Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Logarusic: Sina utani na wachezaji magoigoi

Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic amesema yeye siyo mkali bali wachezaji wengi wa Tanzania wanapenda kusukumwa sukumwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Logarusic: Wachezaji ‘mbumbumbu’

>Kocha wa Simba, Zravok Logarusic amesema wachezaji wengi Tanzania, hawana elimu ya mpira, lakini ni wepesi wa kulewa sifa kwa kujiona ‘masupa staa’.

 

11 years ago

GPL

Logarusic awapa mamilioni wachezaji wa Simba

Kocha wa Simba Zradvko Logarusic. Na Mwandishi Wetu
KOCHA Zradvko Logarusic ameanzisha mfumo mpya wa kuwakata wachezaji fedha ambapo mwisho wa msimu utawaingizia wachezaji wake mamilioni ya fedha. Mamilioni hayo yatakayopatikana kupitia mfumo huo aliouanzisha yatatumiwa na wachezaji wake kununua vitu wanavyotaka.
Habari za uhakika kutoka ndani ya Simba zimeeleza kuwa, Logarusic amekuwa mkali na kila mchezaji anayefanya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho:Sina haki kuwasajili wachezaji wapya

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa hana haki ya kuishinikza Chelsea kununua wachezaji wapya wakati wa dirisha la uhamisho mnamo mwezi Januari.

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …

Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]

The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...

 

10 years ago

Mwananchi

Mrwanda amtaka Malinzi kuacha utani

Mshambuliaji Danny Mrwanda amemtaka Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, kuacha utani juu ya timu ya taifa kwa kuangalia kikosi cha timu ya Maboresho.

 

10 years ago

Mwananchi

Kuanguka kwa Mugabe kwageuzwa utani

Baada ya Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe kuteleza na kuanguka katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Harare, watu wengi duniani wamechukulia kitendo cha kuanguka kwa rais huyo kama staili ya kutembea wakiwa na lengo la kumdhihaki.

 

10 years ago

Bongo Movies

UTANI:Mtunisy Amtupia Dongo Wolper

UTANI KIDOGO: Akiwa kwenye hilo pozi la kutulia, Mtunisy alitupia hii mtandaoni;

"Mji umepoa mpaka raha bora nyie WACHAGA mmbakie huko huko kwenu KISHUMUNDU muna fujo sana hapa mjini wamebakia wachache tu akina WOLPER ingawa nao hawatulii"-Mtunisy alimaliza.

Hii iliwafanya mashabiki wengi kuachia KOMENTI na LIKES  za kutosha, wakimtaka wolper ajitokeze kuthibitisha madai hayo…huku baadhi ya watu wakabira la wachanga wakijisifu kwa njinsi wanavyotumbua siku kuu huko Kilimanjaro.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je, wajua 'Mbuzi' ni jina la utani la rais wa Ghana

Moja la bango lililokuwa limebebwa na waandamanaji hii leo katika mji wa Accra nchini Ghana huenda likaonekana kama lenye ujumbe m'baya kwa mtu asiyeelewa.

 

9 years ago

GPL

CHUCHU HANS UNALETA UTANI KWENYE SIASA EE!

VUGUVUGU la kisiasa limekuwa kubwa katika jamii yetu kiasi kwamba kila mmoja anazungumza kuhusu siasa, hasa upinzani mkubwa uliopo hivi sasa kati ya vyama vinavyounda Ukawa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kila mmoja anaonesha jinsi gani siasa inavyomhusu na anavutia upande wake kwa nguvu zake zote. Bahati mbaya hata hivyo, wapo baadhi ya wenzetu ambao wameamua kuwapa wenzao uadui, kwa sababu tu wana mtazamo tofauti na wao. Hili ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani