE MAUMIVU unahisi ndoa ya CHUCHU na RAMMY waliishi vipi kutokana na kile kilichotokea pale kanisani ukizingatia ndoa ya kikristo ukishaoa inasemekana ndio umeoa huwezi kuoa tena au mwanamke kuolewa tena!!!."...
10 years ago
Bongo524 Dec
Faiza amtupia lawama ex wake (Sugu), asema hamjali mwanae
10 years ago
Bongo Movies12 Dec
MTUNISY: Siku Hizi Mtu Akikuumiza Nawe Muumize Tu Mradi Mugawane Maumivu
Tugawane Maumivu ndio jina la filamu mpya iliyotoka hivi karibuni kutoka kwa muigizaji na muongozaji wa filamu, Nice Mohammed maarufu kama Mtunisy. Akizungumzia maendeleo ya kazi hii sokoni, Mtunisy aliwashukuru mashabiki na wapenzi wote waliomuunga mkono kwa kununua kazi yake na kuwaomba waendelee kumuunga mkono.
“Ahasanteni wapendwa kwa sapoti yenu kubwa mlioionyesha kwa kununua film yangu mpya hakika nimeamini huwezi kuchukiwa na wote hii imedhihilisha ktk kz yangu hii ya TUGAWANE...
10 years ago
Bongo520 Sep
Diamond ashindwa kutokea kwenye show London, mashabiki wamngonja hadi saa 10 alfajiri, amtupia lawama promota
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Logarusic: Sina utani na wachezaji magoigoi