Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHUCHU HANS UNALETA UTANI KWENYE SIASA EE!

VUGUVUGU la kisiasa limekuwa kubwa katika jamii yetu kiasi kwamba kila mmoja anazungumza kuhusu siasa, hasa upinzani mkubwa uliopo hivi sasa kati ya vyama vinavyounda Ukawa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kila mmoja anaonesha jinsi gani siasa inavyomhusu na anavutia upande wake kwa nguvu zake zote. Bahati mbaya hata hivyo, wapo baadhi ya wenzetu ambao wameamua kuwapa wenzao uadui, kwa sababu tu wana mtazamo tofauti na wao. Hili ni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

HAPA NA PALE:Chuchu Hans Adaiwa Kumsaliti Ray kwa Mfanyabiashara….Chuchu Afunguka

Inasemekana penzi kati ya waigizaji  Chuchu Hans na Visent Kigosi “Ray” limeingia mtegoni baada ya Chuchu Hans kusemekana kumsaliti mpenzi wake Ray kwa jamaa anayedaiwa kuwa ni mfanyabiashara anayeishi maeneo ya Mbezi Beach Dar.

Chanzo kinasema pamoja na Chuchu kuwa na Ray kwa muda wote, lakini inadaiwa kuwa muda fulani amekuwa akitoka na kwenda Mbezi anapoishi kijana huyo.

Hata hivyo paparazi wetu aliamua kumvutia waya Chuchu na kuzungumza naye ishu hiyo ambapo alidai stori hizo...

 

11 years ago

GPL

RAY, CHUCHU HANS NI PIGO!

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
Ni pigo kubwa! Ile ndoa inayodaiwa kukaribia kufungwa kati ya nyota wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Miss Tanga 2006 aliye pia msanii wa filamu Bongo, Chuchu Hans imepingwa isifungwe mpaka mambo f’lani yakae  sawa. Ray na Chuchu wakijiachia.
Kwa mujibu wa mtonyaji wetu, Ray na Chuchu wako mbioni kufunga ndoa wakati wowote kuanzi Mei, mwaka huu, lakini...

 

10 years ago

GPL

CHUCHU HANS ACHARUKA MADAI YA USALITI

Stori: Laurent Samatta
KIMENUKA! Msanii wa filamu, Chuchu Hans ambaye ni mpenzi wa wa nguli wa filamu Bongo, Vicent Kigosi ‘Ray’, amecharuka ishu ya kumsaliti mpenzi wake huyo na jamaa anayedaiwa kuwa ni mfanyabiashara anayeishi maeneo ya Mbezi Beach Dar. Msanii wa filamu, Chuchu Hans. Chanzo kinasema pamoja na Chuchu kuwa na Ray kwa muda wote, lakini inadaiwa kuwa muda fulani amekuwa akitoka na kwenda Mbezi...

 

10 years ago

GPL

CHUCHU HANS AFUNGUKIA KUACHANA NA RAY

Stori: Musa Mateja na Gladness Mallya STAA wa Filamu Bongo, Chuchu Hans juzikati alifungukia madai ya kwamba ameachana na mchumba wake Vicent Kigosi ‘Ray’, akaeleza kuwa, hakuna ukweli wowote juu ya hilo.Chuchu alifikia uamuzi wa kufafanua juu ya madai hayo juzi kufuatia tetesi zilizokuwa zimeenea kwamba yeye na kipenzi chake huyo wametibuana na sasa kila mtu kimpango wake. Staa wa Filamu Bongo, Chuchu Hans akiwa na...

 

11 years ago

GPL

MAPENZI YA CHUCHU HANS, RAY NI YA NJIWA

Stori: Imelda Mtema
MAMBO hadharani! Penzi ‘hoti’ la mastaa mahiri wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans na Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa sasa limekuwa kama la njiwa kwani mara nyingi kila sehemu wapo pamoja na hakuna kificho tena. Ray na Chuchu wakijiachia. Chanzo chetu makini kilieleza kuwa mastaa hao wamekuwa wakionekana pamoja mara nyingi na hivi sasa inadaiwa kuwa wanaishi pamoja huku wakiwa na mtoto wa...

 

11 years ago

GPL

JOHARI AWARUSHA ROHO RAY, CHUCHU HANS

Stori: SHAKOOR JONGO
HUKU Ray na Chuchu Hans wakionekana penzi lao limepamba moto, mpenzi wa zamani wa  Ray, Blandina Chagula ‘Johari’ ameonekana kuwarusha roho wawili hao baada ya kutupia mtandaoni picha inayomuonesha kidoleni amevaa pete ya ndoa. Johari. Wakizungumza na Ijumaa baadhi ya watu waliobahatika kuiona picha hiyo wamesema kuwa kitendo cha Johari kuweka picha hiyo ni sawa na kuwarusha roho wawili hao...

 

10 years ago

GPL

RAY, CHUCHU HANS WAONESHANA MAHABA HADHARANI!

Richard bukos
MAHABA popote! Licha ya kudaiwa ‘wamemwagana’, wapenzi wawili ambao ni wasanii ndani ya Bongo Movie, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hans wameoneshana mahaba mazito hadharani na kuwaziba midomo waliodhani hawawezi kuwa pamoja tena. Wasanii ndani ya Bongo Movie, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hans wakionyeshana mahaba. Ishu hiyo ilinaswa hivi karibuni na ‘kasuku’...

 

9 years ago

Bongo Movies

Chuchu Hans Aanika Siri ya Kumkoleza Ray

NINA imani mu-wazima wa afya wasomaji wetu, kama kawa kwenye kolamu hii tumekuwa tukiwaleta mastaa tofautitofauti na kufunguka mambo mbalimbali yahusuyo maisha yao kwenye sanaa na nje ya fani.

Leo tunaye staa wa filamu Bongo, Chuchu Hans ambaye ni mwandani wa msanii mkongwe kwenye ulimwengu wa filamu Bongo, Vincent Kigosi `Ray’ aliyeweza kufunguka mambo mbalimbali kutokana na maswali aliyoulizwa na wasomaji wetu katika kolamu hii wiki iliyopita na kuyatolea ufafanuzi bila hiyana.

Msomaji:...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hatimaye Chuchu Hans Afunguka Hukusu “Kuachana na Ray”

Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Chuchu Hans hivi majuzi amekanusha madai ya kuwa ameachana na mpenzi  wake Vicent Kigosi ‘Ray’ .Kwakueleza kuwa hakuna ukweli wowote juu ya hilo. Chuchu alifikia uamuzi wa kufafanua juu ya madai hayo juzi kufuatia tetesi zilizokuwa zimeenea kwamba yeye na kipenzi chake huyo wametibuana na sasa kila mtu kimpango wake.

Akifungukia juu ya uvumi huo Chuchu alisema: “Kutakuwa na watu wanaosambaza uongo huo, huwezi kuamini muda si mrefu nilikuwa na baby...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani